Navigation Menu



image

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

Samahani doctar mimi kila nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nini



Namba ya swali 056

Je unepima UTI?



Namba ya swali 056

bado
Pamoja na hilo doctor Mimi huwa Nina presha napatwa na hofu Sana muda mwingine mpaka mshtuko wa moyo na vitu kunitembea mwilini vipi hapo waweza kunisaidia samahani lakini kwa usumbufu doctar



Namba ya swali 056

Pole sana. Hofu hiyo kitaalamu hutambulika kama anxiety. Husababishwa na hiyo hali uliyo nayo. Ijapokuwa zipo dawa kwa ajili yankuiondoa ama kuituliza ila ji vyema kufanya yafuatayo:- 1. Pata ushauri kwa washauri wa kidini ama watoaji ushauri nasaha, kuhusu kuondoa hofu. Kamabutaweza fanya mazoezi mara kwa mara mara. Ukipata tatizo halikisha unakabiliana nalo. Jitahidi kuwa mwenye furaha ukiwa nyumbani ama kazini

Hofu ulio nayo inawapata watu wengi, yenyewe si ugonjwa bali inaweza kupewa dawa ama kuondoka yenyewe



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana ndugu yangu kitu kinachonitia hofu ni vitu kunitembea mwilini



Namba ya swali 056

Ni maeneo gani ya mwili?



Namba ya swali 056

Kwenye magoti mpaka mabegani



Namba ya swali 056

Je unapata maumivu kayika maeneo hayo??



Namba ya swali 056

Maumivu sipati ilatu vinatembea kwenye mishipa



Namba ya swali 056

Kwenye mishipa, hutokea kwa sababu ya never zenyewe, hii sio tatizo saana. Zipo sababu nyingine ila kama hupati maumivu yeyote, sio shida sana kiafya.



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana kwa maelezo yako ndugu japo sikufahamu mungu akutie nguvu



Namba ya swali 056

Wengine wanasema litakua jini mahaba ndio wananitia hofu sana



Namba ya swali 056

Hapana, hali hiyo huwapata hata watu wenye UTI, KISUKARI NA WENYE MATATIZO YA TEZI YA THYROID NA NEVA. Pia huweza kuwapata watu wakati wakiwa na wa hofu. Ila hata hivyo jini mahaba, sijajuwa habari zake zaidi lakini sijapataponkusikia kuwa anaweza kusababisha hali hiyo. Ila ok wanasema dalili za majini huwa vitu hivi vinatokea. kitu cha msingi ni kuwa makini.



Namba ya swali 056






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 697


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zifazofanana:-

Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii Soma Zaidi...

Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki. Soma Zaidi...

Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono. Soma Zaidi...

Nini kinasababisha kizunguzungu?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu Soma Zaidi...

Nini hasa chanzo cha pumu, na je inarithiwa?
Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kitomvuni, sababu zake na dalili zake
Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni. Soma Zaidi...

Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume
posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga, Soma Zaidi...

vidonda vya tumbo, dalili zake, chanzo chake na tiba yake
Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo. Soma Zaidi...

Athari za ugonjwa wa Homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni Soma Zaidi...

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis. Soma Zaidi...

Aina za kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za kisukari Soma Zaidi...

Bawasili usababishwa na nini?
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili. Soma Zaidi...