picha

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

Samahani doctar mimi kila nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nini



Namba ya swali 056

Je unepima UTI?



Namba ya swali 056

bado
Pamoja na hilo doctor Mimi huwa Nina presha napatwa na hofu Sana muda mwingine mpaka mshtuko wa moyo na vitu kunitembea mwilini vipi hapo waweza kunisaidia samahani lakini kwa usumbufu doctar



Namba ya swali 056

Pole sana. Hofu hiyo kitaalamu hutambulika kama anxiety. Husababishwa na hiyo hali uliyo nayo. Ijapokuwa zipo dawa kwa ajili yankuiondoa ama kuituliza ila ji vyema kufanya yafuatayo:- 1. Pata ushauri kwa washauri wa kidini ama watoaji ushauri nasaha, kuhusu kuondoa hofu. Kamabutaweza fanya mazoezi mara kwa mara mara. Ukipata tatizo halikisha unakabiliana nalo. Jitahidi kuwa mwenye furaha ukiwa nyumbani ama kazini

Hofu ulio nayo inawapata watu wengi, yenyewe si ugonjwa bali inaweza kupewa dawa ama kuondoka yenyewe



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana ndugu yangu kitu kinachonitia hofu ni vitu kunitembea mwilini



Namba ya swali 056

Ni maeneo gani ya mwili?



Namba ya swali 056

Kwenye magoti mpaka mabegani



Namba ya swali 056

Je unapata maumivu kayika maeneo hayo??



Namba ya swali 056

Maumivu sipati ilatu vinatembea kwenye mishipa



Namba ya swali 056

Kwenye mishipa, hutokea kwa sababu ya never zenyewe, hii sio tatizo saana. Zipo sababu nyingine ila kama hupati maumivu yeyote, sio shida sana kiafya.



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana kwa maelezo yako ndugu japo sikufahamu mungu akutie nguvu



Namba ya swali 056

Wengine wanasema litakua jini mahaba ndio wananitia hofu sana



Namba ya swali 056

Hapana, hali hiyo huwapata hata watu wenye UTI, KISUKARI NA WENYE MATATIZO YA TEZI YA THYROID NA NEVA. Pia huweza kuwapata watu wakati wakiwa na wa hofu. Ila hata hivyo jini mahaba, sijajuwa habari zake zaidi lakini sijapataponkusikia kuwa anaweza kusababisha hali hiyo. Ila ok wanasema dalili za majini huwa vitu hivi vinatokea. kitu cha msingi ni kuwa makini.



Namba ya swali 056

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2484

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰2 ai web app     πŸ‘‰3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰5 web hosting     πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

Soma Zaidi...
Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia

Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.

Soma Zaidi...
Dalili za ovulation kwa mwanamke

​Ovulation (kipindi cha upevu wa yai) ni hatua muhimu zaidi katika mzunguko wa hedhi wa mwanamke, hasa kwa wale wanaopanga kupata ujauzito au wanaotaka kuepuka mimba kwa njia za asili. Makala haya yanachambua dalili kuu zinazoonyesha mwili upo kwenye hatua hii, jinsi ya kuzitambua, na kuweka sawa baadhi ya dhana potofu kupitia ukweli wa kisayansi (Fact Check).

Soma Zaidi...
Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni

Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Suala la nguvu za kiume limekuwa likijadiliwa kwa miaka mingi, mara nyingi likiambatana na ahadi za miujiza na tiba za siri. Makala haya yanachambua ukweli wa kisayansi kuhusu jinsi lishe inavyoweza kuimarisha uwezo wa kiume, yakitaja vyakula halisi vinavyoboresha mzunguko wa damu na homoni, pamoja na kufanya tathmini ya ukweli (fact check) dhidi ya dhana potofu zilizosambaa mitaani.

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...