Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.

Fahamu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo.

1. Post hii inahusu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo na kiuno , dawa hii kwa kitaamu huiitwa back bone pain, kwa kawaida siku hizi Kuna matatizo mengi ya maumivu ya mgongo pia na kiuno, ni kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha kuwepo kwa maumivu ya mgongo na sababu ni kama zifuatazo. Matumizi mabaya ya mto hasa wakati wa kulala, .atumizi mabaya ya godoro au kutumia godoro lisilo na sifa hasa Yale yanayobonyea na kufanya mgongo kukaa umeinama na pole pole kusababisha maumivu ya mgongo.

 

2. Pia kubeba vitu vizito na yenyewe ni sababu mojawapo ya maumivu ya mgongo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachana na sababu ambazo usababisha maumivu ya mgongo, kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa maudhi ya mgongo Kuna dawa maalumu ambayo imewasaidia wengi na mimi ni mojawapo, dawa hii inaitwa backbone paini, hii dawa matumizi yake ni pale unapoamka asubuhi unapaka kwenye maumivu kuanzia kwenye kiuno mpaka sehemu mbalimbali zenye maumivu na unaweza kupaka mara tatu kwa siku, na ukizingatia matumizi mazuri maumivu upona.

 

3. Pia dawa hii ya back bone pain inapaswa kutumiwa kwenye sehemu za nje tu yaani kwenye ngozi sio ndani yamwili maana inaweza kuleta matatizo ikitumiwa kwenye mdomo,pia au kuingia ndani ya mwili ni kwa ajili ya nje tu, pia dawa hii inaweza kuleta maudhi madogo madogo kwa watumiaji na maudhi hayo ni pamoja na kuwepo kwa viupele na miwasho kwenye ngozi, haya maudhi yanaweza kuondoka kadri mtumiaji anavyotumia dawa ,kwa hiyo hali ikiwa mbaya ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.

 

4. Vile vile dawa hii haiitumiki kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu maelekezo mbalimbali utolewa kwa watumiaji na pia sio kuwekwa karibu na watoto kwa hiyo iwekwe sehemu nzuri na inayoeleweka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3118

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...
Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...
Matibabu ya macho

Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho

Soma Zaidi...
Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutuliza mishutuko.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.

Soma Zaidi...