Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
1. Dawa ya mucolytic ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa katika matibabu ya kikohozi ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi na imeweza kuleta matokeo makubwa kwa watumiaji, dawa hii ufanya kazi ya kutenganisha vikohozi vilivyokusanyana na kuvifanya viwe virahini na kuzibua sehemu mbalimbali ambazo zimezibwa na vikohozi hivyo kwa kufanya hivyo vikohozi uweza kuwa raini na hata mgonjwa akikohoa hawezi kutumia zaidi.
2.Na vile vile kama kuna mikusanyiko mbalimbali ya uchafu kwenye sehemu ya mfumo wa hewa uweza kutenganisha uchafu huo na hali huwa kawaida na pia mgonjwa anaweza kutoa uchafu huo kwa kukohoa bila matatizo zaidi kwa sababu ni mwepesi dawa hizi inawezekana kupitishwa mdomoni na kufanya kazi kupitia kwenye mzunguko wa damu na kuleta matokeo mazuri.
3. Pia wakati ematumizi ya dawa hizi ya mucolytic kuna maudhi madogo madogo ambayo ujitokeza nayo ni kama kichefuchefu na kutapika,na pia kufanya sehemu za kwenye mfumo wa hewa kulegea kwa mda na pia mgonjwa kuishiwa nguvu baada ya kuzitumia na pia mgonjwa kuhisi kizunguzungu na kuchoka ,kwa hiyo mgonjwa akisikia hayo hapaswi kujiuliza bali anapaswa kufahamu kwamba ni matokeo ya dawa.
4. Vile vile dawa hizi uweza kutumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo ya pumu na presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalifu kwa sababu iwapo dawa hizi zinatumika na pia mgonjwa wa pumu akijisikia vibaya na akatumia dawa za pumu pamoja na hizi za kikohozi anaweza kusababisha mapafu kupanuka zaidi na kuleta madhara makubwa zaidi kuliko kama tulivyotegemea, basi katika matumizi ya dawa hizi ni vizuri kabisa kuongea na wataalamu wa afya.
5. Kwa sababu hii ni dawa ya kikohozi na zipo madukani kwa wingi kwa hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela bali tuzingatie ushauri wa madaktari na wataalamu wengine wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
Soma Zaidi...DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.
Soma Zaidi...