Menu



Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi

Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi.A.Ibuprofen (Advil, Motrin IB)B.Naproxen sodium (Aleve na Anaprox)C.Ketoprofen (Actron na Orudis KT)D.Mefenamic acid

 

Namna ya kukabiliana na tumbo la chango na maumivu ya tumbo la hedhi1.Fanya mazoezi ya mrakwa mara2.Hakikisha huna misongo ya mawazo3.Punguza kula vyakula vyenye chumvi sana pia punguza kula vitu vya sukari sana4.Punguza unywaji wa chai ya majani ya chai (caffein)5.Punguza vyakula vyenye mafuta ya wanyama kwa wingi kama nyama.

 

 

Dawa ya fangasi kwenye mdomo na ulimiFangasi wanaweza kuathiri sehemu yeyote kwenye ngozi ya mtu. Kuanzia vidole, kichwa, kwapa, sehemu za siri na mapajani. Hutokea fangasi wakaathiri mdomo na ulimi. Hapa hali inaweza kuwa mbaya pale mtu akishindwa kula. Bila shaka ni maumivu, lakini leo nitakwenda kukutajia tiba yake.

 

Nini sababu ya fangasi wa mdomo na ulimi?Fangasi hawa husababishwa na aina ya fangasi inayoitwa Candida albicans (C.albicans). hawa fangasi ni kawaida kupatikana kwenye mdomo. Kwa mtu ambaye kinga yake ipo imara hakuna shida yeyote anaweza kuipata kwa kuwa na fangasi hawa. Ila endapo watazidi kupitiliza ndipo inaweza kuleta shida.

 

Dalili za fangasi kwenye mdomo na ulimi1.Vijidoma vyeupe au njano kwenye shavu kwa ndani, finzi, midomo na kwenye ulimi2.Kuvuja kwa damu wa finzi3.Vidonda kwenye mdomo4.Kuhisi kama kuna pamba kwenye mdomo (vinyuzinyizi)5.Ukavu wa kona za mdomo pamoja na mipasuko6.Taabu katika kumeza7.Mdomo kuwa na ladha mbaya8.Kupotesa ladha ya unachokila.

 

Fangasi wa mdomoni wanaweza kuambukiza?Yes wanaweza kuambukizwa kwa mfano ukimkisi (denda) mtu anaweza kupata fangasi hawa kama na wewe unao.

 

Dawa ya fanasi kwenye mdomo na ulimi1.Fluconazole hiini ya kumeza2.Clotrimazole (Mycelex Troche) ni kidonge pia cha kumumunyikia mdomoni3.Nystatin (Nystop, Nyasta) ni ya kuosha mdomo4.Itraconazole (Sporanox) ni ya kumeza, hupewa wale wenye usugu ama wenye HIV5.Amphotericin B (AmBisome, Fungizone) hutumika kutibu hali mbaya zaidi ya fangasi wa mdomoni.

 

Nini ufanye ukiwa unatumia dawa hizi1.Piga mswaki kwa mswaki ulio mlaini2.Badili mswaki baada ya kumaliza dozi3.Usitumie dawa za kuosha mdomo mpaka daktari akuambie.4.Osha mdomo kwa maji ya chumvi5.Changanya maji na juisi ya limao kisha knywa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1560

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Fahamu antibiotics ya asili.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.

Soma Zaidi...