DAWA

picha
DAWA YA MINYOO, DALILI ZA MINYOO NA SABABU NA VYANZO VYA MINYOO

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
picha
DAWA YA FANGASI UKENI

Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni
picha
NENO LA AWALI

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
picha
NI ZIPI DAWA ZA VIDONDA VYA TUMBO?

Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi
picha
DAWA NA MATIBABU YA PRESHA YA KUSHUKA

Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
picha
DAWA YA KUTIBU MACHO

Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi
picha
DAWA YA KUTIBU MAPUNYE

DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
picha
DAWA YA KUTIBU MAUMIVU YA JINO

Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino
picha
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
picha
DAWA YA KUTIBU UTI

Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
picha
DAWA YA KUTIBU MINYOO

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote
picha
DAWA YA FANGASI NA DALILI ZA FANGASI

hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
picha
DAWA YA FANGASI UUMENI

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
picha
DAWA YA FANGASI UKENI

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
picha
DAWA YA FANGASI KWENYE MDOMO NA ULIMI

Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
picha
FAHAMAU MADHARA YA FLAGYL (METRONIDAZOLE)

Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
picha
FAHAMU ZAIDI KUHUSIANA NA DAWA YA MOYO DIGOXIN

Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
picha
FAHAMU DAWA ITWAYO DIAZEPAM

Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n
picha
FAHAMU DAWA YA CAPTOPRIL KATIKA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
picha
FAHAMU DAWA YA HYDRALAZINE KATIKA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.
picha
FAHAMU DAWA AMBAZO UCHANGIA KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
picha
FAHAMU DAWA YA KUTIBU MAUMIVU YA MGONGO (BACK NONE PAIN) NA KIUNO

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA POTASSIUM SPARING

Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
picha
IFAHAMU DAWA YA FUROSEMIDE.

Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix
picha
FAHAMU KUHUSU KUNDI LA DIURETICS

Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
picha
FAHAMU DAWA YA CARVEDILO KATIKA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA PROPRANOLOL AMBAYO HUTIBU MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.
picha
FAHAMU KUNDI LA VETA BLOCKERS KATIKA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.
picha
FAHAMU DAWA YA CARDIAC GLYCOSIDE KATIKA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA ZA MAGONJWA YA MOYO

Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
picha
CHINI YA TUMBO LANGU KUNA UCHUNGU LAKINI SI SANA SHINDA NI NI?

Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?
picha
FAHAMU KAZI ZA HOMONI KATIKA KUPAMBA NA KANSA.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA ZA DOXORUBICIN NA DAUNORUBICIN

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
picha
FAHAMU DAWA ZA 5-FLUOROURACIL,TEGAFUR NA URACILI

Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.
picha
FAHAMU DAWA ZA CYCLOPHOSPHAMIDE NA MUSTARGEN.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
picha
FAHAMU DAWA ZINAZOTUMIKA KWENYE MATIBABU YA KANSA

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA ACETOHEXAMIDE

Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.
picha
FAHAMU DAWA ZA KISUKARI

Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
picha
FAHAMU DAWA ZA KUTIBU MAFUA

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
picha
FAHAMU DAWA YA KUTULIZA MISHUTUKO.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.
picha
FAHAMU DAWA YA DIAZEPAM KATIKA KUTULIZA KIFAFA

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA KIFAFA INAYOITWA PHENOBARBITAL

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa.
picha
FAHAMU DAWA YA HALOPERIDOL KATIKA MATIBABU YA AKILI

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA MAGONJWA YA AKILI INAYOITWA CHLORPROMAZINE

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA MUCOLYTIC DAWA YA KUTIBU KIKOHOZI

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
picha
FAHAMU DAWA YA KUTIBU KIKOHOZI INAYOITWA EXPECTORANT

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.
picha
IFAHAMU DAWA YA EPINEPHRINE KWA KUTULIZA ALEJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
picha
FAHAMU DAWA YA PREDNISONE KATIKA KUPAMBANA NA ALEJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA ALEJI AU MZIO

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.
picha
FAHAMU DAWA YA AMINOPHYLLINE KUTIBI MAAMBUKIZI KWENYE MFUMO WA UPUMUAJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA THEOPHYLLINE KATIKA KUTIBI MFUMO WA UPUMUAJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA KAOLINE

