picha

ugonjwa wa Malaria dalili zake na chanzo chake.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.

Kwanza wacha tuzione njia kuu mbili ambazo ndizo husababisha ugonjw ahuu kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwend akwa mtu mwingine.

 

Ugonjwa wa malaria unaambukizwa kwa njia kuu mbili:

1. Kuung'atwa na mbu wa Anopheles:

Hii ndiyo njia ya kawaida ya maambukizi ya malaria. Mbu wa Anopheles, anayejulikana kama mbu wa usiku, hubeba vimelea vya malaria aina ya Plasmodium. Vimelea hivi huingia kwenye mwili wa binadamu wakati mbu anapopiga damu.

Mifano:

2. Njia zingine:

Njia zingine za maambukizi ya malaria ni nadra, lakini zinaweza kutokea:

Mifano:

 

Hatuwa za ukuaji wa vimelea vya malaria mwilini:

Sasa wacha tuone hatuwa ambazo vijidudu vya malaria vinapitia ndani ya mwili kabla ya kusababisha malaria. katika hatuwa hizi ini ni sehemu muhimu sana kwa vimelea vya Malaria kukuwa.

Vimelea vya malaria aina ya Plasmodium vinapopita kwenye mwili wa binadamu hupitia hatua kadhaa kabla ya kusababisha dalili za malaria:

Hatua ya 1: Kuingia Mwilini:

Mfano:

Hatua ya 2: Kukuwa Katika Ini:

Mfano:

Hatua ya 3: Kuingia Kwenye Seli Nyekundu za Damu:

Mfano:

Hatua ya 4: Dalili za Malaria:

Mfano:

Hatua ya 5: Kusambazwa kwa Vimelea:

Mfano:

Hatua za Kuzuia Malaria:

Kufuata hatua hizi kunaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya malaria na kuokoa maisha.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2293

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Kichwa kuuma upande mmoja (Migraine): Vyakula vya kuepuka.

Migraine (kichwa kuuma upande mmoja kwa namna ya kugonga au kudunda) ni zaidi ya maumivu ya kichwa ya kawaida; ni hali ya kineva inayoweza kuambatana na kichefuchefu, kutapika, na usikivu mkali wa mwanga au sauti. Ingawa visababishi ni vingi, tafiti zinaonyesha kuwa vyakula fulani ni vichochezi (triggers) vikuu vya mashambulizi haya kwa watu wengi. Makala haya yanakupa mwongozo wa vyakula vya kuepuka ili kupunguza mzunguko na ukali wa maumivu ya migraine.

Soma Zaidi...
Maumivu ya kichwa cha mara kwa mara (Migraine): Dalili na tiba.

Migraine si maumivu ya kawaida ya kichwa; ni hali ya mfumo wa neva inayoweza kuathiri vibaya maisha ya kila siku ya mtu. Inajidhihirisha kwa maumivu makali ya upande mmoja wa kichwa, yanayoambatana na kichefuchefu, kutapika, na unyeti mkubwa kwa mwanga na sauti. Makala haya yanafafanua kwa kina kile kinachotokea wakati wa shambulio la migraine, jinsi ya kutofautisha na maumivu mengine ya kichwa, na mikakati ya kitaalamu ya kudhibiti na kutibu hali hii.

Soma Zaidi...
VYANZO VYA MINYOO: nyama isiyowiva, maji machafu, kinyesi, uchafu wa mazingira, udongo

VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Mzio (aleji) na Dalili zake

Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...