picha

Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?

Naomba kuuliza swali

Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?



Namba ya swali 057

Ndio



Namba ya swali 057

Kivipi?



Namba ya swali 057

Kama atatumia kinga vyema yaani kondom Kama hakutayokea kichubuko, wakati wa tendo. Kama muathirika ametumia ARV mapema ama kwa muda mrefu na ikafikia hatua vipimo havisomi HIV. Na sababu zinginezo



Namba ya swali 057

Kivipi michubuko isitokee?



Namba ya swali 057

Michubuko inaweza isitokee endapo uke ulijuwa na majimaji mengi, ama kunetumika vilainishi, ama staili iliyitumika kwenye tendo. Ama kama mume mkubwa kuliko mke



Namba ya swali 057

Asante kwa elimu



Namba ya swali 057

Karibu tena



Namba ya swali 057

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2136

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰3 web hosting     πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa upele na matibabu yake

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye protini nyingi na faida zake mwilini.

​Protini ni kijenzi muhimu zaidi cha mwili wa binadamu, ikihusika katika ujenzi wa misuli, utengenezaji wa homoni, na uimarishaji wa kinga ya mwili. Makala haya yanachambua kwa kina vyanzo bora vya protini, umuhimu wake katika kudhibiti uzito, na jinsi ya kuchagua mlo sahihi ili kuboresha afya yako kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Njia salama za kuongeza uwezo wa kushika mimba.

Kupata ujauzito ni safari inayohitaji maandalizi ya mwili na akili. Kwa wanandoa wengi, mabadiliko madogo lakini yenye tija katika mtindo wa maisha yanaweza kuongeza nafasi za kupata mtoto kwa kiasi kikubwa. Makala hii inaangazia mbinu zilizothibitishwa kisayansi za kuboresha afya ya uzazi na kuongeza nafasi za kushika mimba kwa njia salama na ya asili.

Soma Zaidi...
Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi: Ni hatari?

Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi, kitaalamu kama Menorrhagia, ni hali inayowapata wanawake wengi. Ingawa si kila mara ni ishara ya ugonjwa mbaya, damu nyingi kupita kiasi inaweza kusababisha upungufu wa damu mwilini (anemia) na kuathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya kila siku. Makala hii inaelezea nini kinachozingatiwa kuwa "damu nyingi," sababu zake, na wakati muafaka wa kutafuta msaada wa kitaalamu.

Soma Zaidi...
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV

Soma Zaidi...