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA LOPERAMIDE DAWA YA KUZUIA KUHARUSHA

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
picha
DAWA ZA ANESTHESIA KATIKA KUTULIZA MAUMIVU.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA FLUOROQUINOLONES/QUINOLONES

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
picha
IJUE DAWA YA CEPHALOSPORIN KATIKA KUPAMBANA NA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA STREPTOMYCIN

Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA MARCOLIDES DAWA YA KUUWA BAKTERIA, KWENYE MFUMO WA HEWA

Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
picha
FAHAMU DAWA YA SULFONAMIDE DAWA INAYOPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA BAKTERIA MWILINI.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
picha
FAHAMU KAZI YA DAWA YA AMPICILLIN INAYOPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
picha
FAHAMU DAWA YA KUZUIA ENZYMES ZINAZOTENGENEZWA NA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.
picha
DAWA YA PENICILLIN AMBAYO UZUIA ASIDI YA BAKTERIA.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
picha
FAHAMU AINA YA PENICILLIN AMBAYO UFANYA KAZI KWA MDA MREFU

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
picha
PENICILLIN DAWA YA KUTIBU MAAMBUKIZI YA BAKTERIA MWILINI

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
picha
FAHAMU DAWA YA MAUMIVU AINA YA INDOMETHACIN

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
picha
FAHAMU DAWA YA IBUPROFEN KATIKA KUTULIZA MAUMIVU

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
picha
IJUE DAWA YA PARACETAMOL KATIKA KUTIBU MAUMIVU

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
picha
IFAHAMU DAWA YA KUPUNGUZA MAUMIVU

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne
picha
FAHAMU DAWA ZINAZOPUNGUZA MAUMIVU

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
picha
IJUE DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA UKOMA

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
picha
IFAHAMU DAWA YA ISONIAZID KATIKA KUPAMBANA NA UGONJWA WA TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
picha
IFAHAMU DAWA YA KUTIBU KIFUA KIKUU

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
picha
MGAWANYO WA TIBA YA KIFUA KIKUU

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA ZA KIFUA KIKUU

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA PYRANTEL PAMOATE

Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA ALBENDAZOLE

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA MEBENDAZOLE

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA ZA KUTIBU MINYOO

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA NYSTATIN

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA GRISEOFULVIN

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA FLUCONAZOLE.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA KETOCONAZOLE.

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
picha
IJUE DAWA YA SULPHADOXINE NA PYRIMETHAMINE (SP)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA PARENTAL ARTUSNATE DAWA YA KUTIBU MALARIA SUGU

Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.
picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA ALU AU KWA LUGHA NYINGINE NI DAWA YA MSETO

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.
picha
DAWA YA KUTIBU UGONJWA WA PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
picha
FAHAMU MATUMIZI YA AMPICILLIN.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici
picha
FAHAMU MATUMIZI YA DAWA IITWAYO ASPIRIN.

Aspirini Ni dawa ya kutuliza maumivu.Majina yanayoaminika zaidi katika kutuliza maumivu sasa yanapatikana kwa njia mbadala inayookoa gharama kwa kutumia Aspirini. Aspirini inayopendwa na familia kwa miongo kadhaa, mara nyingi hutumiwa kupunguza maumivu y
picha
FAHAMU DAWA INAYOTIBU MINYOO IITWAYO ALBENZA (ALBENDAZOLE)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k
picha
IJUE DAWA YA AMOXLINE (ANTIBIOTIC) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
picha
FAHAMU ZAIDI KUHUSIANA NA DAWA INAYOTIBU SHINIKIZO LA DAMU. IITWAYO LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
picha
FAHAMU DAWA INAYOTUMIKA KUPUNGUZA MAUMIVU (IBUPROFEN)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
picha
FAHAMU MATUMIZI YA DAWA IITWAYO PARACETAMOL.

Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
picha
UMUHIMU WA KUTUMIA DAWA ZA ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .
picha
NAMNA YA KUTUMIA TIBA YA JINO.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.
picha
FAHAMU TIBA YA JINO

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
picha
FAHAMU ANTIBIOTICS YA ASILI.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.
picha
FAIDA ZA DAWA ZA NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
picha
NANI ANAPASWA KUTUMIA VIDONGE VYA ZAMICONAL.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
picha
FAIDA ZA VIDONGE VYA ZAMICONAL

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.
picha
MATUMIZI YA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
picha
VYAKULA VYA KUSAIDIA KATIKA MATIBABU YA KIUNGULIA

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia
picha
FAIDA ZA VIDONGE VYA ANTROEXTRA

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
picha
MATIBABU YA UGONJWA WA UTI WA MGONGO

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
picha
USHAURI KABLA YA KUBEBA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
picha
IMANI POTOFU KUHUSU MADAWA YA HOSPITALINI

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
picha
DAPSONE NA KAZI ZAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
picha
DAWA YA ISONIAZID NA KAZI ZAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.
picha
DAWA YA RIFAMPICIN NA KAZI ZAKE

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.
picha
DAWA YA CARVEDILOL NA KAZI YAKE.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
picha
KAZI YA DAWA YA SALBUTAMOL

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
picha
MADHARA YA TIBA MIONZI

Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.
picha
IJUE DAWA YA LIGNOCAINE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
picha
DAWA YA PANADOL AU PARACETAMOL KATIKA KUTULIZA MAUMIVU

Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
picha
DAWA YA QUINENES KATIKA KUTIBU MALARIA

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.
picha
DAWA YA ALBENDAZOLE KATIKA KUTIBU MINYOO.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.
picha
MEBENDAZOLE KAMA DAWA YA KUTIBU MINYOO.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.
picha
KAZI ZA DAWA YA ARTESUNATE KATIKA KUTIBU MALARIA

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
picha
DAWA YA ALU KAMA DAWA INAYOTIBU UGONJWA WA MALARIA

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.
picha
DAWA YA FLUCONAZOLE KAMA DAWA YA FANGASI

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.
picha
NJIA YA KUPITISHA DAWA KWENYE MDOMO NA VIPENGELE VYAKE

Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,
picha
NJIA ZINAZOTUMIKA ILI KUMPATIA MGONJWA DAWA

Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
picha
MATIBABU YA FANGASI UKENI NA DAWA ZA FANGASI WANAOSHAMBULIA UKE.

Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni
picha
DAWA YA KUTIBU FANGASI WA KWENYE MDOMO NA KINYWA

Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana.
picha
DAWA ZA KUTIBU FANGASI KWENYE KUCHA

Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.
picha
DAWA ZA KUTIBU KIUNGULIA

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia
picha
MATIBABU YA MACHO

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho
picha
DAWA ZA KUTIBU UGONJWA WA MACHO

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
picha
DAWA ZA MAPUNYE

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za maounye
picha
DAWA ZA MITISHAMBA ZA KUTIBU MENO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
picha
DAWA ZA MAUMIVU YA JINO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino
picha
DAWA YA MAUMIVU YA JINO

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino
picha
TIBA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo
picha
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
picha
DAWA YA UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI
picha
DAWA YA MINYOO

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za minyoo
picha
DAWA YA FANGASI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi
picha
DAWA ZA FANGASI UKENI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni
picha
DAWA YA CHANGO NA MAUMIVU YA HEDHI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
picha
DAWA YA CHANGO NA MAUMIVU YA HEDHI

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi
picha
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo
picha
TIBA YA MINYOO

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo
picha
DAWA YA KUZUIA KUATHIRIKA KWA WATU WALIO HATARINI KUPATA VVU

Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
picha
VYAKULA VYA WANGA

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga
picha
DAWA YA KUTIBU INFECTION KWENYE KIZAZI NISAIDIE DOCTOR

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
picha
MIUNGURUMO HAIISHI TUMBONI NIKISHIKA UPANDE WA KUSHOTO WA TUMBO KUNA MAUMIVU KWA MBALI JE MM NITUMIE DAWA GAN KUONDOA TATIZO HILO

Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote.
picha
DAWA INAITWA KOFLAME UKITUMIA INASHIDA KWA MAMA MJAMZITO? MAUMIVU YA MGONGO NA NYONGA ZINASUMBUA

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto
picha
DAWA IPI YA MANJANO KWA MTOTO MWENYE UMRI MIAKA MIWILI?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
picha
NI DAWA GANI HATARI KWA MJAMZITO?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.