Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
1. Hii pia ni mojawapo ya dawa ya kutibu maumivu kama ilivyo dawa ya paracetamol, aspirin na ibuprofen,pia dawa hii usaidia kutuliza maumivu ya Kawaida kama maumivu ya kichwa,tumbo na kadhhalika
2. Kwa kawaida dawa hii Iko kwenye muundo wa vidonge na Ina milligrams mia tano na utumiwa baada ya masaa manane pamoja na chakula. Ikitumika kwenye tumbo wazi inawezekana kuleta mkwaruzo kwenye tumbo unaoambatana na vidonda vya tumbo.
3 dawa hii utumiwa na watu wazima ila kwa watoto hairuhusiwi ila kwa maagizo ya wataalamu wa afya inawezekana kutumika.
4. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kuharisha maumivu ya tumbo hasa kama mtumiaji ametumia pasipo chakula.
5. Dawa hii haiitumiki kiholela ila kwa maagizo ya wataalamu wa afya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .
Soma Zaidi...