picha

nina maambukizi ya zinaha maumivu wakati wa kukojoa na usaha

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup

nina maambukizi ya zinaha maumivu wakati wa kukojoa na usaha

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kupatiwa matibabu...



Namba ya swali 050

Baada ya kuanza dawa kwa muda kama wa wiki moja nilianza kupata maumivu ya kifua na kurudi hoapitali siku ya 12 baada ya tendo, nilipimwa vipimo vyote ikiwepo HIV na sikukutwa na chochote mpaka kufika siku ya 18 nikapata mafua ambayo yameambatana na homa kali na sijakutwa pia na malaria baada ya kwenda hospital, pia nina mamivu ya tumbo hasa sehemu ya chini na kitovu na kifua sehemu za manyonyo



Namba ya swali 050

Kwa muda huo wote toka pale nimekuwa natumia dawa tofauti za kifua, gesi tumboni, na mafua lakini mwili kwa sasa una maumivu makali mgongo, mikono na tumbo.



Namba ya swali 050

HIV haiwezi kuonekana kabla ya miezi mitatu



Namba ya swali 050

Dalili zake huanza kuja baada ya muda gani? Mheshimiwa pia kuhusu hizi changamoto zinaweza kuwa dalili za HIV? Leo ni siku ya 22 baada ya kitendo



Namba ya swali 050

Dalili zake zinanzia wiki ya kwanza mpaka miezi mitatu kisha zinapotea kabisa.



Namba ya swali 050

Dalili zake ni pamoja na mfua na homa Dokta?



Namba ya swali 050

Yes hizo ni dalili, ila zinawwza kuanbatana na mashambukizi mengi. Hivyo uhakika ni kupima baada ya miezi 3. Vipi ulipatabkuvimba mitoki, kwebye mapaja, shingo ama kwapa?



Namba ya swali 050

Hapana hiyo sijapata
mitoki ndio matezi?



Namba ya swali 050

Yes mitoki ni tezi



Namba ya swali 050

Zenyewe zinakuwaje, au ni uvimbe unatokea?



Namba ya swali 050

Hizi huwa ni katika viashiria vya mwanzoni sana, hata na huwapata watu wengi, sana



Namba ya swali 050

Hiyo sijawahi kupata kabisa, na mbaya zaidi nina hofu ambayo naona mpaka kufikia miezi mitatu itakuwa i,enipeleka pabaya zaidi, kwahiyo kwa kipindi cha miezi mitatu hii homa hazitakwisha?



Namba ya swali 050

HIV haipo hivyo kaka, yenyewe ipo siri sana. Inavijidaliki vichache sana, ambavyo sio rahisi kuviona kabisa. Homa kali, iloambatana na maumivu ya kifua, na mafua, huenda ni sababu nyingine kabisa. Ok, ulisema ulitokwa na usaha, bipo ulipopima walikueleza unanshida gani?



Namba ya swali 050

Walisema tu kwamba ni shida ya magonjwa ya zinaa ila sikuambiwa ni nini hasa hiyvo nilipatiwa dawa ambazo baada ya kutumia nimekuwa sawa kabisa na nilirudi kwaajili ya vipimo siku tatu baadae baada ya kumaliza dozi na sikukutwa na zile homa tena.



Namba ya swali 050

Yes huwenda ilokuwa ni kisonono.



Namba ya swali 050

Sawa dokta, naomba niwe naendelea kukujulisha hali yangu, lakini pia nipo Dar es Salaam kama naweza kuja kuonana kwa ushauri zaidi?



Namba ya swali 050

Ok



Namba ya swali 050

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1898

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 web hosting     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku

Soma Zaidi...
Fahamu ajali ambazo utokea kwenye kifua

Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka. Maambukizi ya si

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,

Soma Zaidi...
Tatizo la mapafu kuwa na usaha.

Post hii inahusu Zaidi tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu,ni tatizo ambalo usababishwa na bakteria ambao uingia kwenye mapafu na kusababisha madhara na hatimaye mapafu kuwa na usaha .

Soma Zaidi...
Vipimo vya VVU

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo mbalimbali vinavyotumika kupima VVU

Soma Zaidi...