picha

JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Tukiangalia katika maisha yetu ya iipa siku tunaona kwamba watu hawaweki mazingira yao katika hali ya usafi.usafi utusaidia kuwa salama na kuondokana na vimelea vya magonjwa.pia ukioga kunakuondolea harufu mbaya unasababishwa na jasho linalotolewa mwilini kwa njia ya ngozi.vilevile,kuoga husaidia kuzibua vitundu vya jasho,ambavyo huziba kutokana na uchafu .Aidha ,kuoga kuoga huifanya ngozi kuonekana nyororo na dhaifu.

 

ZIFUATAZO NI KANUNI ZA AFYA  AMBAZO ZINAWEKA MWILI KATIKA NZURI YA AFYA.

  1. LIshe bora,kutokana na apo mwanzo tulivyoeleza kuhusu afya ya mwili ni muhimu .lishe bora au chakula ni muhimu kwa afya zetu .pia lishe bora ni chakula chenye mchanganyiko wa virutubisho vyote muhimu ambavyo vina protini,vitamin,wanga na sukari,mafuta na madini.pia maji safi na salama ni muhimu kwa afya zetu ,protini hujenga na kukuza mwili .wanga na sukari utia mwili nguvu.mafuta uleta nguvu na joto mwilini.vitamini hupinda mwili ili usipatwe na magonjwa.madini husaidia kuimarisha mifumo na mifupa ya mwili.maji husaidia kumeng'enya chakula.pia maji husaidia kuondoa uchafu wa sumu mwilini  na kurekebisha joto la mwili .hio ni mojawapo ya kanuni nzuri ya kuweka afya ya mwili .pia ukiweza kutumia hivyo vyakula utapata afya nzuri sana

 

  1. safi wa mazingira,kutoka na apo awali tulivyoona jinsi ya kuweka afya  zetu vizuri. Usafi wa mazingira tunayoishi ni lazima yawe katika hali ya usafi.pia ni muhimu kufanya usafi wa mazingira ya nyumbani au mazingira yote yanayotuzunguka.pia kama kuna sehemu kuna mazingira machafu huvutia sana wadudu ambao ubeba vimelea vya magonjwa.vimelea hivyo huweza kusababisha magonjwa kama vile kuharisha ,kipindupindu,malaria na ugonjwa wa ngozi.inatubidi tuwe tunafanya usafi kila siku katika mazingira yetu ili tusiweze kupata magonjwa hayo.pia tukifanya hivyo tunakuwa tunalinda afya zetu .uchafu ni adui wa maendeleo.

 

  1. kutumia maji safi na salama,ili kuwa na afya bora tunatakiwa kutumia maji safi na salama.kabla ya kunywa maji hakikisha maji yamechemshwa na kuchujwa vizuri kwa kitambaa cheupe na kisafi .maji ya kunywa yachemshwe na yahifadhiwe vizuri kwenye vyombo visafi vyenye mifuniko.ni vizuri kuwa na chombo mahalumu cha kuchotea maji ya kunywa na kumiminina kwenye chombo cha kunywea maji .havitakiwi kutumia chombo hichohicho kuchotea maji na kunywa .hio ilikuwa ni kanuni jinsi gani  tunaweza kuweka mwili wetu katika hali ya usafi na afya njema.

 

  1. kupumzika na kupata usingizi,watu wengi hawajui kama kupumzika na kupata usingizi kama ni njia mojawapo  ya kuweka mwili katika hali ya afya.kupumzika niuhimu kwa afya zetu.watu inabidi watenge muda ili kupumzisha akili na kupata chakula bora.ili kuweka mwili katika hali ya afya .pia ata hivyo inatubidi usiku kulala na kupata usingizi kwa muda wa kutosha .usipolala kwa muda wa kutosha mwili hudhoofika na hatimaye kukosa nguvu.                                                                     Pia ,unaweza kupumzika kwa kujibirudisha kwa kuangalia runinga au kusikiliza radio na kusoma vitabu au magazeti.unapopumzika ,unapata nguvu mpya ya kuendelea na kazi yako,kusoma au kucheza kwa ufanisi au kufanya kazi yako.kupumzika ni muhimu kwa akili ya usalama wako na afya yako .pia inashauri angalau kwa siku moja ulale masaa name (8).ili kuweka wako safi.

 

  1. KUfanya mazoezi ya viungo vya mwili,watu wengi kufanya mazoezi hawafamyi sababu wanaona ni huharibifu wa mda.lakini usichokijua mazoezi ni muhimu sana ili kuweza kuweka mwili sawa.pia inabidi mazoezi yafanyike mara kwa mara.ili kuimarisha afya ya mwili.mazoezi kama.kuruka kamba,kukumbuka,gwaride,.pia mazoezi haya hutusaidia kuwa na utayari wa kufanya kitu .ndo maana uaga tunashuhudia bahadhi ya shure wanakimbia mchaka mchaka.hii uaga inawataka kuwaweka tayari wa kujifunza kwa ufanisi darasani.na kuijenga misuli.pia mchezo huleta burudani ,kwa hiyo ni muhimu kucheza mara kwa mara ili kudumisha afya ya mwili.mtu aliyezoea kucheza hashambuliwi naagonjwa mara kwa mara.ata hivyo ni muhimu kudumisha usafi na kufuata kanuni za afya ili mwili huweze kuwa na afya bora.pia kanuni za afya  kuonekana nadhifu na msafi wakati wote .kuongezeka kwa umri wa kuishi,kutoshambuliwa na maradhi ya mara kwa mara ,kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda mambo mbalimbali kwa ufanisi,wepesi na umakini ,na kuokoa gharama ambazo zingetumika kwenye matibabu.             

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3825

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia Ugonjwa wa kaswende

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.

Soma Zaidi...
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.

Soma Zaidi...
Kichwa kuuma upande mmoja (Migraine): Vyakula vya kuepuka.

Migraine (kichwa kuuma upande mmoja kwa namna ya kugonga au kudunda) ni zaidi ya maumivu ya kichwa ya kawaida; ni hali ya kineva inayoweza kuambatana na kichefuchefu, kutapika, na usikivu mkali wa mwanga au sauti. Ingawa visababishi ni vingi, tafiti zinaonyesha kuwa vyakula fulani ni vichochezi (triggers) vikuu vya mashambulizi haya kwa watu wengi. Makala haya yanakupa mwongozo wa vyakula vya kuepuka ili kupunguza mzunguko na ukali wa maumivu ya migraine.

Soma Zaidi...