Walio katika hatari ya kupata homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.

Walio katika hatari ya kupata tatizo la homa ya inni.

1. Watoto wachanga waliozaliwa na akina mama wenye tatizo la homa ya ini kwa sababu ya kugusana kupitia maji maji na katika kugusana mtoto anaweza kupata wakati wa kuzaliwa.

 

 

 

2. Wanaofanya biashara ya ngono.

Kwa sababu wafanya biashara ya ngono ujamiiana na watu mbalimbali hali inayosababisha kujamiiana na mtu mwenye tatizo la homa ya ini naye akapata kwa hiyo ni vizuri kuwa makini kwa hilo.

 

 

 

 

3. Wanaume wanaofanya au wanaojamiiana kwa wanaume kwa sababu katika kugusana kama mmoja ana michubuko ni rahisi kupata ugonjwa wa homa ya ini.

 

 

 

4. Watumiaji wa madawa ya kulevya.

Kwa sababu kuna kipindi ambapo watumiaji wa madawa ya kulevya utumia sindano moja kujichoma kwa mtu zaidi ya mmoja.

 

 

 

 

5. Wafanyakazi wa sekta ya afya.

Kwa kawaida wabadili sana na wagonjwa mbalimbali kwa hiyo ni rahisi kuhudumia mgonjwa wa homa ya nini bila kupata na akapata pia.

 

 

 

 

6. Ndugu wanaoishi na mgonjwa aliyeathiriwa na ugonjwa wa homa ya inni.

Kwa kawaida katika familia mmoja akiugua wote tunamhudumia kwa vyovyote vile na kuwasiliana naye vizuri katika hali ya kutojua ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hata familia nzima.

 

 

 

 

7. Wagonjwa wa figo wako kwenye hatari ya kupata tatizo la homa ya inii.

Kwa sababu ya hali halisi ya ugonjwa wao ni hatari zaidi kupata homa ya ini.

 

 

 

 

8. Mtu anayefanya mapenzi na mtu mwingine mwenye tatizo hili na yeye yupo katika hatari ya kupata tatizo la homa ya ini kwa hiyo ni vizuri kujua hali ya mtu kabla ya kufanya ngono.

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba chanjo ya homa ya ini inatolewa kwa watu na pia na elimu itolewe ili watu waweze kujua namna homa hiyo inavyoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1271

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Tatizo la ngozi kuwasha (ugonjwa wa kuwashwa kwa ngozi

Dermatitis ni hali inayofanya ngozi yako kuwa nyekundu na kuwasha. Ni kawaida kwa watoto, lakini inaweza kutokea katika umri wowote. Hakuna tiba iliyopatikana ya ugonjwa wa Dermatitis

Soma Zaidi...
Maradhi ya macho

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake

Soma Zaidi...
Dalili za UTI

Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI

Soma Zaidi...
Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalilili za Ngozi kuwa kavu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.

Soma Zaidi...
Tahadhari za ugonjwa wa UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma

Soma Zaidi...
Dalilili za mimba Kuharibika

Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u

Soma Zaidi...