Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Kwanza wacha tuzione njia kuu mbili ambazo ndizo husababisha ugonjw ahuu kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwend akwa mtu mwingine.
Ugonjwa wa malaria unaambukizwa kwa njia kuu mbili:
1. Kuung'atwa na mbu wa Anopheles:
Hii ndiyo njia ya kawaida ya maambukizi ya malaria. Mbu wa Anopheles, anayejulikana kama mbu wa usiku, hubeba vimelea vya malaria aina ya Plasmodium. Vimelea hivi huingia kwenye mwili wa binadamu wakati mbu anapopiga damu.
Mifano:
2. Njia zingine:
Njia zingine za maambukizi ya malaria ni nadra, lakini zinaweza kutokea:
Mifano:
Hatuwa za ukuaji wa vimelea vya malaria mwilini:
Sasa wacha tuone hatuwa ambazo vijidudu vya malaria vinapitia ndani ya mwili kabla ya kusababisha malaria. katika hatuwa hizi ini ni sehemu muhimu sana kwa vimelea vya Malaria kukuwa.
Vimelea vya malaria aina ya Plasmodium vinapopita kwenye mwili wa binadamu hupitia hatua kadhaa kabla ya kusababisha dalili za malaria:
Hatua ya 1: Kuingia Mwilini:
Mfano:
Hatua ya 2: Kukuwa Katika Ini:
Mfano:
Hatua ya 3: Kuingia Kwenye Seli Nyekundu za Damu:
Mfano:
Hatua ya 4: Dalili za Malaria:
Mfano:
Hatua ya 5: Kusambazwa kwa Vimelea:
Mfano:
Hatua za Kuzuia Malaria:
Kufuata hatua hizi kunaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya malaria na kuokoa maisha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unyogovu (Depression ) ni mojawapo ya ugonjwa wa akili ambao unahusishwa na hisia za huzuni, kukosa matumaini, na kupoteza furaha au shauku katika shughuli za kila siku. Huu si tu hisia ya huzuni iliyokatisha tamaa, bali ni hali sugu inayoweza kuathiri mabadiliko ya mwili, mawazo, na tabia ya mtu. Unyogovu unaweza kutokea kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kemikali katika ubongo, maumbile, mazingira, na matukio mbali mbali katika maisha ambayo kupelekea mgonjwa kuwa hivyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.
Soma Zaidi...Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.
Soma Zaidi...