Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

MADHARA YA KUWEPO KWA USAHA KWENYE MAPAFU


image


Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.


Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kazi ya mapafu ambayo ni kuruhusu hewa safi kuingia kwenye mwili na kuruhusu hewa chafu kutoka kwenye mwili na kwenda nje,Kwa kufanya hivyo,mtu anaweza kupata hewa safi na kutoa hewa chafu nje,Kwa kawaida mapafu yasipofanya kazi vizuri madhara mengi utokea Kwa mtu,hata mtu akija kukata roho kwenye dakikia zake za mwisho Huwa tunaangali hewa,kwa hiyo hewa ni kitu Cha muhimu sana ,Kwa hiyo mapafu yasipofanya kazi vizuri ni rahisi kupata matatizo Zaidi na madhara mengi kama hasa kama mapafu yakishambuliwa na kuwepo Kwa usaha tunapata matatizo yafuatayo kama vile.

 

 

 

2. Kusambaza Kwa maambukizi kwenye mfumo mzima wa upumuaji.

Kwa kawaida ili hewa iweze kutoka na kuingia Kuna mfumo ambao hewa upitia hatua Kwa hatua Kwa mfano kwenye trachea,bronch,bronchiole, alveoli, alveolar sacs,mapafu na sehemu mbalimbali,kwa hiyo basi kama sehemu ya kwenye mapafu imepata shida na kuwa na usaha lazima bakteria watasambaa sehemu nyingine za mfumo wa upumuaji na kuleta maambukizi,Kwa hiyo Kwa kuwa tumeshaona dalili, nja za kutumia kutambua kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ni vizuri kabisa kutibu tatizo mapema ili kuepuka hali ya kusambaza kwenye mfumo mzima wa upumuaji na kuleta madhara makubwa Zaidi.

 

 

 

 

3. Vile Vila maambukizi yanaweza kusambambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kupitia kwenye mzunguko wa damu.

Kwa kawaida tunafahamu kwenye mwili wa binadamu ni Kama machine,mwili wabinadamu una mishipa ya artery, vein na mishipa midogo midogo, mishipa ya artery usabaza damu safi kwenye mwili kutoka kwenye moyo,mishipa ya veini utoa damu chafu kwenye mwili mpaka sehemu mbalimbali za mwili, Kwa hiyo basi na vile vile kwenye mapafu Kuna mishipa hiyo ya artery na vein naufanya kazi hiyo, ikitokea Kuna maambukizi kwenye mapafu na wadudu ubebwa kwenye mzunguko wa damu,mpaka sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye ubongo na kusababisha usaha sehemu hizo hizo nazo zinaweza kupata matatizo hayo hayo,Kwa hiyo wapendwa wasomaji matibabu ni lazima ili kuweza kuepuka madhara makubwa Zaidi.

 

 

 

 

4. Kuharibika Kwa mishipa inayopeleka na kutoa damu kwenye mapafu .

Kwa sababu ya kuwepo Kwa usahaa kwenye mapafu na pia pengine Kwa Sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu ambayo usababisha kuwepo Kwa damu usababisha kuharibika Kwa mishipa inayopeleka damu kwenye mapafu na kutoa damu kwenye mapafu, Kwa hiyo hali ya mgonjwa inawezekana kuwa mbaya Kwa sababu ya kukosa damu ya kutosha kwenye mapafu.na pengine hiyo mishipa inawezekana kushambulia na bakteria walipo Kwa sababu ya kukosa Kwa matibabu.

 

 

 

 

5. Upungufu wa hewa safi ambayo Kwa kitaalamu huitwa oxygen na kupngezeka Kwa hewa chafu kwenye mapafu ambayo Kwa kitaalamu huitwa carbon dioxide.

Kwa sababu ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu na kuharibika Kwa mishipa ambayo upeleka damu kwenye mapafu hali hii usababisha damu ya oxygen kupungua na kusababisha kuongezeka Kwa damu ya carbon dioxide kwenye mapafu hali ambayo usababisha maisha ya mgonjwa kuwa magumu, Zaidi Kwa hiyo matibabu ni lazima kabisa ili kuweza kuokoa maisha ya mgonjwa.

 

 

6. Baada ya kuona madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu kuwa ni mengi na matibabu yanahitajika Kwa mgonjwa ili kuweza kuokoa maisha ya mgonjwa na kujaribu kuelimisha jamii kuhusu kuwepo Kwa ugonjwa huu na kwamba unatibika na kujaribu kutoa Mila mbaya za kuwatenga wale walio na ugonjwa huu kwenye jamii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 ICT       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Magonjwa , ALL , Tarehe 2023/11/09/Thursday - 09:56:55 am     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 97



Post Nyingine


image je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo? Soma Zaidi...

image Sababu za miguu kufa ganzi.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili. Soma Zaidi...

image Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu
Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu. Soma Zaidi...

image Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?
kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo. Soma Zaidi...

image Dalili za maambukizi kwenye magoti
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord Soma Zaidi...

image NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA VIRUSI VYA VYA UKIMWI NA ATHARI ZAKE
Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia  tutangalia  njia za kujikinga na  ugonjwa wa UKIMWI Soma Zaidi...

image Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...

image Nini husababisha kibofu cha mkojo kuuma na baadae kutoka damu
Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja Soma Zaidi...

image dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke Soma Zaidi...