Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo,

1. Dawa hii hasa usaidia kwa wagonjwa ambao presha zao huwa Iko juu mara kwa mara na pia kwa wagonjwa ambao Wana ugonjwa wa moyo ambapo kwa kitaamu ugonjwa huu wa moyo kwa kitaamu huiitwa heart failure, pia dawa hii utumiwa na watu wengi sana na wanashuhudia kupata unafuu kwenye matibabu yao.

 

2. Tunafahamu kwamba presha Ili iwe juu kwa kawaida mishipa ya damu inakuwa ni myembamba na kusababisha moyo kutumia nguvu katika kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili ,kwa hiyo katika hali hiyo ya moyo kutumia nguvu kusukuma damu presha kwa kawaida inakuwa juu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii ya captopril usaidia kupanua mishipa na damu uweza kupitia kwa urahisi na kisukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu ya shughuli maalumu.

 

3. Kwa hiyo pia dawa hizi pamoja na kufanya kazi vizuri Kuna pia matokeo ambayo Kwa kawaida utokea au kwa lugha nyingine tunaita maudhi madogo madogo ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara hasa kwa wale wanaoanza matibabu mara ya kwanza ila wakizoea maisha uwa ni kama kawaida, pia Kuna Kipindi mapigo ya moyo yanakwenda mbio, maumivu ya kifua na pengine kifua kubana kabisa,na pia mwili wa mtumiaji wa dawa kuwa Mnyonge au kuishiwa nguvu kabisa.

 

4. Kwa hiyo maudhi madogo madogo kama yakitokea na kuisha kwa mda mfupi hakuna shida ila yakitokea kwa mda mrefu na kuleta matokeo mbalimbali ambayo hayaeleweki kwa mgonjwa ni vizuri kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya,na vile vile dawa hizi hazitolewi kiholela Bali ni kwa uamuzi wa wataalamu wa afya.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2110

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotibu minyoo iitwayo albenza (albendazole)

Albenza (albendazole) hutumika kutibu magonjwa ya minyoo ya ndani ikiwa ni pamoja na maambukizi ya minyoo ya tegu. Albenza inafanya kazi kukomesha kuenea kwa maambukizo ya minyoo kwenye chanzo, na kukata chanzo chao cha nishati, na hivyo kuzuia kuenea k

Soma Zaidi...
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...
Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Dawa ya vidonda vya tumbo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...