AFYA NA MAGONJWA

AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

AFYA NA MAGONJWA

MAGONJWA
Kama tulivyoona huko juu kuwa kuumwa ni hali ya kutokuwa sawa kimwili na kiakili. Sasa katika kurasa hii tutaangalia zaidi kuhusu magonjwa, na namna ambavyo yanaambukizwa na kusababishwa. Pia tutaangalia zaidi namna ambavyo mwili hupambana na magonjwa hayo. Ukurasa huu utakuwa ni mwangaza kwako msomaji wetu juu ya maradhi na yanayohusiana na maradhi hyo. Pia tutaangalia namna ambavyo maradhi huambukizwa katika mazingira na kutoka mtu na mtu mwingine. Tutaangalia kwa undani mawakala wa kueneza maradhi.

Kabla ya kuendelea mbele zaidi ningependa kuwajulisha wasomaji kuwa hapa tutatumia pia maneno ya kitaalamu. Maneno haya nitaanza kuyatolea ufafanuzi wake kabla ya kuendelea mbele. Maneno hayo ni kama haya;-

1.Maradhi ya kuambukiza (infection diseases) haya ni magonjwa ambayo yana sababishwa na mawakala wa maradhi waliovamia mwilini.
2.Pathogen ni mawakala wa maradhi ambao husababisha maradhi mwilini
3.Virusi nivijidudu vidogo sana ambavyo ni wakala wa kusababisha maradhi
4.Fungus ni vijidudu vidogo ambavyo huula miili ya vitu milivyokufa
5.Antibiotic resistance ni hali ambapo mwili unashindwa kabisa kuuwa virusi


                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 621

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

kitabu cha matunda
kitabu cha matunda

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
MAANA YA AFYA
MAANA YA AFYA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
DONDOO 100 ZA AFYA
DONDOO 100 ZA AFYA

Pata dondoo 100 za Afya

Soma Zaidi...
Kauli za wataalamu wa afya
Kauli za wataalamu wa afya

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu kauli mbalimbali za wataalamu wa afya

Soma Zaidi...
dondoo 100 za Afya
dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 21.

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 81-100
Dondoo za afya 81-100

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya

Soma Zaidi...
CHUKUWA TAHADHARI HIZI KWENYE MAZINGIRA ILI KULINDA AFYA YAKO
CHUKUWA TAHADHARI HIZI KWENYE MAZINGIRA ILI KULINDA AFYA YAKO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...