Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.

Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kazi ya mapafu ambayo ni kuruhusu hewa safi kuingia kwenye mwili na kuruhusu hewa chafu kutoka kwenye mwili na kwenda nje,Kwa kufanya hivyo,mtu anaweza kupata hewa safi na kutoa hewa chafu nje,Kwa kawaida mapafu yasipofanya kazi vizuri madhara mengi utokea Kwa mtu,hata mtu akija kukata roho kwenye dakikia zake za mwisho Huwa tunaangali hewa,kwa hiyo hewa ni kitu Cha muhimu sana ,Kwa hiyo mapafu yasipofanya kazi vizuri ni rahisi kupata matatizo Zaidi na madhara mengi kama hasa kama mapafu yakishambuliwa na kuwepo Kwa usaha tunapata matatizo yafuatayo kama vile.

 

 

 

2. Kusambaza Kwa maambukizi kwenye mfumo mzima wa upumuaji.

Kwa kawaida ili hewa iweze kutoka na kuingia Kuna mfumo ambao hewa upitia hatua Kwa hatua Kwa mfano kwenye trachea,bronch,bronchiole, alveoli, alveolar sacs,mapafu na sehemu mbalimbali,kwa hiyo basi kama sehemu ya kwenye mapafu imepata shida na kuwa na usaha lazima bakteria watasambaa sehemu nyingine za mfumo wa upumuaji na kuleta maambukizi,Kwa hiyo Kwa kuwa tumeshaona dalili, nja za kutumia kutambua kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ni vizuri kabisa kutibu tatizo mapema ili kuepuka hali ya kusambaza kwenye mfumo mzima wa upumuaji na kuleta madhara makubwa Zaidi.

 

 

 

 

3. Vile Vila maambukizi yanaweza kusambambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kupitia kwenye mzunguko wa damu.

Kwa kawaida tunafahamu kwenye mwili wa binadamu ni Kama machine,mwili wabinadamu una mishipa ya artery, vein na mishipa midogo midogo, mishipa ya artery usabaza damu safi kwenye mwili kutoka kwenye moyo,mishipa ya veini utoa damu chafu kwenye mwili mpaka sehemu mbalimbali za mwili, Kwa hiyo basi na vile vile kwenye mapafu Kuna mishipa hiyo ya artery na vein naufanya kazi hiyo, ikitokea Kuna maambukizi kwenye mapafu na wadudu ubebwa kwenye mzunguko wa damu,mpaka sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye ubongo na kusababisha usaha sehemu hizo hizo nazo zinaweza kupata matatizo hayo hayo,Kwa hiyo wapendwa wasomaji matibabu ni lazima ili kuweza kuepuka madhara makubwa Zaidi.

 

 

 

 

4. Kuharibika Kwa mishipa inayopeleka na kutoa damu kwenye mapafu .

Kwa sababu ya kuwepo Kwa usahaa kwenye mapafu na pia pengine Kwa Sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu ambayo usababisha kuwepo Kwa damu usababisha kuharibika Kwa mishipa inayopeleka damu kwenye mapafu na kutoa damu kwenye mapafu, Kwa hiyo hali ya mgonjwa inawezekana kuwa mbaya Kwa sababu ya kukosa damu ya kutosha kwenye mapafu.na pengine hiyo mishipa inawezekana kushambulia na bakteria walipo Kwa sababu ya kukosa Kwa matibabu.

 

 

 

 

5. Upungufu wa hewa safi ambayo Kwa kitaalamu huitwa oxygen na kupngezeka Kwa hewa chafu kwenye mapafu ambayo Kwa kitaalamu huitwa carbon dioxide.

Kwa sababu ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu na kuharibika Kwa mishipa ambayo upeleka damu kwenye mapafu hali hii usababisha damu ya oxygen kupungua na kusababisha kuongezeka Kwa damu ya carbon dioxide kwenye mapafu hali ambayo usababisha maisha ya mgonjwa kuwa magumu, Zaidi Kwa hiyo matibabu ni lazima kabisa ili kuweza kuokoa maisha ya mgonjwa.

 

 

6. Baada ya kuona madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu kuwa ni mengi na matibabu yanahitajika Kwa mgonjwa ili kuweza kuokoa maisha ya mgonjwa na kujaribu kuelimisha jamii kuhusu kuwepo Kwa ugonjwa huu na kwamba unatibika na kujaribu kutoa Mila mbaya za kuwatenga wale walio na ugonjwa huu kwenye jamii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 925

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Maradhi ya macho, dalili zake na matibabu yake

Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake

Soma Zaidi...
Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa

Soma Zaidi...
Tatizo la tezi koo

Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI

Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Dalilili za pepopunda

postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu

Soma Zaidi...
Dalili za Ukimwi

Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV

Soma Zaidi...
Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?

kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.

Soma Zaidi...