JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Tukiangalia katika maisha yetu ya iipa siku tunaona kwamba watu hawaweki mazingira yao katika hali ya usafi.usafi utusaidia kuwa salama na kuondokana na vimelea vya magonjwa.pia ukioga kunakuondolea harufu mbaya unasababishwa na jasho linalotolewa mwilini kwa njia ya ngozi.vilevile,kuoga husaidia kuzibua vitundu vya jasho,ambavyo huziba kutokana na uchafu .Aidha ,kuoga kuoga huifanya ngozi kuonekana nyororo na dhaifu.

 

ZIFUATAZO NI KANUNI ZA AFYA  AMBAZO ZINAWEKA MWILI KATIKA NZURI YA AFYA.

  1. LIshe bora,kutokana na apo mwanzo tulivyoeleza kuhusu afya ya mwili ni muhimu .lishe bora au chakula ni muhimu kwa afya zetu .pia lishe bora ni chakula chenye mchanganyiko wa virutubisho vyote muhimu ambavyo vina protini,vitamin,wanga na sukari,mafuta na madini.pia maji safi na salama ni muhimu kwa afya zetu ,protini hujenga na kukuza mwili .wanga na sukari utia mwili nguvu.mafuta uleta nguvu na joto mwilini.vitamini hupinda mwili ili usipatwe na magonjwa.madini husaidia kuimarisha mifumo na mifupa ya mwili.maji husaidia kumeng'enya chakula.pia maji husaidia kuondoa uchafu wa sumu mwilini  na kurekebisha joto la mwili .hio ni mojawapo ya kanuni nzuri ya kuweka afya ya mwili .pia ukiweza kutumia hivyo vyakula utapata afya nzuri sana

 

  1. safi wa mazingira,kutoka na apo awali tulivyoona jinsi ya kuweka afya  zetu vizuri. Usafi wa mazingira tunayoishi ni lazima yawe katika hali ya usafi.pia ni muhimu kufanya usafi wa mazingira ya nyumbani au mazingira yote yanayotuzunguka.pia kama kuna sehemu kuna mazingira machafu huvutia sana wadudu ambao ubeba vimelea vya magonjwa.vimelea hivyo huweza kusababisha magonjwa kama vile kuharisha ,kipindupindu,malaria na ugonjwa wa ngozi.inatubidi tuwe tunafanya usafi kila siku katika mazingira yetu ili tusiweze kupata magonjwa hayo.pia tukifanya hivyo tunakuwa tunalinda afya zetu .uchafu ni adui wa maendeleo.

 

  1. kutumia maji safi na salama,ili kuwa na afya bora tunatakiwa kutumia maji safi na salama.kabla ya kunywa maji hakikisha maji yamechemshwa na kuchujwa vizuri kwa kitambaa cheupe na kisafi .maji ya kunywa yachemshwe na yahifadhiwe vizuri kwenye vyombo visafi vyenye mifuniko.ni vizuri kuwa na chombo mahalumu cha kuchotea maji ya kunywa na kumiminina kwenye chombo cha kunywea maji .havitakiwi kutumia chombo hichohicho kuchotea maji na kunywa .hio ilikuwa ni kanuni jinsi gani  tunaweza kuweka mwili wetu katika hali ya usafi na afya njema.

 

  1. kupumzika na kupata usingizi,watu wengi hawajui kama kupumzika na kupata usingizi kama ni njia mojawapo  ya kuweka mwili katika hali ya afya.kupumzika niuhimu kwa afya zetu.watu inabidi watenge muda ili kupumzisha akili na kupata chakula bora.ili kuweka mwili katika hali ya afya .pia ata hivyo inatubidi usiku kulala na kupata usingizi kwa muda wa kutosha .usipolala kwa muda wa kutosha mwili hudhoofika na hatimaye kukosa nguvu.                                                                     Pia ,unaweza kupumzika kwa kujibirudisha kwa kuangalia runinga au kusikiliza radio na kusoma vitabu au magazeti.unapopumzika ,unapata nguvu mpya ya kuendelea na kazi yako,kusoma au kucheza kwa ufanisi au kufanya kazi yako.kupumzika ni muhimu kwa akili ya usalama wako na afya yako .pia inashauri angalau kwa siku moja ulale masaa name (8).ili kuweka wako safi.

 

  1. KUfanya mazoezi ya viungo vya mwili,watu wengi kufanya mazoezi hawafamyi sababu wanaona ni huharibifu wa mda.lakini usichokijua mazoezi ni muhimu sana ili kuweza kuweka mwili sawa.pia inabidi mazoezi yafanyike mara kwa mara.ili kuimarisha afya ya mwili.mazoezi kama.kuruka kamba,kukumbuka,gwaride,.pia mazoezi haya hutusaidia kuwa na utayari wa kufanya kitu .ndo maana uaga tunashuhudia bahadhi ya shure wanakimbia mchaka mchaka.hii uaga inawataka kuwaweka tayari wa kujifunza kwa ufanisi darasani.na kuijenga misuli.pia mchezo huleta burudani ,kwa hiyo ni muhimu kucheza mara kwa mara ili kudumisha afya ya mwili.mtu aliyezoea kucheza hashambuliwi naagonjwa mara kwa mara.ata hivyo ni muhimu kudumisha usafi na kufuata kanuni za afya ili mwili huweze kuwa na afya bora.pia kanuni za afya  kuonekana nadhifu na msafi wakati wote .kuongezeka kwa umri wa kuishi,kutoshambuliwa na maradhi ya mara kwa mara ,kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda mambo mbalimbali kwa ufanisi,wepesi na umakini ,na kuokoa gharama ambazo zingetumika kwenye matibabu.             

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3189

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 web hosting    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume

posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga,

Soma Zaidi...
Dalilili za pepopunda

postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu

Soma Zaidi...
Sababu za vidonda sugu vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide) mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.

Soma Zaidi...
Ishara na dalili za saratani ya mdomo.

Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Nd

Soma Zaidi...
nina maambukizi ya zinaha maumivu wakati wa kukojoa na usaha

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...