Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Visababishi vya ajali kwenye kifua, ( chest injury).
1. Ajali mbambali zitokanazo na magari au pikipiki.
Kwa wakati mwingine,ajali za magari,piki piki au baskel na vifaa vya usafiri Kwa ujumla usababisha kuwepo Kwa ajali kwenye kifua,kutokana na ajali za vyombo vya usafiri , unaweza kuharibu sehemu ya moyo ,mapafu au koo inawezekana ikawa ya moja Kwa moja au sehemu zake,Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kugundua ni shehemu ipi ambayo imepata shida Zaidi kama ajali imetokea kwenye sehemu za kifua.
2. Kuanguka.
Kwa wakati mwingine mtu anaweza kuteleza akaanguka na kusababisha maumivu kwenye sehemu za kifua, inawezekana kuteleza, kuanguka kutoka kwenye mti meza au sehemu yoyote ile ambayo usababisha maumivu kwenye sehemu ya kifua,Kwa hiyo iwapo mtu ameanguka ni vizuri kabisa kuangalia sehemu ya kifua Kwa sababu ya kuwepo Kwa sehemu muhimu kama vile moyo na mapafu.
3. Kuwepo Kwa vitu vyenye ncha Kali kwenye kifua.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na vitu vyenye ncha Kali kwenye kifua ambavyo uingia moja Kwa moja kwenye kifua na kusababisha ajali sehemu ya kifua,na vitu hivyo ni kama risasi za bunduki zikiingia usababisha kuwepo Kwa ajali kwenye kifua au kulengwa Kwa mshale kwenye kifua,vitu hivyo ni hatari sana uweza kusababisha madhara au ajali kwenye sehemu za kifua.
4. Kwa hiyo Kwa sababu sehemu ya kifua ina vitu vingi na vya maana,ni vizuri kabisa kuweza kuwa makini ukiwa ajari imetokea na pia mtu akipata ajali kwenye sehemu za kifua ni vizuri kabisa kumpa mda aweze kutulia na kupumzika ili kuweza kugundua kama Kuna sehemu yoyote haiko sawa au Kwa wakati mwingine, mgonjwa anaweza kuwa anapumua vibaya au Kwa wakati mwingine anakuwa anahisi maumivu sehemu za kifua,Kwa hiyo matababu ya haraka ni lazima.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
Soma Zaidi...Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
Soma Zaidi...Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu
Soma Zaidi...Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
Soma Zaidi...Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri
Soma Zaidi...Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.
Soma Zaidi...