picha

ugonjwa wa Malaria dalili zake na chanzo chake.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.

Kwanza wacha tuzione njia kuu mbili ambazo ndizo husababisha ugonjw ahuu kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwend akwa mtu mwingine.

 

Ugonjwa wa malaria unaambukizwa kwa njia kuu mbili:

1. Kuung'atwa na mbu wa Anopheles:

Hii ndiyo njia ya kawaida ya maambukizi ya malaria. Mbu wa Anopheles, anayejulikana kama mbu wa usiku, hubeba vimelea vya malaria aina ya Plasmodium. Vimelea hivi huingia kwenye mwili wa binadamu wakati mbu anapopiga damu.

Mifano:

2. Njia zingine:

Njia zingine za maambukizi ya malaria ni nadra, lakini zinaweza kutokea:

Mifano:

 

Hatuwa za ukuaji wa vimelea vya malaria mwilini:

Sasa wacha tuone hatuwa ambazo vijidudu vya malaria vinapitia ndani ya mwili kabla ya kusababisha malaria. katika hatuwa hizi ini ni sehemu muhimu sana kwa vimelea vya Malaria kukuwa.

Vimelea vya malaria aina ya Plasmodium vinapopita kwenye mwili wa binadamu hupitia hatua kadhaa kabla ya kusababisha dalili za malaria:

Hatua ya 1: Kuingia Mwilini:

Mfano:

Hatua ya 2: Kukuwa Katika Ini:

Mfano:

Hatua ya 3: Kuingia Kwenye Seli Nyekundu za Damu:

Mfano:

Hatua ya 4: Dalili za Malaria:

Mfano:

Hatua ya 5: Kusambazwa kwa Vimelea:

Mfano:

Hatua za Kuzuia Malaria:

Kufuata hatua hizi kunaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya malaria na kuokoa maisha.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2321

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 ai web app     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo.

Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Dalili za mawe kwenye kibofu Cha mkono

Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.

Soma Zaidi...
Kaswende isiyotibiwa: Athari zake kwenye ubongo na moyo.

​Kaswende ni ugonjwa wa zinaa (STI) unaosababishwa na bakteria Treponema pallidum. Ingawa ugonjwa huu hupona kirahisi kwa kutumia dawa za antibayotiki (kama Penicillin) katika hatua za awali, kuupuza dalili au kutokumaliza dozi husababisha bakteria kusambaa mwilini na kuathiri mifumo muhimu ya viungo. Makala hii inachunguza hatua ya tatu ya ugonjwa huu (Tertiary Syphilis) na uharibifu wa kudumu inaoweza kusababisha kwenye mfumo wa neva na moyo.

Soma Zaidi...
Vyakula Vinavyosaidia Afya ya Uzazi kwa Mwanamke: Mwongozo wa Lishe Bora

Muhtasari (Executive Summary) ​Afya ya uzazi ya mwanamke inategemea kwa kiasi kikubwa uwiano wa vichocheo mwilini (hormonal balance), afya ya mayai (oocytes), na mazingira salama ya mfuko wa uzazi. Lishe duni inaweza kusababisha matatizo kama kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi au ugumu wa kupata ujauzito. Makala haya yanachambua vyakula vya asili vinavyosaidia kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke, kuboresha ute wa uzazi, na kuongeza nafasi ya kushika ujauzito kwa njia salama.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)

Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.

Soma Zaidi...
Kwa nini kung’atwa na mbu hakuambukizi UKIMWI?

Ingawa mbu hunyonya damu kwa binadamu, hawana uwezo wa kueneza virusi vya UKIMWI (VVU). Sababu ni kwamba virusi vya VVU haviwezi kuishi wala kuzaliana ndani ya mwili wa mbu, na pia mbu hawaingizi damu ya mtu mmoja kwa mwingine wanapong’ata.

Soma Zaidi...