Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.
Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende .
1. Kwanza kabisa tunaangalia dalili za mgonjwa alizonazo na pia kuongea naye kuhusu wanawake alionao kama ni mwanamme na wanaume alionao kama ni mwanamke hapo tunaweza kuoanisha dalili na history.
2. Pia kupima damu.
Kwatika kupima damu tunaweza kugundua bakteria wanaosababisha kaswende kwenye damu na kuweza kuanzisha matibabu kwa waathirika.
3. Kupima maji maji.
Pia kuna mbinu nyingine ya kupima majimaji hasa hasa kwenye hatua ya kwanza na ya pili kwa kufanya hivyo chancres wadudu wanaoeneza kaswende uonekane kwenye maji maji.
4. Kupiymaji ya kwenye uti wa mgongo ambao kwa kitaalamu huitwa cerebral spinal fluid, kwenye maji maji hayo na penyewe chancres upatikana. Kwa sababu wadudu hawa usamambaa mwilini kwa watoa huduma za afya wawe makini ili kuepuka kuambukizwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani
Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa degedege na dalili zake
Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo
Soma Zaidi...Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.
Soma Zaidi...