picha

Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Ifahamu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu.

1. Dawa hii ni mojawapo ya madawa ambayo yamechaguliwa kupunguza maumivu ya Kawaida na  kama tulivyoona hapo mbeleni Ina saidia pia katika magonjwa ya moyo, kwa hiyo hii dawa inatumika na watu mbalimbali ila Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii nao ni watu wenye ugonjwa wa kubanwa na kifua kwa kitaamu ugonjwa huu huiitwa Asthma au katika kutumia wagonjwa hao wanapaswa kuwa makini au kutumia dawa hii kwa uangalizi zaidi na wataalamu wa afya,

 

2. Vile vile sio wagonjwa wa asthma peke yao ambao hawapaswi kutumia dawa hii pia na wale wenye aleji na dawa hii ya aspirin, Kuna wale wanaotumia wakabanwa na kifua, wengine wakawa na ma upele na mambo kama hayo hao watu wa aina hii hawapaswi kutumia dawa ya aspirin. Pia Kuna wale watu ambao Wana magonjwa ya Figo na hao hawapaswi kutumia dawa hii ya aspirin kwa sababu usababisha madhara zaidi kwa hiyo kwa wenye matatizo na dawa hii wanapaswa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

 

3. Pia wengine ambao hawapaswi kutumia dawa ya aspirin ni watoto wote chini ya miaka kumi na minane na pia akina Mama wanaonyonyesha Hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu hii dwa inaweza kuwa chanzo cha ugonjwa ambao kwa kitaamu huiitwa Reyes syndrome huu ni ugonjwa unaowapata akina Mama na watoto chini ya miaka kumi na sita , kwa hiyo akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita watafutiwe dawa nyingine za maumivu Ili kuepuka madhara mengine.

 

4.pia watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu aina ya aspirin, na wale wenye tatizo la kutoka na damu hasa kwa kitaamu huiitwa haemophilia na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu. na pia dawa hii  uingilia kwenye mfumo wa uchujaji wa mkono ambapo inaweza kusababisha mkojo husichujwe vizuri ndio maana kwa wagonjwa wa Figo ni marufuku kutumia dawa hii labda kwa ruhusa ya wataalamu wa afya , kwa hiyo kwa wahusika ni vizuri kabisa kuzingatia hayo.

 

5. Matokeo ya dawa hii ya aspirin , kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wanaweza kupata matokeo mbalimbali kama haya kuwepo kwa magonjwa ya Figo kwa watumiaji hali hii ikitokea ni kuacha dawa mara Moja,pia kuwepo kwa matatizo kwenye nefron yanaani kwenye mfumo mzima wa kuchuja mkojo kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wakipata shida hiyo ni vizuri kabisa kuacha dawa hiyo,pia Kuna uwezekano wa kusikia kwa shida, kichefuchefu na kutapika, na Pia kwa matumizi ya dawa mda mrefu usaidia kuzuia kubalance kiwango cha asidi na base mwilini.

 

6.kwa sababu dawa hii huwa inapunguza maumivu Kuna wakati mwingine ikitumiwa sana na mgonjwa anaweza kuwa na homa sana kwa sababu ya kuharibika au kuvurugika kwa sehemu mbalimbali kama vile Figona ini homa inaweze pia kuongeza hali ya kuharibika kwa mifumo mingine ya mwili ambayo Kwa kitaamu huiitwa metabolic rate kitendo cha kuharibika kwa metabolic rate  au kuongezeka kwa metabolic rate usababisha kuwepo kwa virusi kwenye ini na kusababisha maambukizi kwenye ini kwa hiyo wenye magonjwa ya ini na Figo wasitumie dawa hii ila kwa ushauri wa wataalamu wa afya.

 

7. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na umezwa kwa kutumia maji na baada ya kula kushiba kwa sababu ikimezwa bila kushiba uweza kusababisha vidonda vya tumbo hasa kwa watumiaji wa mda mrefu na milligrams ambazo zinatumika ni kiasi cha 300  milligrams mpaka mia tisa milligrams kwa masaa masaa sita, na maximum dozi ni 4kilogram hii dozi , pia dozi upangwa kwa kadri ya uzito, umri wa kila mgonjwa kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hii kwa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya.

 

8. Kwa sababu dawa hii Ina matokeo mengi kwa wagonjwa ambao wanatumia pia ambao hawapaswi kutumia ni wengi kama vile wenye vidonda vya tumbo, wenyewe athma , akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita,wenye magonjwa ya Figo, magonjwa ya nefron, wenye magonjwa ya ini, kwa hiyo dawa hii isitumiwe kiholela holela kwa sababu Ina madhart mengi katika matumizi na inaweza kuleta matatizo mengine zaidi ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa hii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/12/17/Saturday - 12:51:25 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1267

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 web hosting    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Soma Zaidi...
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Soma Zaidi...
Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Dawa za mapunye

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za maounye

Soma Zaidi...