Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Moja katika changamoto za ujauzito ni kupata maambukizi na mashambulizi ya UTI ya mara kwa mara. Bakteria ni rahisi kuingia kwenye mirija ya mkojo na kukifikia kibofu, haya kwa wajawazito ni rahisi sana kuliko ambao sio wajawazito. Tafiti zinaonyesha kuwa asilimia 18 ya wanawake wajawazito wanasumbuliwa na UTI.
Dalili za UTI
1.Maumivu wakati wa kukojoa na kuhisi kama unaungua
2.Kukojoa mara kwa mara
3.Mkojo kuwa na mawingi mawingu ama kuwa kama na damu
4.Maumivu ya kwenye nyonga
5.Maumivu ya mgongo sehemu ya chini
6.Homa
7.Kichefuchefu
Njia za kujikinga na UTI
A.Kojoa kila unapohisi mkojo
B.Kunywa maji mengi
C.Wacha kutumia viungo vya uke (kusafisha uke kwa kemikali, eti kufanya uke ukaze, msafi na wenye kuvutia)
D.Wacha kutumia sabuni kali sehemu za siri.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kufunga kwa ulimi (Tongue-tie) kuanzia Mtoto anavyo zalia mpaka navyokua ni hali inayotokea wakati wa kuzaliwa ambayo kitaalamu hujulikana kama ankyloglossia.
Soma Zaidi...mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu
Soma Zaidi...Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la fizi kuachana, ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi kwa wakati mwingine unakuta fizi zimeachana kutoka sehemu moja kwa nyingine kwa hiyo tunaweza kuona sababu kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inawe
Soma Zaidi...