ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO
Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha:
Kutokwa na damu kwa ndani. Kutokwa na damu kunaweza kutokea polepole ambapo huweza kusababisha upungufu wa damu au upotezaji mkubwa wa damu ambao unaweza kuhitaji kulazwa hospitalini au kuongezewa damu. Kupungua kwa damu kunaweza kusababishwaa pia na kutapika damu au damu kwenye kinyesi
Kusababisha Maambukizi. Vidonda vya tumbo vinaweza kula utando laini na kusababisha shimo kupitia ukuta wa tumbo lako au utumbo mdogo, na kukuweka katika hatari ya kuambukizwa magonjwa mengine kama kusababisha uvimbe tumboni (peritonitis).
Kuzuia mmengβenyo wa chakula. Vidonda vya tumbo vinaweza kuzuia kifungu cha chakula kupitia njia ya kumengenya, na kukufanya uwe kushiba kwa haraka, kutapika na kupoteza uzito kupitia uvimbe kutoka kwa kuvimba au vidonda.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Madrasa kiganjani π3 kitabu cha Simulizi π4 Kitabu cha Afya π5 ai web app π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Je unaweza sex na mwanamke mwenye HIV na ukaenda kupima wiki moja na ukagundurika kwa vipimo vya maabara
Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.
Soma Zaidi...MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI
Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Soma Zaidi...Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.
Soma Zaidi...