Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
1. Watoto wachanga waliozaliwa na akina mama wenye tatizo la homa ya ini kwa sababu ya kugusana kupitia maji maji na katika kugusana mtoto anaweza kupata wakati wa kuzaliwa.
2. Wanaofanya biashara ya ngono.
Kwa sababu wafanya biashara ya ngono ujamiiana na watu mbalimbali hali inayosababisha kujamiiana na mtu mwenye tatizo la homa ya ini naye akapata kwa hiyo ni vizuri kuwa makini kwa hilo.
3. Wanaume wanaofanya au wanaojamiiana kwa wanaume kwa sababu katika kugusana kama mmoja ana michubuko ni rahisi kupata ugonjwa wa homa ya ini.
4. Watumiaji wa madawa ya kulevya.
Kwa sababu kuna kipindi ambapo watumiaji wa madawa ya kulevya utumia sindano moja kujichoma kwa mtu zaidi ya mmoja.
5. Wafanyakazi wa sekta ya afya.
Kwa kawaida wabadili sana na wagonjwa mbalimbali kwa hiyo ni rahisi kuhudumia mgonjwa wa homa ya nini bila kupata na akapata pia.
6. Ndugu wanaoishi na mgonjwa aliyeathiriwa na ugonjwa wa homa ya inni.
Kwa kawaida katika familia mmoja akiugua wote tunamhudumia kwa vyovyote vile na kuwasiliana naye vizuri katika hali ya kutojua ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hata familia nzima.
7. Wagonjwa wa figo wako kwenye hatari ya kupata tatizo la homa ya inii.
Kwa sababu ya hali halisi ya ugonjwa wao ni hatari zaidi kupata homa ya ini.
8. Mtu anayefanya mapenzi na mtu mwingine mwenye tatizo hili na yeye yupo katika hatari ya kupata tatizo la homa ya ini kwa hiyo ni vizuri kujua hali ya mtu kabla ya kufanya ngono.
9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba chanjo ya homa ya ini inatolewa kwa watu na pia na elimu itolewe ili watu waweze kujua namna homa hiyo inavyoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Bipolar disorder ni hali ya afya ya akili inayohusisha mabadiliko makubwa katika hisia, nishati, na shughuli za kila siku za mtu. Dalili za bipolar disorder zinaweza kuwa kwenye kipindi cha mania na kipindi cha unyogovu, zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa bipolar.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar
Soma Zaidi...tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.
Soma Zaidi...