Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.
1. Kama tunavyojua kwamba kikohozi ni ugonjwa ambao uwapata watu wengi na uleta usumbufu sana hasa kwa watoto na wazee, basi kwa kutumia dawa ya expectorant inaweza kutibu kikohozi kwa sababu dawa hii ufanya kazi kwa kuhakikisha makohozi na material yote yaliyomo kwenye mapafu yanatolewa na kufanya mapafu,koo kuwa huru.
2. Pia dawa hii inapoingia kwenye mwili uhakikisha kwamba sehemu ya kwenye mfumo wa hewa ambayo kwa kitaalamu huitwa bronchial inakuwa safi bila makohozi na inafanya makohozi yaliyozalishwa yanakuwa mepesi na kwa hiyo hata mgonjwa anapokohoa hapati shida zaidi na pia kwa kutumia dawa hii ya expectorant usaidia maumivu kupungua na matibabu yanaweza kuwa mepesi zaidi.
3. Dawa hizi ya expectorant ina maudhui madogo madogo kama vile kichefuchefu na kutapika na pia kwa mara nyingine mgonjwa anaweza kuhisi kubwa na usingizi au mwili kulegea wakati akiwa anatumia dawa hii kwa hiyo ni vizuri kabisa na kujua kwamba hizi ni dalili za kawaida kwa mgonjwa mwenye kutumia dawa hii.
4. Pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ambao wana kikohozi na kwa wale wenye shida au aleji na dawa hizi hawapaswi kuitumia kwa sababu wanaweza kupata matatizo yatokanayo na kutoelewana kati ya mtumiaji na dawa yenyewe.
5. Katika matumizi ya dawa hii ni kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya dawa hizi haitumiki kiholela ila kabla ya kuanza kutumia ni vizuri kujua namna unavyopaswa kutumia, uitumia mara ngapi na kazi yake ni nini baada ya kujua hayo unaweza kuitumia na matokeo natumaini yatakuwa mazuri zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
Soma Zaidi...