Sababu za kuwa na afya ya akili

Afya ya akili ni hali ya mtu kuwa na akili timamu kiroho,kimwili ,na Kwa mazingira yake yote yaliyomzunguka na anaweza kuamua kitu akiwa katika ukamilifu, zifuatazo ni sababu za kuwa na Afya ya akili.

Tunapaswa kujifunza kuhusu afya ya akili kwa sababu nyingi muhimu kupitia kufahamu afya ya akili tunaweza kuishi vizuri pia kuweza kukubaliwa katika jamii,Kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya sababu za kujifunza afya ya akili.

1. Kuweza kutambua lipi la kufanya na Kwa wakati maalumu_tunapofahamu vizuri afya yetu ya akili hasa pale tunapokuwa na akili timamu tunaweza kutambua lipi la kufanya na Kwa wakati maaalumu,kuacha ambayo yasiyofaa kwenye jamii na kufanya yanayokubalika katika jamiii husika,hiyo ndio sifa mojawapo inayotutenganisha na vichaa na watu wenye afya njema ya akili.

 

2.Kuelewa nafsi zetu – kutusaidia kujitambua, kudhibiti hisia na kushughulika na changamoto za maisha, mtu akishakuwa na afya nzuri ya akili ana uwezo wa kujitambua yeye ni nani,ana uwezo wa kudhibiti hisia zake mfano wa hisia za kupenda,kuchukia na mambo mbali mbali ana uwezo wa kutawala Kila aina ya hisia na pia uwezo wa kupambana na hali halisi ya maisha, katika umakini anaweza kupambana katika kupata mahitaji anaweza kuridhika na Kila hali hasa pale anapokumbana na hali isiyo ya kawaida mtu mwenye afya ya akili anaweza kuona Cha kufanya.

 

3. Kuzuia matatizo – tukijua dalili na ishara za matatizo ya akili mapema, tunaweza kuyadhibiti kabla hayajawa makubwa,hali hii ya kuzuia matatizo mbali mbali ni ishara kwamba mtu ana afya ya akili,ni kweli sio Kila aina ya matatizo inawezekana kuzuiwa ila kama afya yako ya akili unafanya kazi vizuri Kuna baadhi ya ishara unaweza kuziona na kutabiri Kuna kitu au Kuna ishara inaweza kuleta matatizo na kuwa macho ili kuzuia hilo tatizo.mfano ukiwa na mtoto mvivu usipotambua ishara hiyo haraka na ukamsaidia mtoto kufanya kazi na kumwambia madhara ya uvivu unakuwa hauna afya nzuri ya akili,ila ukitambua mapema na ukamsaidia ni ishara mojawapo ya kuona ishara na ukazuia tatizo.

 

4.Kupunguza unyanyapaa – elimu ya afya ya akili hutusaidia kuelewa kuwa matatizo ya akili ni hali za kiafya kama magonjwa mengine, na siyo aibu.ni kweli mtu akitambua kwamba ana afya nzuri ya akili anao uwezo wa kutambua kwamba Kuna watu wengine wanahitaji msaada au uwezo wa kutambua kwamba binadamu wote hatuko sawa Kuna wengine wanahitaji msaada na Kuna wengine afya zao za akili haziko sawa na wapo tayari kuwasaidia na kuwajali wengine hali inayosababisha kuondoa unyanyasaji au kunyanyapaa wengine katika jamii.

 

5. Kuboresha mahusiano – mtu mwenye afya nzuri ya akili hushirikiana vyema na familia, marafiki na jamii.Afya ya akili ni kipau mbele katika kuleta mahusiano kwenye jamii Kwa sababu jamii kubwa ya watu ukiwa vizuri kwenye upande wa afya ya akili ni kitu kinacholeta mahusiano katika jamii Kwa sababu Kuna kujaliana na kuonyesha utu na kushirikiana vyema na kuwa sawa katika jamii hali inayoleta usawa katika jamii na mahusiano mema.

 

6.Kuongeza tija – afya njema ya akili inachangia mtu kufanya kazi vizuri, kusoma kwa bidii na kutumia uwezo wake ipasavyo.kwa sababu mtu akiwa na afya ya akili anakuwa vizuri kisaikolojia,kiafya,kibaiologia na sehemu zote zinazomzunguka mtu,hali hii umefanya mtu afanye kazi vizuri Kwa kutumia akili yake Kwa sababu Kila sehemu oliyomzunguka ipo vizuri na pia kama ni mwanafunzi atasoma vizuri na kufaulu masomo yake.

 

7. Kujenga jamii yenye mshikamano – jamii yenye uelewa wa afya ya akili husaidiana, hulinda wanaopitia changamoto, na hupunguza matatizo ya kijamii kama vurugu, uraibu na msongo.

 

Kwa kifupi, kujifunza kuhusu afya ya akili kunatusaidia kuishi maisha bora, yenye furaha na yenye tija binafsi na kijamii na pia kutasaidia kuweza kutambua lililojema na kutenda yaliyo mazuri.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Salvatory image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 209

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Presha ya kushuka/hypotension

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka/ hypotension

Soma Zaidi...
Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Soma Zaidi...
Kwa nini kung’atwa na mbu hakuambukizi UKIMWI?

Ingawa mbu hunyonya damu kwa binadamu, hawana uwezo wa kueneza virusi vya UKIMWI (VVU). Sababu ni kwamba virusi vya VVU haviwezi kuishi wala kuzaliana ndani ya mwili wa mbu, na pia mbu hawaingizi damu ya mtu mmoja kwa mwingine wanapong’ata.

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.

Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe

Soma Zaidi...
Dalili za upotevu wa kusikia

posti hii inazungumzia kuhusiana na Upotevu wa kusikia unaotokea hatua kwa hatua kadri umri unavyozeeka (presbycusis) ni jambo la kawaida. T Kwa wale walio na umri wa zaidi ya miaka 75, idadi ya watu walio na  upotezaji wa kusikia inakaribia 1 kati y

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa uti wa mgongo kwa watoto uitwao poliomyelitis

Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuungua Mdomo (mouth burning syndrome)

Ugonjwa wa mdomo unaoungua ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuwaka moto mara kwa mara mdomoni bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wot

Soma Zaidi...
Athari za kutokutibu minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa

Soma Zaidi...