Menu



Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.

Fahamu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo.

1. Post hii inahusu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo na kiuno , dawa hii kwa kitaamu huiitwa back bone pain, kwa kawaida siku hizi Kuna matatizo mengi ya maumivu ya mgongo pia na kiuno, ni kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha kuwepo kwa maumivu ya mgongo na sababu ni kama zifuatazo. Matumizi mabaya ya mto hasa wakati wa kulala, .atumizi mabaya ya godoro au kutumia godoro lisilo na sifa hasa Yale yanayobonyea na kufanya mgongo kukaa umeinama na pole pole kusababisha maumivu ya mgongo.

 

2. Pia kubeba vitu vizito na yenyewe ni sababu mojawapo ya maumivu ya mgongo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachana na sababu ambazo usababisha maumivu ya mgongo, kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa maudhi ya mgongo Kuna dawa maalumu ambayo imewasaidia wengi na mimi ni mojawapo, dawa hii inaitwa backbone paini, hii dawa matumizi yake ni pale unapoamka asubuhi unapaka kwenye maumivu kuanzia kwenye kiuno mpaka sehemu mbalimbali zenye maumivu na unaweza kupaka mara tatu kwa siku, na ukizingatia matumizi mazuri maumivu upona.

 

3. Pia dawa hii ya back bone pain inapaswa kutumiwa kwenye sehemu za nje tu yaani kwenye ngozi sio ndani yamwili maana inaweza kuleta matatizo ikitumiwa kwenye mdomo,pia au kuingia ndani ya mwili ni kwa ajili ya nje tu, pia dawa hii inaweza kuleta maudhi madogo madogo kwa watumiaji na maudhi hayo ni pamoja na kuwepo kwa viupele na miwasho kwenye ngozi, haya maudhi yanaweza kuondoka kadri mtumiaji anavyotumia dawa ,kwa hiyo hali ikiwa mbaya ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.

 

4. Vile vile dawa hii haiitumiki kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu maelekezo mbalimbali utolewa kwa watumiaji na pia sio kuwekwa karibu na watoto kwa hiyo iwekwe sehemu nzuri na inayoeleweka.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2793

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazopunguza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.

Soma Zaidi...