Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
1. Dawa ya mucolytic ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa katika matibabu ya kikohozi ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi na imeweza kuleta matokeo makubwa kwa watumiaji, dawa hii ufanya kazi ya kutenganisha vikohozi vilivyokusanyana na kuvifanya viwe virahini na kuzibua sehemu mbalimbali ambazo zimezibwa na vikohozi hivyo kwa kufanya hivyo vikohozi uweza kuwa raini na hata mgonjwa akikohoa hawezi kutumia zaidi.
2.Na vile vile kama kuna mikusanyiko mbalimbali ya uchafu kwenye sehemu ya mfumo wa hewa uweza kutenganisha uchafu huo na hali huwa kawaida na pia mgonjwa anaweza kutoa uchafu huo kwa kukohoa bila matatizo zaidi kwa sababu ni mwepesi dawa hizi inawezekana kupitishwa mdomoni na kufanya kazi kupitia kwenye mzunguko wa damu na kuleta matokeo mazuri.
3. Pia wakati ematumizi ya dawa hizi ya mucolytic kuna maudhi madogo madogo ambayo ujitokeza nayo ni kama kichefuchefu na kutapika,na pia kufanya sehemu za kwenye mfumo wa hewa kulegea kwa mda na pia mgonjwa kuishiwa nguvu baada ya kuzitumia na pia mgonjwa kuhisi kizunguzungu na kuchoka ,kwa hiyo mgonjwa akisikia hayo hapaswi kujiuliza bali anapaswa kufahamu kwamba ni matokeo ya dawa.
4. Vile vile dawa hizi uweza kutumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo ya pumu na presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalifu kwa sababu iwapo dawa hizi zinatumika na pia mgonjwa wa pumu akijisikia vibaya na akatumia dawa za pumu pamoja na hizi za kikohozi anaweza kusababisha mapafu kupanuka zaidi na kuleta madhara makubwa zaidi kuliko kama tulivyotegemea, basi katika matumizi ya dawa hizi ni vizuri kabisa kuongea na wataalamu wa afya.
5. Kwa sababu hii ni dawa ya kikohozi na zipo madukani kwa wingi kwa hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela bali tuzingatie ushauri wa madaktari na wataalamu wengine wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
Soma Zaidi...