Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?



Namba ya swali 028

Yes kuna uwezekano mkubwa una fangasi



Namba ya swali 028

Ok nimetumia dawa nilipona mda mfupi imeludi tena iyo hari , kwani kuna uwezekano wa kupona kabisaa?



Namba ya swali 028

Yes upo uwezekano wa kupona fangasi wa korodani. Zungumza na daktari akupatie dawa za kunywa kama hali itaendelea kujirudia



Namba ya swali 028

Nilipewa vidonge na dawa ya kupaka ndo ikajiludia iyo hali nashindwa nifanyeje? au inakua bado ipo kwenye nguo ninazo vaa?



Namba ya swali 028

Zungumza na daktari akupatie dawa za kunywa maana za kupaka mara nyingi hutoa fangasi walio kwenye ngozi. Huenda wapo kwenye damu. Dawa ya kunywa itawauwa wa ndani ya damu na nje



Namba ya swali 028

Sawa nashukulu sana kwa ushauli mzuri naenda kesho ntakujulisha kitakacho endelea asantee



Namba ya swali 028

Ok



Namba ya swali 028

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 746

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

  Matatizo ya mapigo ya moyo
Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...
Chanzo cha VVU na UKIMWI
Chanzo cha VVU na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo m ali mbali vinavyohisiwa kuwa chanzo cha UKIMWI

Soma Zaidi...
Kuona damu kwenye mkojo
Kuona damu kwenye mkojo

Kuona damu kwenye mkojo kunaweza kusababisha wasiwasi. Ingawa katika hali nyingi kuna sababu zisizofaa, Damu kwenye mkojo (hematuria) pia inaweza kuonyesha ugonjwa mbaya.

Soma Zaidi...
Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri
Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri

Soma Zaidi...
Minyoo na athari zao kiafya
Minyoo na athari zao kiafya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya

Soma Zaidi...
 Sababu za Ugonjwa wa pumu
Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.
Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.

Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.

Soma Zaidi...
 Kivimba kwa utando wa pua
Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Dalili za ugonjwa wa vericose veini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini

Soma Zaidi...