Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo,
1. Dawa hii hasa usaidia kwa wagonjwa ambao presha zao huwa Iko juu mara kwa mara na pia kwa wagonjwa ambao Wana ugonjwa wa moyo ambapo kwa kitaamu ugonjwa huu wa moyo kwa kitaamu huiitwa heart failure, pia dawa hii utumiwa na watu wengi sana na wanashuhudia kupata unafuu kwenye matibabu yao.
2. Tunafahamu kwamba presha Ili iwe juu kwa kawaida mishipa ya damu inakuwa ni myembamba na kusababisha moyo kutumia nguvu katika kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili ,kwa hiyo katika hali hiyo ya moyo kutumia nguvu kusukuma damu presha kwa kawaida inakuwa juu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii ya captopril usaidia kupanua mishipa na damu uweza kupitia kwa urahisi na kisukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu ya shughuli maalumu.
3. Kwa hiyo pia dawa hizi pamoja na kufanya kazi vizuri Kuna pia matokeo ambayo Kwa kawaida utokea au kwa lugha nyingine tunaita maudhi madogo madogo ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara hasa kwa wale wanaoanza matibabu mara ya kwanza ila wakizoea maisha uwa ni kama kawaida, pia Kuna Kipindi mapigo ya moyo yanakwenda mbio, maumivu ya kifua na pengine kifua kubana kabisa,na pia mwili wa mtumiaji wa dawa kuwa Mnyonge au kuishiwa nguvu kabisa.
4. Kwa hiyo maudhi madogo madogo kama yakitokea na kuisha kwa mda mfupi hakuna shida ila yakitokea kwa mda mrefu na kuleta matokeo mbalimbali ambayo hayaeleweki kwa mgonjwa ni vizuri kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya,na vile vile dawa hizi hazitolewi kiholela Bali ni kwa uamuzi wa wataalamu wa afya.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.
Soma Zaidi...Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...