Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo,
1. Dawa hii hasa usaidia kwa wagonjwa ambao presha zao huwa Iko juu mara kwa mara na pia kwa wagonjwa ambao Wana ugonjwa wa moyo ambapo kwa kitaamu ugonjwa huu wa moyo kwa kitaamu huiitwa heart failure, pia dawa hii utumiwa na watu wengi sana na wanashuhudia kupata unafuu kwenye matibabu yao.
2. Tunafahamu kwamba presha Ili iwe juu kwa kawaida mishipa ya damu inakuwa ni myembamba na kusababisha moyo kutumia nguvu katika kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili ,kwa hiyo katika hali hiyo ya moyo kutumia nguvu kusukuma damu presha kwa kawaida inakuwa juu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii ya captopril usaidia kupanua mishipa na damu uweza kupitia kwa urahisi na kisukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu ya shughuli maalumu.
3. Kwa hiyo pia dawa hizi pamoja na kufanya kazi vizuri Kuna pia matokeo ambayo Kwa kawaida utokea au kwa lugha nyingine tunaita maudhi madogo madogo ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara hasa kwa wale wanaoanza matibabu mara ya kwanza ila wakizoea maisha uwa ni kama kawaida, pia Kuna Kipindi mapigo ya moyo yanakwenda mbio, maumivu ya kifua na pengine kifua kubana kabisa,na pia mwili wa mtumiaji wa dawa kuwa Mnyonge au kuishiwa nguvu kabisa.
4. Kwa hiyo maudhi madogo madogo kama yakitokea na kuisha kwa mda mfupi hakuna shida ila yakitokea kwa mda mrefu na kuleta matokeo mbalimbali ambayo hayaeleweki kwa mgonjwa ni vizuri kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya,na vile vile dawa hizi hazitolewi kiholela Bali ni kwa uamuzi wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik
Soma Zaidi...Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...