hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
DAWA YA FANGASI
Fangasi ni katika magonjwa yanayoathiri watu wengi sana. Fangasi wanaweza kuathiri ngozi, nywele na kucha. Unaweza kujitibu fangasi kwa kwenda duka la dawa na kununua dawa bila ya kuhitaji usimamizi maalumu wa daktari ila hii ni kwa dawa za fangasi za kupaka. Za kunywa na sindano hakikisha unapata ushauri wa daktari kwanza. Kumbuka matibabu ya fangasi yanategemea aina ya fangasi wanaokusumbuwa.
Aina za fangasi
1.Fangasi wa kwenye kucha
2. Fangasi wa Mapunye
3. Fangasi aina ya candida
4. Fangasi wa Mdomoni na kooni
5. Fangasi wa kwenye uke
6. Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.k
7. Fangasi aina ya Blastomyces
8. Fangasi wa sehemu za siri
Aina za dawa za kitubu fangasi.
Dawa za kutibu fangasi nazo zimegawanyika kama:-
1.Dawa za kupaka na kupulizia
2.Dawa za kumeza majimaji na vidonge
3.Sindano
4.Dawa za kuweka ili zimumunyike, hizi sana huwekwa kwenye uke.
Orodha ya dawa za fangasi
1.Clotrimazole
2.Econazole
3.Miconazole
4.Terbinafine
5.Fluconazole
6.Ketokonazole
7.Amphotericin
Kazi za dawa za fangasi.
Dawa hizi zina kazi kuu 2 nazo ni:-
1.Kuuwa fangasi
2.Kuzuia fangasi kuzaliana na kukuwa.
Athari zinazoweza kutokea wakati wa kutumia dawa za fangasi.
Haya ni matokea yanayoweza kutokea unapoanza kutumia dawa hizi. Si jambo la kuogopa.
1.Miwasho
2.Kujihisi ovyoovyo
3.Kuharisha
4.Ukurutu
5.Unaweza kupata aleji
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...