Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Fahamu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo.
1. Post hii inahusu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo na kiuno , dawa hii kwa kitaamu huiitwa back bone pain, kwa kawaida siku hizi Kuna matatizo mengi ya maumivu ya mgongo pia na kiuno, ni kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha kuwepo kwa maumivu ya mgongo na sababu ni kama zifuatazo. Matumizi mabaya ya mto hasa wakati wa kulala, .atumizi mabaya ya godoro au kutumia godoro lisilo na sifa hasa Yale yanayobonyea na kufanya mgongo kukaa umeinama na pole pole kusababisha maumivu ya mgongo.
2. Pia kubeba vitu vizito na yenyewe ni sababu mojawapo ya maumivu ya mgongo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachana na sababu ambazo usababisha maumivu ya mgongo, kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa maudhi ya mgongo Kuna dawa maalumu ambayo imewasaidia wengi na mimi ni mojawapo, dawa hii inaitwa backbone paini, hii dawa matumizi yake ni pale unapoamka asubuhi unapaka kwenye maumivu kuanzia kwenye kiuno mpaka sehemu mbalimbali zenye maumivu na unaweza kupaka mara tatu kwa siku, na ukizingatia matumizi mazuri maumivu upona.
3. Pia dawa hii ya back bone pain inapaswa kutumiwa kwenye sehemu za nje tu yaani kwenye ngozi sio ndani yamwili maana inaweza kuleta matatizo ikitumiwa kwenye mdomo,pia au kuingia ndani ya mwili ni kwa ajili ya nje tu, pia dawa hii inaweza kuleta maudhi madogo madogo kwa watumiaji na maudhi hayo ni pamoja na kuwepo kwa viupele na miwasho kwenye ngozi, haya maudhi yanaweza kuondoka kadri mtumiaji anavyotumia dawa ,kwa hiyo hali ikiwa mbaya ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.
4. Vile vile dawa hii haiitumiki kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu maelekezo mbalimbali utolewa kwa watumiaji na pia sio kuwekwa karibu na watoto kwa hiyo iwekwe sehemu nzuri na inayoeleweka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
Soma Zaidi...hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...