nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nin

Samahani doctar mimi kila nikiamka asubuhi huwa nakojoa mkojo mchafu sana halafu najiskia vibaya Sana na mwili wote unaniuma je tatizo litakua ni nini



Namba ya swali 056

Je unepima UTI?



Namba ya swali 056

bado
Pamoja na hilo doctor Mimi huwa Nina presha napatwa na hofu Sana muda mwingine mpaka mshtuko wa moyo na vitu kunitembea mwilini vipi hapo waweza kunisaidia samahani lakini kwa usumbufu doctar



Namba ya swali 056

Pole sana. Hofu hiyo kitaalamu hutambulika kama anxiety. Husababishwa na hiyo hali uliyo nayo. Ijapokuwa zipo dawa kwa ajili yankuiondoa ama kuituliza ila ji vyema kufanya yafuatayo:- 1. Pata ushauri kwa washauri wa kidini ama watoaji ushauri nasaha, kuhusu kuondoa hofu. Kamabutaweza fanya mazoezi mara kwa mara mara. Ukipata tatizo halikisha unakabiliana nalo. Jitahidi kuwa mwenye furaha ukiwa nyumbani ama kazini

Hofu ulio nayo inawapata watu wengi, yenyewe si ugonjwa bali inaweza kupewa dawa ama kuondoka yenyewe



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana ndugu yangu kitu kinachonitia hofu ni vitu kunitembea mwilini



Namba ya swali 056

Ni maeneo gani ya mwili?



Namba ya swali 056

Kwenye magoti mpaka mabegani



Namba ya swali 056

Je unapata maumivu kayika maeneo hayo??



Namba ya swali 056

Maumivu sipati ilatu vinatembea kwenye mishipa



Namba ya swali 056

Kwenye mishipa, hutokea kwa sababu ya never zenyewe, hii sio tatizo saana. Zipo sababu nyingine ila kama hupati maumivu yeyote, sio shida sana kiafya.



Namba ya swali 056

Nashukuru Sana kwa maelezo yako ndugu japo sikufahamu mungu akutie nguvu



Namba ya swali 056

Wengine wanasema litakua jini mahaba ndio wananitia hofu sana



Namba ya swali 056

Hapana, hali hiyo huwapata hata watu wenye UTI, KISUKARI NA WENYE MATATIZO YA TEZI YA THYROID NA NEVA. Pia huweza kuwapata watu wakati wakiwa na wa hofu. Ila hata hivyo jini mahaba, sijajuwa habari zake zaidi lakini sijapataponkusikia kuwa anaweza kusababisha hali hiyo. Ila ok wanasema dalili za majini huwa vitu hivi vinatokea. kitu cha msingi ni kuwa makini.



Namba ya swali 056
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1072

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa uti wa mgongo kwa watoto uitwao poliomyelitis

Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za mawe kwenye in yaani liver stone au intrahepatic stones

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.

Soma Zaidi...
Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa

Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...