Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.
1. Dalili ya kwanza ni kupumua kwa taabu.
Kwa sababu moyo unatumia nguvu kusukuma damu kupitia kwenye vizuizu mbalimbali kama vile kwenye mlundikano wa madini na mambo mbalimbali lakini ni kiasi kidogo cha damu ambacho ufika kwenye viuongo vya mwili uangaika Ili kuweza kufanya kazi vizuri na pia pumzi upungua hali ambayo usababisha upumuaji WA shida.
2. Kuwepo kwa mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.
Kwa sababu mbalimbali pakiwemo na kupanda kwa shinikizo la damu usababisha kuwepo kwa mabadiliko ya mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya haraka na yanaweza kuwa ya kawaida as u kidogo kutegemea.
3. Kujaa na kuvimba kwa mwili hasa miguu na sehemu mbalimbali za mwili, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye Moyo.
4. Vidole kufa ganzi na kukakama
Kwa kawaida moyo ukipata matatizo Kuna sehemu nyingine hukosa damu kabisa kwa sababu ya damu kushindwa kuzunguka sehemu hiyo hali ambayo upelekea kukakama na kufa ganzi kwa baadhi ya mwili mfano kwenye vidole, miguu na sehemu mbalimbali za mwili.
5. Maumivu ya kifua au kwa wakati mwingine kifua kinabada.kwa Sababu ya moyo kushindwa kusukuma damu usababisha na mfuko wa upumuaji kuleta shida.
6. Kuhisi kizungu zungu.
Kwa kawaida damu ikipungua kwenye mwili kizungu zungu nacho uongezeka kwa sababu ya upungufu wa damu mwilini.
7. X-ray.
Kwa kutumia x-ray ni rahisi kuona kama moyo umepanuka, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia x-ray Ili kugundua kama moyo umepanuka na kutoa matibabu ya kutosha
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.
Soma Zaidi...Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.
Soma Zaidi...Virusi vya korona ni katika aina za virusi ambavyo asili yake ni kutoka kwa wanyama na kuja kwa binadamu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe au puto katika mshipa wa damu kwenye ubongo. Uvimbe kwenye Ubongo unaweza kuvuja au kupasuka, na kusababisha kuvuja damu kwenye ubongo. Mara nyingi, kupasuka kwa Uvimbe wa Ubongo hutokea katika nafasi kati
Soma Zaidi...sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Nd
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.
Soma Zaidi...