Dalili za moyo kutanuka


image


Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.


Dalili za moyo kutanuka.

1. Dalili ya kwanza ni kupumua kwa taabu.

Kwa sababu moyo unatumia nguvu kusukuma damu kupitia kwenye vizuizu mbalimbali kama vile kwenye mlundikano wa madini na mambo mbalimbali lakini ni kiasi kidogo cha damu ambacho ufika kwenye viuongo vya mwili uangaika Ili kuweza kufanya kazi vizuri na pia pumzi upungua hali ambayo usababisha upumuaji WA shida.

 

2. Kuwepo kwa mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.

Kwa sababu mbalimbali pakiwemo na kupanda kwa shinikizo la damu usababisha kuwepo kwa mabadiliko ya mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya haraka na yanaweza kuwa ya kawaida as u kidogo kutegemea.

 

3. Kujaa na kuvimba kwa mwili hasa miguu na sehemu mbalimbali za mwili, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye Moyo.

 

4. Vidole kufa ganzi na kukakama

Kwa kawaida moyo ukipata matatizo Kuna sehemu nyingine hukosa damu kabisa kwa sababu ya damu kushindwa kuzunguka sehemu hiyo hali ambayo upelekea kukakama na kufa ganzi kwa baadhi ya mwili mfano kwenye vidole, miguu na sehemu mbalimbali za mwili.

 

5. Maumivu ya kifua au kwa wakati mwingine kifua kinabada.kwa Sababu ya moyo kushindwa kusukuma damu usababisha na mfuko wa upumuaji kuleta shida.

 

6. Kuhisi kizungu zungu.

Kwa kawaida damu ikipungua kwenye mwili kizungu zungu nacho uongezeka kwa sababu ya upungufu wa damu mwilini.

 

7. X-ray.

Kwa kutumia x-ray ni rahisi kuona kama moyo umepanuka, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia x-ray Ili kugundua kama moyo umepanuka na kutoa matibabu ya kutosha



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo? Soma Zaidi...

image Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa Soma Zaidi...

image Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika. Soma Zaidi...

image Mambo ya kufanya kama una kiungulia
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili
Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea. Soma Zaidi...

image Upungufu wa homoni ya cortisol
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye mawazo na pia Kuna dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa. Soma Zaidi...

image Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii Soma Zaidi...