Tatizo la tezi koo

Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo.

Tatizo la tezi kwenye koo.

1. Kama tulivyokwisha tangulia kusema kwamba tatizo hili uwapata watu mbalimbali, na hasa uwapata sana watu wanaoishi sehemu zenye mikusanyiko mbalimbali na kuna wataalam mbalimbali ambazo wameweza kutoa takwimu kwamba ugonjwa huu uwapata watu wa kwenye machimbo kwa sababu ya matumizi ya vyakula vya kwenye mifuko ya nailoni ila sio hawa tu na wengine wanaweza kupata kwa sababu zifuatazo.

 

2. Kuna sababu ambazo utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya virus, kwa kawaida tunafahamu kwamba ugonjwa ambao usababishwa na virus ni vigumu kupona inawezekana ugonjwa ukaisha wenyewe au kwa wakati mwingine tunatibu dalili kama vile homa , kikohozi na miwasho kwenye koo kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi.

 

3. Sababu nyingine ni pamoja na Maambukizi ya bakteria, kwa kawaida pengine kuvimba au Maambukizi kwenye koo usababishwa na kuwepo kwa Maambukizi ya bakteria, kwa kawaida kama Maambukizi yametokana na bakteria uponyaji ni rahisi kwa hiyo pamoja na kutibu dalili kama vile kutuliza homa, kutuliza maumivu, miwasho na kikohozi vile vile na antibiotics zinaweza kutumika na mtu akaomba kabisa na kuendelea na shughuli zake za kawaida.

 

4. Sababu nyingine ni pamoja na upungufu wa vitamini mbalimbali kwenye mwili.

Kwa kawaida tunafahamu matumizi ya vitamini kwenye mwili kwa hiyo kama vitamini vinakosa usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye koo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia mboga mboga za majani,matunda na matumizi ya mlo kamili kwa kufanya hivyo tunaweza kuepuka kuwepo kwa maambukizi kwenye koo.

 

5. Upungufu wa kinga mwilini.

Kwa kawaida watu wenye upungufu wa kinga mwilini ushambuliaji na magonjwa mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia vidonge au dawa ili kuweza kuongeza kinga na kuzuia magonjwa kama ya koo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2172

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 web hosting    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dalili za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu -multiple sclerosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.

Soma Zaidi...
Dalilili za saratani ya utumbo

Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza

Soma Zaidi...
Madhara ya mwili kujaa sumu

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.

Soma Zaidi...
Dalili kwa mtu anayeharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.

Soma Zaidi...
Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?

Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi

Soma Zaidi...
Namna Maambukizi kwenye milija na ovari yanavyotokea

Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia upele

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.

Soma Zaidi...
Fangasi wa kwenye kucha: dalili zake, na kumbambana nao

Hawa ni fangasi ambao wanashambulia sana kwenye kucha za vidole vya mikonobna miguu.

Soma Zaidi...