Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Kazi za paracetamol katika kutuliza maumivu.
1. Paracetamol ni Aina ya dawa ambayo utuliza maumivu mbalimbali kwenye mwili wa binadamu, na pia ushusha Homa kama Iko juu na pia Kati ya dawa za maumivu ni dawa ambayo utumika Ili kupunguza maumivu kwa watu wenye vidonda vya tumbo, kwa hiyo dawa hii utumiwa kwa ushauri wa daktari au wataalamu mbalimbali wa afya kwa hiyo tutumie dawa hii kwa kufuata maelekezo zaidi kutoka kwa wataalamu wa afya.
2. Dawa hii ya paracetamol utumiwa na uleta mafanikio kwa watu mbalimbali lakini huaribu inni, figo na watu wanaotumia sana pombe hawapaswi kutumia dawa hii au wasitumie pombe mpaka wamalize dozi kwa hiyo hii dawa hazipaswi kutumiwa sana kwa bila sababu hasa wale wasichana wanaoumwa tumbo la siku zao za mwezi upenda kutumia dawa hii kila mwezi siyo vizuri kwa sababu wanaweza kuniletea matatizo ya kuwa na vidonda vya tumbo kwa sababu hii dawa ukwangua ukuta wa tumbo ikiwa zikitumika mara kwa mara.
3. Dawa hizi za paracetamol au Panadol zinakuwa kwa mfumo wa vidonge kwa watu wazima na kwa watoto zinakuwa kwenye maji maji kwa hiyo zinamezwa kwa kutumia maji Safi Ili kwa watoto wanakunywa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya, kwa hiyo hizi dawa tunajua kuwa zinapungiza maumivu tusizitumie kiholela Bali tuzitumia kwa ushauri wa daktari na wataalamu wa afya kwa sababu kila dawa uwa na matumizi yake kwa hiyo ikiwa mtu amezitumia vibaya anaweza kujiletea matatizo ya Bure .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
Soma Zaidi...Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...