Sababu za kunyonyoka kwa nywele

Sababu za kunyonyoka kwa nywele

TATIZO LA KUNYONYOKA KWA NYWELE


Tatizo la kunyonyoka ama kupotea kwa nywele linaweza kuwa sio shida sana ya kiafya. Ila hutokea ikawa ni ishara mbaya kulingana na hali ambazo nywele zitakuwa zinanyonyoka. Je na wewe ni mmoja ya katika ambao nywele zao zinanyonyoka? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa tutaangalia kwa ufupi tu sababu ambazo hupelekea nywele kunyonyoka.



Sababu za kutoka nyeleni nyingi Hi vyema ukafika hospiali kwa uchunguzi. Miongoni mwa sababu zake ni kama:-



1.Unaweza kurithi tatizo hili kutoka kwnye ukoo wako
2. Hutokea mfumo wa kinga wenyewe ukaanza kushambulia mfumo wa nywele. Mpaka sasa haijulikani nini hasa kinasababisha hali hii.
3. Pia stress huchangi
4. Namna mtu anavyotunza nywele, hasa kama unazitia rangi ama kuzibadili uhalisia, hii inaweza kupeleke kutoka nywele baadaye
5. Mvurugiko wa himoni (hormone imbalance)
6. Infection kwenye ngozi ya kichwa yaani kuwa na mashambulizi ya bakteria kwenye ngozi ya kichwa.
7. Aleji unaweza kuwa na aleji ya dawa ama vitu flani ambavyo ukitumia nywele hunyonyoka
8. umri, kwa kuwa uotaji wa nyele hupunguwa kadiri umri unayokwenda hinyo hutokea baadhi ya watu kila uzee unapokweda na nywele hupunguwa.
9. Majeraha kwenye ngozi ya kichwa. Hutokea mtu mwenye makovu na majeraha nywele zikashindwa kuota maeneo yake.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1989

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Soma Zaidi...
Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili

Soma Zaidi...
Sababu za maambukizi kwenye nephoni

Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Matibabu ya VVU na UKIMWI

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya VVU/UKIMWI

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za mawe kwenye in yaani liver stone au intrahepatic stones

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.

Soma Zaidi...
dalili za ukimwi kwa mwanaume

Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa ya jicho

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama

Soma Zaidi...