DAWA YA CHANGO NA MAUMIVU YA HEDHI


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi


Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi.A.Ibuprofen (Advil, Motrin IB)B.Naproxen sodium (Aleve na Anaprox)C.Ketoprofen (Actron na Orudis KT)D.Mefenamic acid

 

Namna ya kukabiliana na tumbo la chango na maumivu ya tumbo la hedhi1.Fanya mazoezi ya mrakwa mara2.Hakikisha huna misongo ya mawazo3.Punguza kula vyakula vyenye chumvi sana pia punguza kula vitu vya sukari sana4.Punguza unywaji wa chai ya majani ya chai (caffein)5.Punguza vyakula vyenye mafuta ya wanyama kwa wingi kama nyama.

 

 

Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimiFangasi wanaweza kuathiri sehemu yeyote kwenye ngozi ya mtu. Kuanzia vidole, kichwa, kwapa, sehemu za siri na mapajani. Hutokea fangasi wakaathiri mdomo na ulimi. Hapa hali inaweza kuwa mbaya pale mtu akishindwa kula. Bila shaka ni maumivu, lakini leo nitakwenda kukutajia tiba yake.

 

Nini sababu ya fangasi wa mdomo na ulimi?Fangasi hawa husababishwa na aina ya fangasi inayoitwa Candida albicans (C.albicans). hawa fangasi ni kawaida kupatikana kwenye mdomo. Kwa mtu ambaye kinga yake ipo imara hakuna shida yeyote anaweza kuipata kwa kuwa na fangasi hawa. Ila endapo watazidi kupitiliza ndipo inaweza kuleta shida.

 

Dalili za fangasi kwenye mdomo na ulimi1.Vijidoma vyeupe au njano kwenye shavu kwa ndani, finzi, midomo na kwenye ulimi2.Kuvuja kwa damu wa finzi3.Vidonda kwenye mdomo4.Kuhisi kama kuna pamba kwenye mdomo (vinyuzinyizi)5.Ukavu wa kona za mdomo pamoja na mipasuko6.Taabu katika kumeza7.Mdomo kuwa na ladha mbaya8.Kupotesa ladha ya unachokila.

 

Fangasi wa mdomoni wanaweza kuambukiza?Yes wanaweza kuambukizwa kwa mfano ukimkisi (denda) mtu anaweza kupata fangasi hawa kama na wewe unao.

 

Dawa ya fanasi kwenye mdomo na ulimi1.Fluconazole hiini ya kumeza2.Clotrimazole (Mycelex Troche) ni kidonge pia cha kumumunyikia mdomoni3.Nystatin (Nystop, Nyasta) ni ya kuosha mdomo4.Itraconazole (Sporanox) ni ya kumeza, hupewa wale wenye usugu ama wenye HIV5.Amphotericin B (AmBisome, Fungizone) hutumika kutibu hali mbaya zaidi ya fangasi wa mdomoni.

 

Nini ufanye ukiwa unatumia dawa hizi1.Piga mswaki kwa mswaki ulio mlaini2.Badili mswaki baada ya kumaliza dozi3.Usitumie dawa za kuosha mdomo mpaka daktari akuambie.4.Osha mdomo kwa maji ya chumvi5.Changanya maji na juisi ya limao kisha knywa



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Typhoid husabisha mwili kuchoka na maumivu ya kichwa pamoja na joint za miguu kuchoka
Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi. Soma Zaidi...

image Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

image Dalili za selulitis.
Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kutoka kwa mtu hadi mtu. Soma Zaidi...

image Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba. Soma Zaidi...

image Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha, mabaka mekundu, uvimbe na malengelenge kwenye ncha za miguu, kama vile vidole vya miguu, vidole, masikio na pua. Ugonjwa huu unaweza kuwa bora zenyewe, haswa kadiri hali ya hewa inavyozidi kuwa joto. kawaida hupotea ndani ya wiki moja hadi tatu, ingawa zinaweza kutokea tena kwa msimu kwa miaka. Matibabu kawaida hujumuisha lotions na dawa. Ingawa hazisababishi majeraha ya kudumu, zinaweza kusababisha maambukizi, ambayo yanaweza kusababisha madhara makubwa yasipotibiwa. Soma Zaidi...

image Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.
 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye kifua chako. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa pepopunda kwa watoto
Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na chombo kisicho safi au kutibiwa kwa njia chafu. Soma Zaidi...

image Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha Soma Zaidi...

image Madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua. Soma Zaidi...

image Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya. Soma Zaidi...