Dalili za moyo kutanuka

Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Download Post hii hapa

Dalili za moyo kutanuka.

1. Dalili ya kwanza ni kupumua kwa taabu.

Kwa sababu moyo unatumia nguvu kusukuma damu kupitia kwenye vizuizu mbalimbali kama vile kwenye mlundikano wa madini na mambo mbalimbali lakini ni kiasi kidogo cha damu ambacho ufika kwenye viuongo vya mwili uangaika Ili kuweza kufanya kazi vizuri na pia pumzi upungua hali ambayo usababisha upumuaji WA shida.

 

2. Kuwepo kwa mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.

Kwa sababu mbalimbali pakiwemo na kupanda kwa shinikizo la damu usababisha kuwepo kwa mabadiliko ya mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya haraka na yanaweza kuwa ya kawaida as u kidogo kutegemea.

 

3. Kujaa na kuvimba kwa mwili hasa miguu na sehemu mbalimbali za mwili, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye Moyo.

 

4. Vidole kufa ganzi na kukakama

Kwa kawaida moyo ukipata matatizo Kuna sehemu nyingine hukosa damu kabisa kwa sababu ya damu kushindwa kuzunguka sehemu hiyo hali ambayo upelekea kukakama na kufa ganzi kwa baadhi ya mwili mfano kwenye vidole, miguu na sehemu mbalimbali za mwili.

 

5. Maumivu ya kifua au kwa wakati mwingine kifua kinabada.kwa Sababu ya moyo kushindwa kusukuma damu usababisha na mfuko wa upumuaji kuleta shida.

 

6. Kuhisi kizungu zungu.

Kwa kawaida damu ikipungua kwenye mwili kizungu zungu nacho uongezeka kwa sababu ya upungufu wa damu mwilini.

 

7. X-ray.

Kwa kutumia x-ray ni rahisi kuona kama moyo umepanuka, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia x-ray Ili kugundua kama moyo umepanuka na kutoa matibabu ya kutosha

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 5929

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa
Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

Soma Zaidi...
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE

Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala

Soma Zaidi...
 Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.

Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.

Soma Zaidi...
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

Soma Zaidi...
Madhara ya kichaa cha mbwa
Madhara ya kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

Soma Zaidi...
Hernia
Hernia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa hernia

Soma Zaidi...
Saratani ya matiti (breasts cancer)
Saratani ya matiti (breasts cancer)

Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ

Soma Zaidi...
Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo
Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo

HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)

joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.

Soma Zaidi...
Bawasili usababishwa na nini?
Bawasili usababishwa na nini?

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.

Soma Zaidi...