TATIZO LA KUNYONYOKA KWA NYWELE
Tatizo la kunyonyoka ama kupotea kwa nywele linaweza kuwa sio shida sana ya kiafya. Ila hutokea ikawa ni ishara mbaya kulingana na hali ambazo nywele zitakuwa zinanyonyoka. Je na wewe ni mmoja ya katika ambao nywele zao zinanyonyoka? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa tutaangalia kwa ufupi tu sababu ambazo hupelekea nywele kunyonyoka.
Sababu za kutoka nyeleni nyingi Hi vyema ukafika hospiali kwa uchunguzi. Miongoni mwa sababu zake ni kama:-
1.Unaweza kurithi tatizo hili kutoka kwnye ukoo wako
2. Hutokea mfumo wa kinga wenyewe ukaanza kushambulia mfumo wa nywele. Mpaka sasa haijulikani nini hasa kinasababisha hali hii.
3. Pia stress huchangi
4. Namna mtu anavyotunza nywele, hasa kama unazitia rangi ama kuzibadili uhalisia, hii inaweza kupeleke kutoka nywele baadaye
5. Mvurugiko wa himoni (hormone imbalance)
6. Infection kwenye ngozi ya kichwa yaani kuwa na mashambulizi ya bakteria kwenye ngozi ya kichwa.
7. Aleji unaweza kuwa na aleji ya dawa ama vitu flani ambavyo ukitumia nywele hunyonyoka
8. umri, kwa kuwa uotaji wa nyele hupunguwa kadiri umri unayokwenda hinyo hutokea baadhi ya watu kila uzee unapokweda na nywele hupunguwa.
9. Majeraha kwenye ngozi ya kichwa. Hutokea mtu mwenye makovu na majeraha nywele zikashindwa kuota maeneo yake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili,SABABU,mambo ya hatari katika Magonjwa ya zinaa (STDs), au magonjwa ya zinaa (STIs), kwa ujumla hupatikana kwa kujamiiana. Vimelea vinavyosababisha magonjwa ya zinaa vinaweza kupita kutoka kwa mtu hadi kwa mtu
Soma Zaidi...Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
Soma Zaidi...Maumivu ya magoti ni malalamiko ya kawaida ambayo huathiri watu wa umri wote. Maumivu ya goti yanaweza kuwa matokeo ya jeraha, kama vile ligament iliyopasuka au cartilage iliyochanika.
Soma Zaidi...post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,
Soma Zaidi...Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...Hivi umeshawahikujiuliza kuhusu tezi dume. Wacha nikujuze kitu kimoja, ni kuwa tezi dume huwapata watu kuanziamiaka 40 na kuendelea. Na ifahamike kuwa tezi dume sio busha ama ngiri maji. Pia itambulikekuwa rozi dumehutibika.
Soma Zaidi...