Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Kazi za paracetamol katika kutuliza maumivu.
1. Paracetamol ni Aina ya dawa ambayo utuliza maumivu mbalimbali kwenye mwili wa binadamu, na pia ushusha Homa kama Iko juu na pia Kati ya dawa za maumivu ni dawa ambayo utumika Ili kupunguza maumivu kwa watu wenye vidonda vya tumbo, kwa hiyo dawa hii utumiwa kwa ushauri wa daktari au wataalamu mbalimbali wa afya kwa hiyo tutumie dawa hii kwa kufuata maelekezo zaidi kutoka kwa wataalamu wa afya.
2. Dawa hii ya paracetamol utumiwa na uleta mafanikio kwa watu mbalimbali lakini huaribu inni, figo na watu wanaotumia sana pombe hawapaswi kutumia dawa hii au wasitumie pombe mpaka wamalize dozi kwa hiyo hii dawa hazipaswi kutumiwa sana kwa bila sababu hasa wale wasichana wanaoumwa tumbo la siku zao za mwezi upenda kutumia dawa hii kila mwezi siyo vizuri kwa sababu wanaweza kuniletea matatizo ya kuwa na vidonda vya tumbo kwa sababu hii dawa ukwangua ukuta wa tumbo ikiwa zikitumika mara kwa mara.
3. Dawa hizi za paracetamol au Panadol zinakuwa kwa mfumo wa vidonge kwa watu wazima na kwa watoto zinakuwa kwenye maji maji kwa hiyo zinamezwa kwa kutumia maji Safi Ili kwa watoto wanakunywa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya, kwa hiyo hizi dawa tunajua kuwa zinapungiza maumivu tusizitumie kiholela Bali tuzitumia kwa ushauri wa daktari na wataalamu wa afya kwa sababu kila dawa uwa na matumizi yake kwa hiyo ikiwa mtu amezitumia vibaya anaweza kujiletea matatizo ya Bure .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Soma Zaidi...Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi
Soma Zaidi...PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...