Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Kwanza wacha tuzione njia kuu mbili ambazo ndizo husababisha ugonjw ahuu kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwend akwa mtu mwingine.
Ugonjwa wa malaria unaambukizwa kwa njia kuu mbili:
1. Kuung'atwa na mbu wa Anopheles:
Hii ndiyo njia ya kawaida ya maambukizi ya malaria. Mbu wa Anopheles, anayejulikana kama mbu wa usiku, hubeba vimelea vya malaria aina ya Plasmodium. Vimelea hivi huingia kwenye mwili wa binadamu wakati mbu anapopiga damu.
Mifano:
2. Njia zingine:
Njia zingine za maambukizi ya malaria ni nadra, lakini zinaweza kutokea:
Mifano:
Hatuwa za ukuaji wa vimelea vya malaria mwilini:
Sasa wacha tuone hatuwa ambazo vijidudu vya malaria vinapitia ndani ya mwili kabla ya kusababisha malaria. katika hatuwa hizi ini ni sehemu muhimu sana kwa vimelea vya Malaria kukuwa.
Vimelea vya malaria aina ya Plasmodium vinapopita kwenye mwili wa binadamu hupitia hatua kadhaa kabla ya kusababisha dalili za malaria:
Hatua ya 1: Kuingia Mwilini:
Mfano:
Hatua ya 2: Kukuwa Katika Ini:
Mfano:
Hatua ya 3: Kuingia Kwenye Seli Nyekundu za Damu:
Mfano:
Hatua ya 4: Dalili za Malaria:
Mfano:
Hatua ya 5: Kusambazwa kwa Vimelea:
Mfano:
Hatua za Kuzuia Malaria:
Kufuata hatua hizi kunaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya malaria na kuokoa maisha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.
Soma Zaidi...UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inawe
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen
Soma Zaidi...Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...