Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Ifahamu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu.

1. Dawa hii ni mojawapo ya madawa ambayo yamechaguliwa kupunguza maumivu ya Kawaida na  kama tulivyoona hapo mbeleni Ina saidia pia katika magonjwa ya moyo, kwa hiyo hii dawa inatumika na watu mbalimbali ila Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii nao ni watu wenye ugonjwa wa kubanwa na kifua kwa kitaamu ugonjwa huu huiitwa Asthma au katika kutumia wagonjwa hao wanapaswa kuwa makini au kutumia dawa hii kwa uangalizi zaidi na wataalamu wa afya,

 

2. Vile vile sio wagonjwa wa asthma peke yao ambao hawapaswi kutumia dawa hii pia na wale wenye aleji na dawa hii ya aspirin, Kuna wale wanaotumia wakabanwa na kifua, wengine wakawa na ma upele na mambo kama hayo hao watu wa aina hii hawapaswi kutumia dawa ya aspirin. Pia Kuna wale watu ambao Wana magonjwa ya Figo na hao hawapaswi kutumia dawa hii ya aspirin kwa sababu usababisha madhara zaidi kwa hiyo kwa wenye matatizo na dawa hii wanapaswa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

 

3. Pia wengine ambao hawapaswi kutumia dawa ya aspirin ni watoto wote chini ya miaka kumi na minane na pia akina Mama wanaonyonyesha Hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu hii dwa inaweza kuwa chanzo cha ugonjwa ambao kwa kitaamu huiitwa Reyes syndrome huu ni ugonjwa unaowapata akina Mama na watoto chini ya miaka kumi na sita , kwa hiyo akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita watafutiwe dawa nyingine za maumivu Ili kuepuka madhara mengine.

 

4.pia watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu aina ya aspirin, na wale wenye tatizo la kutoka na damu hasa kwa kitaamu huiitwa haemophilia na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu. na pia dawa hii  uingilia kwenye mfumo wa uchujaji wa mkono ambapo inaweza kusababisha mkojo husichujwe vizuri ndio maana kwa wagonjwa wa Figo ni marufuku kutumia dawa hii labda kwa ruhusa ya wataalamu wa afya , kwa hiyo kwa wahusika ni vizuri kabisa kuzingatia hayo.

 

5. Matokeo ya dawa hii ya aspirin , kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wanaweza kupata matokeo mbalimbali kama haya kuwepo kwa magonjwa ya Figo kwa watumiaji hali hii ikitokea ni kuacha dawa mara Moja,pia kuwepo kwa matatizo kwenye nefron yanaani kwenye mfumo mzima wa kuchuja mkojo kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wakipata shida hiyo ni vizuri kabisa kuacha dawa hiyo,pia Kuna uwezekano wa kusikia kwa shida, kichefuchefu na kutapika, na Pia kwa matumizi ya dawa mda mrefu usaidia kuzuia kubalance kiwango cha asidi na base mwilini.

 

6.kwa sababu dawa hii huwa inapunguza maumivu Kuna wakati mwingine ikitumiwa sana na mgonjwa anaweza kuwa na homa sana kwa sababu ya kuharibika au kuvurugika kwa sehemu mbalimbali kama vile Figona ini homa inaweze pia kuongeza hali ya kuharibika kwa mifumo mingine ya mwili ambayo Kwa kitaamu huiitwa metabolic rate kitendo cha kuharibika kwa metabolic rate  au kuongezeka kwa metabolic rate usababisha kuwepo kwa virusi kwenye ini na kusababisha maambukizi kwenye ini kwa hiyo wenye magonjwa ya ini na Figo wasitumie dawa hii ila kwa ushauri wa wataalamu wa afya.

 

7. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na umezwa kwa kutumia maji na baada ya kula kushiba kwa sababu ikimezwa bila kushiba uweza kusababisha vidonda vya tumbo hasa kwa watumiaji wa mda mrefu na milligrams ambazo zinatumika ni kiasi cha 300  milligrams mpaka mia tisa milligrams kwa masaa masaa sita, na maximum dozi ni 4kilogram hii dozi , pia dozi upangwa kwa kadri ya uzito, umri wa kila mgonjwa kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hii kwa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya.

 

8. Kwa sababu dawa hii Ina matokeo mengi kwa wagonjwa ambao wanatumia pia ambao hawapaswi kutumia ni wengi kama vile wenye vidonda vya tumbo, wenyewe athma , akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita,wenye magonjwa ya Figo, magonjwa ya nefron, wenye magonjwa ya ini, kwa hiyo dawa hii isitumiwe kiholela holela kwa sababu Ina madhart mengi katika matumizi na inaweza kuleta matatizo mengine zaidi ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa hii.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1076

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa ya fangasi ukeni
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Tiba ya minyoo
Tiba ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji
Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID

PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...
 Fahamu matumizi ya Ampicillin.
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Dawa ya minyoo
Dawa ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za minyoo

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...