Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.
1. Dalili ya kwanza ni kupumua kwa taabu.
Kwa sababu moyo unatumia nguvu kusukuma damu kupitia kwenye vizuizu mbalimbali kama vile kwenye mlundikano wa madini na mambo mbalimbali lakini ni kiasi kidogo cha damu ambacho ufika kwenye viuongo vya mwili uangaika Ili kuweza kufanya kazi vizuri na pia pumzi upungua hali ambayo usababisha upumuaji WA shida.
2. Kuwepo kwa mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.
Kwa sababu mbalimbali pakiwemo na kupanda kwa shinikizo la damu usababisha kuwepo kwa mabadiliko ya mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya haraka na yanaweza kuwa ya kawaida as u kidogo kutegemea.
3. Kujaa na kuvimba kwa mwili hasa miguu na sehemu mbalimbali za mwili, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye Moyo.
4. Vidole kufa ganzi na kukakama
Kwa kawaida moyo ukipata matatizo Kuna sehemu nyingine hukosa damu kabisa kwa sababu ya damu kushindwa kuzunguka sehemu hiyo hali ambayo upelekea kukakama na kufa ganzi kwa baadhi ya mwili mfano kwenye vidole, miguu na sehemu mbalimbali za mwili.
5. Maumivu ya kifua au kwa wakati mwingine kifua kinabada.kwa Sababu ya moyo kushindwa kusukuma damu usababisha na mfuko wa upumuaji kuleta shida.
6. Kuhisi kizungu zungu.
Kwa kawaida damu ikipungua kwenye mwili kizungu zungu nacho uongezeka kwa sababu ya upungufu wa damu mwilini.
7. X-ray.
Kwa kutumia x-ray ni rahisi kuona kama moyo umepanuka, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia x-ray Ili kugundua kama moyo umepanuka na kutoa matibabu ya kutosha
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
Soma Zaidi...kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...