Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
1. Hii pia ni mojawapo ya dawa ya kutibu maumivu kama ilivyo dawa ya paracetamol, aspirin na ibuprofen,pia dawa hii usaidia kutuliza maumivu ya Kawaida kama maumivu ya kichwa,tumbo na kadhhalika
2. Kwa kawaida dawa hii Iko kwenye muundo wa vidonge na Ina milligrams mia tano na utumiwa baada ya masaa manane pamoja na chakula. Ikitumika kwenye tumbo wazi inawezekana kuleta mkwaruzo kwenye tumbo unaoambatana na vidonda vya tumbo.
3 dawa hii utumiwa na watu wazima ila kwa watoto hairuhusiwi ila kwa maagizo ya wataalamu wa afya inawezekana kutumika.
4. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kuharisha maumivu ya tumbo hasa kama mtumiaji ametumia pasipo chakula.
5. Dawa hii haiitumiki kiholela ila kwa maagizo ya wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...