Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani.
1. Unatumia vitu vya kawaida ambavyo upatikana kwenye mazingira yetu.
2. Unatumia mdalasini gramu mia moja.
3. Unatumia majani ya mlonge gramu mia moja.
4. Unachukua magari gramu mia moja.
5. Unachukua kitunguu swaumu gramu mia moja
6. Unachanganya kwa pamoja.
7. Kipindi kifuatacho nitafundisha matumizi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 ai web app ๐2 kitabu cha Simulizi ๐3 Madrasa kiganjani ๐4 Simulizi za Hadithi Audio ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 web hosting
Post zinazofanana:
Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)
Post hii inaelezea kuhusiana naรย Sarataniรย ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia.
Soma Zaidi...Nini husababisha Fangasi sehemu za Siri
Katika somo hili tutaeleza sababu kuu zinazopelekea kupata fangasi sehemu za siri, mazingira yanayochochea kuongezeka kwa fangasi, pamoja na vitu vinavyochangia maambukizi na kurudia-rudia kwa tatizo.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Kuhusu HIV na UKIMWI
Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI
Soma Zaidi...Ugonjwa wa macho mekundu (Conjunctivitis): Jinsi ya kujikinga.
Ugonjwa wa macho mekundu, kitaalamu Conjunctivitis (au Pink eye), ni uvimbe wa utando mwororo unaofunika sehemu nyeupe ya jicho na ndani ya kope. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na virusi, bakteria, au mzio (allergy). Kwa kuwa ni rahisi sana kuambukiza, elimu kuhusu usafi wa kibinafsi na mbinu za kuzuia usambazaji ndizo nguzo kuu ya kudhibiti mlipuko wa ugonjwa huu ndani ya jamii.
Soma Zaidi...