Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.
1. Ngozi kuwa na rangi manjano na uwepo wa macho makavu.
Kwa kawaida ini likishambulia Usababisha ngozi kuwa na rangi ya manjano na pia kwenye macho panakuwepo na ukavu fulani hivi , ukiona mgonjwa wako ana Dalili kama hizi ni vizuri kabisa kufatilia matibabu au kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.
2. Kuvimba kwa tumbo.
Kwa kawaida kama kuna maambukizi kwenye inni na hiyo tumbo uvimba sana na hali ya kupumua ubadilika kwa sababu ya kutojisikia vizuri na mgonjwa kwa ujumla huwa najisikii vizuri kwa hiyo vipimo ni lazima.
3. Kuchoka na kuwa dhaifu wa mda mrefu
Kwa kawaida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hali ya mwili kutokuwa vizuri kwa hiyo mgonjwa uwa anajihisi dhaifu kwa mda mrefu hii ni kwa sababu ya ini kushindwa kufanya kazi vizuri,
4. Kukosa hamu ya kula na kupelekea kupungua kwa uzito.kwa sababu ya mwili kuwa mzito mgonjwa kwa kawaida ikiwa hamu ya kula pia na kupelekea kupungua kwa uzito.
5. Maumivu ya tumbo hasa katika eneo la kati kwenye upande wa ini kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye inn.
6. Miguu kuvimba.
Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi miguu nayo uanze kuvimba.
7. Kuongezeka kwa kasi ya mapigo ya moyo.
Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye ini na vile vile kasi ya mapigo ya moyo nayo uongezeka kwa kasi sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
Soma Zaidi...Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo
Soma Zaidi... Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.ÂÂ
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...