picha

kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na meno kutoboka ni dalili za HIV

kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na meno kutoboka ni dalili za HIV

Habari Mimi kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na pia naona niko na meno yalio tobolewa na meno hayo kwa maumivu yake yakanisababishia uvimbe kama jipo je nayo ni dalili za HIV



Namba ya swali 039

Je kuna shida yeyote ya kiafya inakupata tofauti na meno?



Namba ya swali 039

Pia dalili za maleria yani kichwa joto tumboni kama kujaa ges



Namba ya swali 039

Na bado sija enda kujicheki afya kwa kuujua uhakika



Namba ya swali 039

Ni nhumu kujuwa HIV bila vipimo, kupungua kwa uzito na kukonda inaweza kuwa daliki za UKIMWI ila sio kirahisi kiasi cha kutokea bola hata ya kuumwa na maradhi nyemelezi, ijapokuwa inaweza kutokea kwa baadhi ya watu. Hata hivyo shida kwenye neno onaweza kuwa dalili ya HIV ila nayo huwa ikiambatana na fangasi kwenye ulimi na madoa madoa ulokininna mdomoni n.k Ni vyema kupima kwanza



Namba ya swali 039

Bc nashkur kwa ushaur



Namba ya swali 039

Ok karibu tena



Namba ya swali 039

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2373

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 web hosting     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Dalili za saratani ya damu au uboho.

posti hii inahusu dalili za aratani ya damu au ubobo ambayo kwa jina lingine hujulikana Kama Acute lymphocytic Leukemia (ALL) ni aina ya Saratani ya damu na uboho tishu zenye sponji ndani ya mifupa ambapo seli za damu hutengenezwa.

Soma Zaidi...
Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo

Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Soma Zaidi...
Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?

Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Soma Zaidi...