Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Moja katika changamoto za ujauzito ni kupata maambukizi na mashambulizi ya UTI ya mara kwa mara. Bakteria ni rahisi kuingia kwenye mirija ya mkojo na kukifikia kibofu, haya kwa wajawazito ni rahisi sana kuliko ambao sio wajawazito. Tafiti zinaonyesha kuwa asilimia 18 ya wanawake wajawazito wanasumbuliwa na UTI.
Dalili za UTI
1.Maumivu wakati wa kukojoa na kuhisi kama unaungua
2.Kukojoa mara kwa mara
3.Mkojo kuwa na mawingi mawingu ama kuwa kama na damu
4.Maumivu ya kwenye nyonga
5.Maumivu ya mgongo sehemu ya chini
6.Homa
7.Kichefuchefu
Njia za kujikinga na UTI
A.Kojoa kila unapohisi mkojo
B.Kunywa maji mengi
C.Wacha kutumia viungo vya uke (kusafisha uke kwa kemikali, eti kufanya uke ukaze, msafi na wenye kuvutia)
D.Wacha kutumia sabuni kali sehemu za siri.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza ku
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi
Soma Zaidi...Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...