Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.
1. Ngozi kuwa na rangi manjano na uwepo wa macho makavu.
Kwa kawaida ini likishambulia Usababisha ngozi kuwa na rangi ya manjano na pia kwenye macho panakuwepo na ukavu fulani hivi , ukiona mgonjwa wako ana Dalili kama hizi ni vizuri kabisa kufatilia matibabu au kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.
2. Kuvimba kwa tumbo.
Kwa kawaida kama kuna maambukizi kwenye inni na hiyo tumbo uvimba sana na hali ya kupumua ubadilika kwa sababu ya kutojisikia vizuri na mgonjwa kwa ujumla huwa najisikii vizuri kwa hiyo vipimo ni lazima.
3. Kuchoka na kuwa dhaifu wa mda mrefu
Kwa kawaida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hali ya mwili kutokuwa vizuri kwa hiyo mgonjwa uwa anajihisi dhaifu kwa mda mrefu hii ni kwa sababu ya ini kushindwa kufanya kazi vizuri,
4. Kukosa hamu ya kula na kupelekea kupungua kwa uzito.kwa sababu ya mwili kuwa mzito mgonjwa kwa kawaida ikiwa hamu ya kula pia na kupelekea kupungua kwa uzito.
5. Maumivu ya tumbo hasa katika eneo la kati kwenye upande wa ini kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye inn.
6. Miguu kuvimba.
Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi miguu nayo uanze kuvimba.
7. Kuongezeka kwa kasi ya mapigo ya moyo.
Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye ini na vile vile kasi ya mapigo ya moyo nayo uongezeka kwa kasi sana.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.
Soma Zaidi...Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez
Soma Zaidi...Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.
Soma Zaidi...