Menu



Chanzo cha kiungulia

Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.

Vyanzo vya kiungulia.

1. Kudhoofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu cha tumbo kwa kitaalamu huitwa (lower esophagus sphincter) sehemu hii uhakikishe kuwa kila kitu ambacho kinaenda mwilini hakirudi ila sehemu hii ikiharibika usababisha kurudi kwa vyakula na vitu vingine kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye mdomo.

 

2. Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula .

Kwa sababu ya kuwepo kwa vyakula mbalimbali ambavyo uleta shida kwenye mmeng'enyo wa chakula kama vyakula vya mafuta, sukari, vyakula vya caffeine, chocolate na vyakula vya aina hiyo Usababisha mmeng'enyo wa chakula kutoenda sawa na hatimaye kusababisha kiungulia.

 

3. Kuwepo kwa kiwango kikubwa cha tindikali kwenye mmeng'enyo wa chakula,

Kwa kawaida tindikali ni lazima kwenye mmeng'enyo wa chakula ila ikizidi inaleta kiungulia aina hii ya tindikali ambayo ukaa tumboni kwa kitaalamu huitwa hydrocholic asidi, ikiwa nyingi upanda mpaka kwenye mdomo na kusababisha kiungulia.

 

4. Kuwepo kwa baadhi ya madini kwenye mwili .

Kwa sababu kwenye mwili wa binadamu kuna madini mbalimbali na kila aina ya madini ufanya kazi tofautitofauti na yakikosa  usababisha matatizo mengi mwilini . Kwa mfano ukosefu wa madini ya magnesium na potassium, yakikosa usababisha kuongezeka kwa kiungulia.

 

5. Kuwepo kwa uzito mkubwa na kitambi.

Kwa kawaida uzito mkubwa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa sababu kuna watu wanene na hawafanyi mazoezi usababisha na wanaopenda kula sana usababisha chakula kupanda juu na kusababisha kiungulia.

 

6. Wamama wajawazito na wenye umri mkubwa.

Kuna wakati mwingine wamama wajawazito wanakuwa na kiungulia kwa sababu ya hali zao na wengine wenye umri mkubwa kwa sababu ya kushuka kwa immunity upate kiungulia.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1900

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Soma Zaidi...
Walio katika hatari ya kupata homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Dalili za uvumilivu wa pombe

Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa ya kurithi.

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye uume

Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.

Soma Zaidi...
Je unaweza sex na mwanamke mwenye HIV na ukaenda kupima wiki moja na ukagundurika kwa vipimo vya maabara

Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi ukeni

Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.

Soma Zaidi...