image

Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi

Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi.A.Ibuprofen (Advil, Motrin IB)B.Naproxen sodium (Aleve na Anaprox)C.Ketoprofen (Actron na Orudis KT)D.Mefenamic acid

 

Namna ya kukabiliana na tumbo la chango na maumivu ya tumbo la hedhi1.Fanya mazoezi ya mrakwa mara2.Hakikisha huna misongo ya mawazo3.Punguza kula vyakula vyenye chumvi sana pia punguza kula vitu vya sukari sana4.Punguza unywaji wa chai ya majani ya chai (caffein)5.Punguza vyakula vyenye mafuta ya wanyama kwa wingi kama nyama.

 

 

Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimiFangasi wanaweza kuathiri sehemu yeyote kwenye ngozi ya mtu. Kuanzia vidole, kichwa, kwapa, sehemu za siri na mapajani. Hutokea fangasi wakaathiri mdomo na ulimi. Hapa hali inaweza kuwa mbaya pale mtu akishindwa kula. Bila shaka ni maumivu, lakini leo nitakwenda kukutajia tiba yake.

 

Nini sababu ya fangasi wa mdomo na ulimi?Fangasi hawa husababishwa na aina ya fangasi inayoitwa Candida albicans (C.albicans). hawa fangasi ni kawaida kupatikana kwenye mdomo. Kwa mtu ambaye kinga yake ipo imara hakuna shida yeyote anaweza kuipata kwa kuwa na fangasi hawa. Ila endapo watazidi kupitiliza ndipo inaweza kuleta shida.

 

Dalili za fangasi kwenye mdomo na ulimi1.Vijidoma vyeupe au njano kwenye shavu kwa ndani, finzi, midomo na kwenye ulimi2.Kuvuja kwa damu wa finzi3.Vidonda kwenye mdomo4.Kuhisi kama kuna pamba kwenye mdomo (vinyuzinyizi)5.Ukavu wa kona za mdomo pamoja na mipasuko6.Taabu katika kumeza7.Mdomo kuwa na ladha mbaya8.Kupotesa ladha ya unachokila.

 

Fangasi wa mdomoni wanaweza kuambukiza?Yes wanaweza kuambukizwa kwa mfano ukimkisi (denda) mtu anaweza kupata fangasi hawa kama na wewe unao.

 

Dawa ya fanasi kwenye mdomo na ulimi1.Fluconazole hiini ya kumeza2.Clotrimazole (Mycelex Troche) ni kidonge pia cha kumumunyikia mdomoni3.Nystatin (Nystop, Nyasta) ni ya kuosha mdomo4.Itraconazole (Sporanox) ni ya kumeza, hupewa wale wenye usugu ama wenye HIV5.Amphotericin B (AmBisome, Fungizone) hutumika kutibu hali mbaya zaidi ya fangasi wa mdomoni.

 

Nini ufanye ukiwa unatumia dawa hizi1.Piga mswaki kwa mswaki ulio mlaini2.Badili mswaki baada ya kumaliza dozi3.Usitumie dawa za kuosha mdomo mpaka daktari akuambie.4.Osha mdomo kwa maji ya chumvi5.Changanya maji na juisi ya limao kisha knywa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1430


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto
Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida. Soma Zaidi...

dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor
Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri. Soma Zaidi...

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi
Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

Dawa ya maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino Soma Zaidi...

Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.
Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa. Soma Zaidi...

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.
Soma Zaidi...

Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria
Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali. Soma Zaidi...

Dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU Soma Zaidi...

Dawa ya Rifampicin na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...