Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Dawa ya kutibu kikohozi.

1. Kama tunavyojua kwamba kikohozi ni ugonjwa ambao uwapata watu wengi na uleta usumbufu sana hasa kwa watoto na wazee, basi kwa kutumia dawa ya expectorant inaweza kutibu kikohozi kwa sababu dawa hii ufanya kazi kwa kuhakikisha makohozi na material yote yaliyomo kwenye mapafu yanatolewa na kufanya mapafu,koo kuwa huru.

 

2. Pia dawa hii inapoingia kwenye mwili uhakikisha kwamba sehemu ya kwenye mfumo wa hewa ambayo kwa kitaalamu huitwa bronchial inakuwa safi bila makohozi na inafanya makohozi yaliyozalishwa yanakuwa mepesi na kwa hiyo hata mgonjwa anapokohoa hapati shida zaidi na pia kwa kutumia dawa hii ya expectorant usaidia maumivu kupungua na matibabu yanaweza kuwa mepesi zaidi.

 

3. Dawa hizi ya expectorant ina maudhui madogo madogo kama vile kichefuchefu na kutapika na pia kwa mara nyingine mgonjwa anaweza kuhisi kubwa na usingizi au mwili kulegea wakati akiwa anatumia dawa hii kwa hiyo ni vizuri kabisa na kujua kwamba hizi ni dalili za kawaida kwa mgonjwa mwenye kutumia dawa hii.

 

4. Pia dawa hizi utumiwa na watu mbalimbali ambao wana kikohozi na kwa wale wenye shida au aleji na dawa hizi hawapaswi kuitumia kwa sababu wanaweza kupata matatizo yatokanayo na kutoelewana kati ya mtumiaji na dawa yenyewe.

 

5. Katika matumizi ya dawa hii ni kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya dawa hizi haitumiki kiholela ila kabla ya kuanza kutumia ni vizuri kujua namna unavyopaswa kutumia, uitumia mara ngapi na kazi yake ni nini baada ya kujua hayo unaweza kuitumia na matokeo natumaini yatakuwa mazuri zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2058

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide

Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa itwayo Diazepam

Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.

Soma Zaidi...