Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles. Kuna aina zaidi ya 2000 za mbu lakini katika aina hizi aina moja tu ndio inayoweza kubeba vimelea hivi vinavyoweza kusababisha malaria. Na pia yapo maradhi mengine ambayo husambazwa na aina nyingine za mbu. Maradhi hayo ni kama matende na ngiri maji.
Mbu aliyebeba vimelea vya malaria akimng’ata mtu anamuachia vimelea vile. Vimelea hivi vinapoingia ndani ya mwili viunakimbilia kwenye ini ambapo huko ndipo hukaa na kukuwa. Pindi vikikomaa vinatoka kwenye ini na kuelekea kwenye damu. Vinapofika kwenye damu vinakwenda kushambulia seli hai nyekundu za damu. Na hapo sasa mgonjwa ndipo ataanza kupata dalili za malaria..
Inachukuwa takribani wili ama na zaidi kwa vimelea hivi kuanza kuonesha dalili kwa mtu. Pia upo uwezekano vimelea hivi vikakaa hata mwaka ndipo vikaanza kuonyesha dalili. Na ndio maana ni vyema kupima afya mara kwa mara ili kuweza kuondoa vijidudu hivi kwenye miili yetu hata kabla ya kuanza kuonyesha dalili.
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.
Soma Zaidi...Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.
Soma Zaidi...