Walio katika hatari ya kupata homa ya inni

Walio katika hatari ya kupata homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Walio katika hatari ya kupata tatizo la homa ya inni.

1. Watoto wachanga waliozaliwa na akina mama wenye tatizo la homa ya ini kwa sababu ya kugusana kupitia maji maji na katika kugusana mtoto anaweza kupata wakati wa kuzaliwa.

 

 

 

2. Wanaofanya biashara ya ngono.

Kwa sababu wafanya biashara ya ngono ujamiiana na watu mbalimbali hali inayosababisha kujamiiana na mtu mwenye tatizo la homa ya ini naye akapata kwa hiyo ni vizuri kuwa makini kwa hilo.

 

 

 

 

3. Wanaume wanaofanya au wanaojamiiana kwa wanaume kwa sababu katika kugusana kama mmoja ana michubuko ni rahisi kupata ugonjwa wa homa ya ini.

 

 

 

4. Watumiaji wa madawa ya kulevya.

Kwa sababu kuna kipindi ambapo watumiaji wa madawa ya kulevya utumia sindano moja kujichoma kwa mtu zaidi ya mmoja.

 

 

 

 

5. Wafanyakazi wa sekta ya afya.

Kwa kawaida wabadili sana na wagonjwa mbalimbali kwa hiyo ni rahisi kuhudumia mgonjwa wa homa ya nini bila kupata na akapata pia.

 

 

 

 

6. Ndugu wanaoishi na mgonjwa aliyeathiriwa na ugonjwa wa homa ya inni.

Kwa kawaida katika familia mmoja akiugua wote tunamhudumia kwa vyovyote vile na kuwasiliana naye vizuri katika hali ya kutojua ugonjwa unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hata familia nzima.

 

 

 

 

7. Wagonjwa wa figo wako kwenye hatari ya kupata tatizo la homa ya inii.

Kwa sababu ya hali halisi ya ugonjwa wao ni hatari zaidi kupata homa ya ini.

 

 

 

 

8. Mtu anayefanya mapenzi na mtu mwingine mwenye tatizo hili na yeye yupo katika hatari ya kupata tatizo la homa ya ini kwa hiyo ni vizuri kujua hali ya mtu kabla ya kufanya ngono.

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba chanjo ya homa ya ini inatolewa kwa watu na pia na elimu itolewe ili watu waweze kujua namna homa hiyo inavyoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 998

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Soma Zaidi...
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.

Soma Zaidi...
Zifahamu sofa za seli
Zifahamu sofa za seli

Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya jino
Dalili za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
MARADHI YA MOYO
MARADHI YA MOYO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa ngiri
Dalili za ugonjwa wa ngiri

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Typhoid husabisha mwili kuchoka na maumivu ya kichwa pamoja na joint za miguu kuchoka
Typhoid husabisha mwili kuchoka na maumivu ya kichwa pamoja na joint za miguu kuchoka

Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.

Soma Zaidi...