Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo,
1. Dawa hii hasa usaidia kwa wagonjwa ambao presha zao huwa Iko juu mara kwa mara na pia kwa wagonjwa ambao Wana ugonjwa wa moyo ambapo kwa kitaamu ugonjwa huu wa moyo kwa kitaamu huiitwa heart failure, pia dawa hii utumiwa na watu wengi sana na wanashuhudia kupata unafuu kwenye matibabu yao.
2. Tunafahamu kwamba presha Ili iwe juu kwa kawaida mishipa ya damu inakuwa ni myembamba na kusababisha moyo kutumia nguvu katika kusambaza damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili ,kwa hiyo katika hali hiyo ya moyo kutumia nguvu kusukuma damu presha kwa kawaida inakuwa juu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii ya captopril usaidia kupanua mishipa na damu uweza kupitia kwa urahisi na kisukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu ya shughuli maalumu.
3. Kwa hiyo pia dawa hizi pamoja na kufanya kazi vizuri Kuna pia matokeo ambayo Kwa kawaida utokea au kwa lugha nyingine tunaita maudhi madogo madogo ambayo ni pamoja na maumivu ya kichwa ya mara kwa mara hasa kwa wale wanaoanza matibabu mara ya kwanza ila wakizoea maisha uwa ni kama kawaida, pia Kuna Kipindi mapigo ya moyo yanakwenda mbio, maumivu ya kifua na pengine kifua kubana kabisa,na pia mwili wa mtumiaji wa dawa kuwa Mnyonge au kuishiwa nguvu kabisa.
4. Kwa hiyo maudhi madogo madogo kama yakitokea na kuisha kwa mda mfupi hakuna shida ila yakitokea kwa mda mrefu na kuleta matokeo mbalimbali ambayo hayaeleweki kwa mgonjwa ni vizuri kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya,na vile vile dawa hizi hazitolewi kiholela Bali ni kwa uamuzi wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.
Soma Zaidi...