Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo.
1. Kama tulivyokwisha tangulia kusema kwamba tatizo hili uwapata watu mbalimbali, na hasa uwapata sana watu wanaoishi sehemu zenye mikusanyiko mbalimbali na kuna wataalam mbalimbali ambazo wameweza kutoa takwimu kwamba ugonjwa huu uwapata watu wa kwenye machimbo kwa sababu ya matumizi ya vyakula vya kwenye mifuko ya nailoni ila sio hawa tu na wengine wanaweza kupata kwa sababu zifuatazo.
2. Kuna sababu ambazo utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya virus, kwa kawaida tunafahamu kwamba ugonjwa ambao usababishwa na virus ni vigumu kupona inawezekana ugonjwa ukaisha wenyewe au kwa wakati mwingine tunatibu dalili kama vile homa , kikohozi na miwasho kwenye koo kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi.
3. Sababu nyingine ni pamoja na Maambukizi ya bakteria, kwa kawaida pengine kuvimba au Maambukizi kwenye koo usababishwa na kuwepo kwa Maambukizi ya bakteria, kwa kawaida kama Maambukizi yametokana na bakteria uponyaji ni rahisi kwa hiyo pamoja na kutibu dalili kama vile kutuliza homa, kutuliza maumivu, miwasho na kikohozi vile vile na antibiotics zinaweza kutumika na mtu akaomba kabisa na kuendelea na shughuli zake za kawaida.
4. Sababu nyingine ni pamoja na upungufu wa vitamini mbalimbali kwenye mwili.
Kwa kawaida tunafahamu matumizi ya vitamini kwenye mwili kwa hiyo kama vitamini vinakosa usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye koo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia mboga mboga za majani,matunda na matumizi ya mlo kamili kwa kufanya hivyo tunaweza kuepuka kuwepo kwa maambukizi kwenye koo.
5. Upungufu wa kinga mwilini.
Kwa kawaida watu wenye upungufu wa kinga mwilini ushambuliaji na magonjwa mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia vidonge au dawa ili kuweza kuongeza kinga na kuzuia magonjwa kama ya koo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa
Main: Post
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Views 1690
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Kitabu cha Afya
Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili. Soma Zaidi...
Fahamu Dalili zinazotokana na kuzama kwenye majj kwa watoto.
Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua. Soma Zaidi...
Je vidonda vya tumbo husababisha maumivu mpka upande mmoja wa mgongoni !?
Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula. Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu Soma Zaidi...
MINYOO NA ATHARI ZAKE KIAFYA, NA NAMNA YA KUPAMBANA NA MINYOO NA DALILIZAKE.
Soma Zaidi...
Je kwa mfano mimi nmeupata ukimwi leo na sihitaji kwenda kupima yaaan uanza kujionyesha baada ya muda gani
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika? Soma Zaidi...
Matibabu ya VVU na UKIMWI
Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya VVU/UKIMWI Soma Zaidi...
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili. Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)
Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)
Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi Soma Zaidi...