Menu



NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.

NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI
Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo. Kulingana na tafiti za kiafya zilizofanyika katika maeneo mbali mbli. Nimeona leo niandike kwa uchache kuhusu ugonjwa huu. Kwani watu wengi sana wanasumbuliwa na tatizo hili.

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo umekuwa ukikabiliana na maneno mengi yaliyo potofu. Pia watu wamekuwa wakitumia dawa ambazo ni hatari kwa wenye tatizo hili. Utumiaji wa miti shamba husaidia katika kutibu ugonjwa huu lakini kuwa makini sana juu ya dawa hizi.

Katika makala hii tutakuletea baadhi ya nukuu kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya maradhi haya ya vidonda vya tumbo, ikiwemo sababu, dalili pamoja na matibabu.

YALIYOMO Kama utadownload kitabu chetu utaweza kusoma kwa undani mambo yafuatayo

VIDONDA VYA TUMBO

NINI VIDONDA VYA TUMB?

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

AMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

VIDONDA VYA TUMBO SUGU

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO SUGU

MATIBABU YA VIDONDA SUGU

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO

DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

MWISHO


                   

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 516


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika. Soma Zaidi...

Athari za ugonjwa wa Homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia virusi vya ukimwi
Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi. Soma Zaidi...

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO Matibabu ya vidonda vya tumbo inategemea sababu. Soma Zaidi...

Kichaa cha mbwa.
Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya viungo na viungo kuwaka moto nini sababu zake
Soma Zaidi...

Ni zipi dalili za Ukimwi na ni zipi dalili za VVU
Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI Soma Zaidi...

Tatizo la tezi koo
Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo. Soma Zaidi...

Fahamu mapacha wanavyounganishwa.
Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar Soma Zaidi...

Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...