Sababu za kunyonyoka kwa nywele

Sababu za kunyonyoka kwa nywele

TATIZO LA KUNYONYOKA KWA NYWELE


Tatizo la kunyonyoka ama kupotea kwa nywele linaweza kuwa sio shida sana ya kiafya. Ila hutokea ikawa ni ishara mbaya kulingana na hali ambazo nywele zitakuwa zinanyonyoka. Je na wewe ni mmoja ya katika ambao nywele zao zinanyonyoka? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa tutaangalia kwa ufupi tu sababu ambazo hupelekea nywele kunyonyoka.



Sababu za kutoka nyeleni nyingi Hi vyema ukafika hospiali kwa uchunguzi. Miongoni mwa sababu zake ni kama:-



1.Unaweza kurithi tatizo hili kutoka kwnye ukoo wako
2. Hutokea mfumo wa kinga wenyewe ukaanza kushambulia mfumo wa nywele. Mpaka sasa haijulikani nini hasa kinasababisha hali hii.
3. Pia stress huchangi
4. Namna mtu anavyotunza nywele, hasa kama unazitia rangi ama kuzibadili uhalisia, hii inaweza kupeleke kutoka nywele baadaye
5. Mvurugiko wa himoni (hormone imbalance)
6. Infection kwenye ngozi ya kichwa yaani kuwa na mashambulizi ya bakteria kwenye ngozi ya kichwa.
7. Aleji unaweza kuwa na aleji ya dawa ama vitu flani ambavyo ukitumia nywele hunyonyoka
8. umri, kwa kuwa uotaji wa nyele hupunguwa kadiri umri unayokwenda hinyo hutokea baadhi ya watu kila uzee unapokweda na nywele hupunguwa.
9. Majeraha kwenye ngozi ya kichwa. Hutokea mtu mwenye makovu na majeraha nywele zikashindwa kuota maeneo yake.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2402

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)

Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Dalili, chanzo, sababu na vmambo hatari kuhusu kifua kikuu

Katika makala hii utajifunza kuhusu kifua kikuu, dalili zake, sababu zake, chanzo chake na mambo hatari kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Matibabu ya VVU na UKIMWI

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya VVU/UKIMWI

Soma Zaidi...
Maradhi ya Pumu yanatokeaje?

Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Soma Zaidi...
Sababu za mdomo kuwa mchungu

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.

Soma Zaidi...