Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
1. Dawa ya mucolytic ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa katika matibabu ya kikohozi ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi na imeweza kuleta matokeo makubwa kwa watumiaji, dawa hii ufanya kazi ya kutenganisha vikohozi vilivyokusanyana na kuvifanya viwe virahini na kuzibua sehemu mbalimbali ambazo zimezibwa na vikohozi hivyo kwa kufanya hivyo vikohozi uweza kuwa raini na hata mgonjwa akikohoa hawezi kutumia zaidi.
2.Na vile vile kama kuna mikusanyiko mbalimbali ya uchafu kwenye sehemu ya mfumo wa hewa uweza kutenganisha uchafu huo na hali huwa kawaida na pia mgonjwa anaweza kutoa uchafu huo kwa kukohoa bila matatizo zaidi kwa sababu ni mwepesi dawa hizi inawezekana kupitishwa mdomoni na kufanya kazi kupitia kwenye mzunguko wa damu na kuleta matokeo mazuri.
3. Pia wakati ematumizi ya dawa hizi ya mucolytic kuna maudhi madogo madogo ambayo ujitokeza nayo ni kama kichefuchefu na kutapika,na pia kufanya sehemu za kwenye mfumo wa hewa kulegea kwa mda na pia mgonjwa kuishiwa nguvu baada ya kuzitumia na pia mgonjwa kuhisi kizunguzungu na kuchoka ,kwa hiyo mgonjwa akisikia hayo hapaswi kujiuliza bali anapaswa kufahamu kwamba ni matokeo ya dawa.
4. Vile vile dawa hizi uweza kutumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo ya pumu na presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalifu kwa sababu iwapo dawa hizi zinatumika na pia mgonjwa wa pumu akijisikia vibaya na akatumia dawa za pumu pamoja na hizi za kikohozi anaweza kusababisha mapafu kupanuka zaidi na kuleta madhara makubwa zaidi kuliko kama tulivyotegemea, basi katika matumizi ya dawa hizi ni vizuri kabisa kuongea na wataalamu wa afya.
5. Kwa sababu hii ni dawa ya kikohozi na zipo madukani kwa wingi kwa hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela bali tuzingatie ushauri wa madaktari na wataalamu wengine wa afya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...