picha

JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Tukiangalia katika maisha yetu ya iipa siku tunaona kwamba watu hawaweki mazingira yao katika hali ya usafi.usafi utusaidia kuwa salama na kuondokana na vimelea vya magonjwa.pia ukioga kunakuondolea harufu mbaya unasababishwa na jasho linalotolewa mwilini kwa njia ya ngozi.vilevile,kuoga husaidia kuzibua vitundu vya jasho,ambavyo huziba kutokana na uchafu .Aidha ,kuoga kuoga huifanya ngozi kuonekana nyororo na dhaifu.

 

ZIFUATAZO NI KANUNI ZA AFYA  AMBAZO ZINAWEKA MWILI KATIKA NZURI YA AFYA.

  1. LIshe bora,kutokana na apo mwanzo tulivyoeleza kuhusu afya ya mwili ni muhimu .lishe bora au chakula ni muhimu kwa afya zetu .pia lishe bora ni chakula chenye mchanganyiko wa virutubisho vyote muhimu ambavyo vina protini,vitamin,wanga na sukari,mafuta na madini.pia maji safi na salama ni muhimu kwa afya zetu ,protini hujenga na kukuza mwili .wanga na sukari utia mwili nguvu.mafuta uleta nguvu na joto mwilini.vitamini hupinda mwili ili usipatwe na magonjwa.madini husaidia kuimarisha mifumo na mifupa ya mwili.maji husaidia kumeng'enya chakula.pia maji husaidia kuondoa uchafu wa sumu mwilini  na kurekebisha joto la mwili .hio ni mojawapo ya kanuni nzuri ya kuweka afya ya mwili .pia ukiweza kutumia hivyo vyakula utapata afya nzuri sana

 

  1. safi wa mazingira,kutoka na apo awali tulivyoona jinsi ya kuweka afya  zetu vizuri. Usafi wa mazingira tunayoishi ni lazima yawe katika hali ya usafi.pia ni muhimu kufanya usafi wa mazingira ya nyumbani au mazingira yote yanayotuzunguka.pia kama kuna sehemu kuna mazingira machafu huvutia sana wadudu ambao ubeba vimelea vya magonjwa.vimelea hivyo huweza kusababisha magonjwa kama vile kuharisha ,kipindupindu,malaria na ugonjwa wa ngozi.inatubidi tuwe tunafanya usafi kila siku katika mazingira yetu ili tusiweze kupata magonjwa hayo.pia tukifanya hivyo tunakuwa tunalinda afya zetu .uchafu ni adui wa maendeleo.

 

  1. kutumia maji safi na salama,ili kuwa na afya bora tunatakiwa kutumia maji safi na salama.kabla ya kunywa maji hakikisha maji yamechemshwa na kuchujwa vizuri kwa kitambaa cheupe na kisafi .maji ya kunywa yachemshwe na yahifadhiwe vizuri kwenye vyombo visafi vyenye mifuniko.ni vizuri kuwa na chombo mahalumu cha kuchotea maji ya kunywa na kumiminina kwenye chombo cha kunywea maji .havitakiwi kutumia chombo hichohicho kuchotea maji na kunywa .hio ilikuwa ni kanuni jinsi gani  tunaweza kuweka mwili wetu katika hali ya usafi na afya njema.

 

  1. kupumzika na kupata usingizi,watu wengi hawajui kama kupumzika na kupata usingizi kama ni njia mojawapo  ya kuweka mwili katika hali ya afya.kupumzika niuhimu kwa afya zetu.watu inabidi watenge muda ili kupumzisha akili na kupata chakula bora.ili kuweka mwili katika hali ya afya .pia ata hivyo inatubidi usiku kulala na kupata usingizi kwa muda wa kutosha .usipolala kwa muda wa kutosha mwili hudhoofika na hatimaye kukosa nguvu.                                                                     Pia ,unaweza kupumzika kwa kujibirudisha kwa kuangalia runinga au kusikiliza radio na kusoma vitabu au magazeti.unapopumzika ,unapata nguvu mpya ya kuendelea na kazi yako,kusoma au kucheza kwa ufanisi au kufanya kazi yako.kupumzika ni muhimu kwa akili ya usalama wako na afya yako .pia inashauri angalau kwa siku moja ulale masaa name (8).ili kuweka wako safi.

 

  1. KUfanya mazoezi ya viungo vya mwili,watu wengi kufanya mazoezi hawafamyi sababu wanaona ni huharibifu wa mda.lakini usichokijua mazoezi ni muhimu sana ili kuweza kuweka mwili sawa.pia inabidi mazoezi yafanyike mara kwa mara.ili kuimarisha afya ya mwili.mazoezi kama.kuruka kamba,kukumbuka,gwaride,.pia mazoezi haya hutusaidia kuwa na utayari wa kufanya kitu .ndo maana uaga tunashuhudia bahadhi ya shure wanakimbia mchaka mchaka.hii uaga inawataka kuwaweka tayari wa kujifunza kwa ufanisi darasani.na kuijenga misuli.pia mchezo huleta burudani ,kwa hiyo ni muhimu kucheza mara kwa mara ili kudumisha afya ya mwili.mtu aliyezoea kucheza hashambuliwi naagonjwa mara kwa mara.ata hivyo ni muhimu kudumisha usafi na kufuata kanuni za afya ili mwili huweze kuwa na afya bora.pia kanuni za afya  kuonekana nadhifu na msafi wakati wote .kuongezeka kwa umri wa kuishi,kutoshambuliwa na maradhi ya mara kwa mara ,kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda mambo mbalimbali kwa ufanisi,wepesi na umakini ,na kuokoa gharama ambazo zingetumika kwenye matibabu.             

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3238

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za maambukizi kwenye figo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia Ugonjwa wa tauni.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka Ugonjwa wa raundi.

Soma Zaidi...
NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA

Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.

Soma Zaidi...
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

Soma Zaidi...
Dalili kuu za Malaria mwilini

Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria

Soma Zaidi...
Mbinu za kuzuia na kuepukana na maradhi ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya manjano

posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI

Soma Zaidi...
Athari za kutokutibu minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa

Soma Zaidi...