Menu



NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.

NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI
Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo. Kulingana na tafiti za kiafya zilizofanyika katika maeneo mbali mbli. Nimeona leo niandike kwa uchache kuhusu ugonjwa huu. Kwani watu wengi sana wanasumbuliwa na tatizo hili.

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo umekuwa ukikabiliana na maneno mengi yaliyo potofu. Pia watu wamekuwa wakitumia dawa ambazo ni hatari kwa wenye tatizo hili. Utumiaji wa miti shamba husaidia katika kutibu ugonjwa huu lakini kuwa makini sana juu ya dawa hizi.

Katika makala hii tutakuletea baadhi ya nukuu kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya maradhi haya ya vidonda vya tumbo, ikiwemo sababu, dalili pamoja na matibabu.

YALIYOMO Kama utadownload kitabu chetu utaweza kusoma kwa undani mambo yafuatayo

VIDONDA VYA TUMBO

NINI VIDONDA VYA TUMB?

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

AMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

VIDONDA VYA TUMBO SUGU

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO SUGU

MATIBABU YA VIDONDA SUGU

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO

DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

MWISHO


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 536

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Maumivu ya mgongo.

Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa vericose veini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo ya ini kuwa na kovu

kovu (Fibrosis) ya ini inayosababishwa na aina nyingi za magonjwa na hali ya ini, kama vile Homa ya Ini na unywaji pombe kupita kiasi. Ini hufanya kazi kadhaa muhimu, ikiwa ni pamoja na kuondoa vitu vyenye madhara katika mwili wako, kusafisha damu yako

Soma Zaidi...
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, malaria kukamata namba moja kwenye maradhi hayo)

Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...
JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalilili na sababu za magonjwa ya zinaa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili,SABABU,mambo ya hatari katika Magonjwa ya zinaa (STDs), au magonjwa ya zinaa (STIs), kwa ujumla hupatikana kwa kujamiiana. Vimelea vinavyosababisha magonjwa ya zinaa vinaweza kupita kutoka kwa mtu hadi kwa mtu

Soma Zaidi...
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)

joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.

Soma Zaidi...
Vipimo vya VVU

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo mbalimbali vinavyotumika kupima VVU

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 13: Faida za bamia

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini

Soma Zaidi...