Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi

Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi.A.Ibuprofen (Advil, Motrin IB)B.Naproxen sodium (Aleve na Anaprox)C.Ketoprofen (Actron na Orudis KT)D.Mefenamic acid

 

Namna ya kukabiliana na tumbo la chango na maumivu ya tumbo la hedhi1.Fanya mazoezi ya mrakwa mara2.Hakikisha huna misongo ya mawazo3.Punguza kula vyakula vyenye chumvi sana pia punguza kula vitu vya sukari sana4.Punguza unywaji wa chai ya majani ya chai (caffein)5.Punguza vyakula vyenye mafuta ya wanyama kwa wingi kama nyama.

 

 

Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimiFangasi wanaweza kuathiri sehemu yeyote kwenye ngozi ya mtu. Kuanzia vidole, kichwa, kwapa, sehemu za siri na mapajani. Hutokea fangasi wakaathiri mdomo na ulimi. Hapa hali inaweza kuwa mbaya pale mtu akishindwa kula. Bila shaka ni maumivu, lakini leo nitakwenda kukutajia tiba yake.

 

Nini sababu ya fangasi wa mdomo na ulimi?Fangasi hawa husababishwa na aina ya fangasi inayoitwa Candida albicans (C.albicans). hawa fangasi ni kawaida kupatikana kwenye mdomo. Kwa mtu ambaye kinga yake ipo imara hakuna shida yeyote anaweza kuipata kwa kuwa na fangasi hawa. Ila endapo watazidi kupitiliza ndipo inaweza kuleta shida.

 

Dalili za fangasi kwenye mdomo na ulimi1.Vijidoma vyeupe au njano kwenye shavu kwa ndani, finzi, midomo na kwenye ulimi2.Kuvuja kwa damu wa finzi3.Vidonda kwenye mdomo4.Kuhisi kama kuna pamba kwenye mdomo (vinyuzinyizi)5.Ukavu wa kona za mdomo pamoja na mipasuko6.Taabu katika kumeza7.Mdomo kuwa na ladha mbaya8.Kupotesa ladha ya unachokila.

 

Fangasi wa mdomoni wanaweza kuambukiza?Yes wanaweza kuambukizwa kwa mfano ukimkisi (denda) mtu anaweza kupata fangasi hawa kama na wewe unao.

 

Dawa ya fanasi kwenye mdomo na ulimi1.Fluconazole hiini ya kumeza2.Clotrimazole (Mycelex Troche) ni kidonge pia cha kumumunyikia mdomoni3.Nystatin (Nystop, Nyasta) ni ya kuosha mdomo4.Itraconazole (Sporanox) ni ya kumeza, hupewa wale wenye usugu ama wenye HIV5.Amphotericin B (AmBisome, Fungizone) hutumika kutibu hali mbaya zaidi ya fangasi wa mdomoni.

 

Nini ufanye ukiwa unatumia dawa hizi1.Piga mswaki kwa mswaki ulio mlaini2.Badili mswaki baada ya kumaliza dozi3.Usitumie dawa za kuosha mdomo mpaka daktari akuambie.4.Osha mdomo kwa maji ya chumvi5.Changanya maji na juisi ya limao kisha knywa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1642

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Soma Zaidi...
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Dawa za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
DAWA YA FANGASI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya marcolides dawa ya kuuwa bakteria, kwenye mfumo wa hewa

Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w

Soma Zaidi...