AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

AFYA NA MAGONJWA

MAGONJWA
Kama tulivyoona huko juu kuwa kuumwa ni hali ya kutokuwa sawa kimwili na kiakili. Sasa katika kurasa hii tutaangalia zaidi kuhusu magonjwa, na namna ambavyo yanaambukizwa na kusababishwa. Pia tutaangalia zaidi namna ambavyo mwili hupambana na magonjwa hayo. Ukurasa huu utakuwa ni mwangaza kwako msomaji wetu juu ya maradhi na yanayohusiana na maradhi hyo. Pia tutaangalia namna ambavyo maradhi huambukizwa katika mazingira na kutoka mtu na mtu mwingine. Tutaangalia kwa undani mawakala wa kueneza maradhi.

Kabla ya kuendelea mbele zaidi ningependa kuwajulisha wasomaji kuwa hapa tutatumia pia maneno ya kitaalamu. Maneno haya nitaanza kuyatolea ufafanuzi wake kabla ya kuendelea mbele. Maneno hayo ni kama haya;-

1.Maradhi ya kuambukiza (infection diseases) haya ni magonjwa ambayo yana sababishwa na mawakala wa maradhi waliovamia mwilini.
2.Pathogen ni mawakala wa maradhi ambao husababisha maradhi mwilini
3.Virusi nivijidudu vidogo sana ambavyo ni wakala wa kusababisha maradhi
4.Fungus ni vijidudu vidogo ambavyo huula miili ya vitu milivyokufa
5.Antibiotic resistance ni hali ambapo mwili unashindwa kabisa kuuwa virusi


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Jiunge nasi WhatsApp
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 819

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

dondoo 100 za Afya

Basi tambua haya;- 61.

Soma Zaidi...
DALILI ZA KUTOKA AU KUHARIBIKA KWA MIMBA

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka magonjwa ya figo

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo

Soma Zaidi...
kitabu cha afya

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Nina shida hiyo maumivu chini ya tumbo upande wa kushoto na mkojo wa kahawia sana na unatoa arufu

Kama unapatwa na maumivu ya tumbo na ilhali mkojo ni mchafu, ama una harufu sana, basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Fahamu mtindo mzuri wa maisha

Postei hizi inahusu zaidi mtindo mzuri wa maisha, yaani mtu ale ki vipi au afanyeni nini ili kuweza kuboresha afya yake.

Soma Zaidi...
DONDOO 100 ZA AFYA

Pata dondoo 100 za Afya

Soma Zaidi...