Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu


image


Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne


Ifahamu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu.

1. Dawa hii ni mojawapo ya madawa ambayo yamechaguliwa kupunguza maumivu ya Kawaida na  kama tulivyoona hapo mbeleni Ina saidia pia katika magonjwa ya moyo, kwa hiyo hii dawa inatumika na watu mbalimbali ila Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii nao ni watu wenye ugonjwa wa kubanwa na kifua kwa kitaamu ugonjwa huu huiitwa Asthma au katika kutumia wagonjwa hao wanapaswa kuwa makini au kutumia dawa hii kwa uangalizi zaidi na wataalamu wa afya,

 

2. Vile vile sio wagonjwa wa asthma peke yao ambao hawapaswi kutumia dawa hii pia na wale wenye aleji na dawa hii ya aspirin, Kuna wale wanaotumia wakabanwa na kifua, wengine wakawa na ma upele na mambo kama hayo hao watu wa aina hii hawapaswi kutumia dawa ya aspirin. Pia Kuna wale watu ambao Wana magonjwa ya Figo na hao hawapaswi kutumia dawa hii ya aspirin kwa sababu usababisha madhara zaidi kwa hiyo kwa wenye matatizo na dawa hii wanapaswa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.

 

3. Pia wengine ambao hawapaswi kutumia dawa ya aspirin ni watoto wote chini ya miaka kumi na minane na pia akina Mama wanaonyonyesha Hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu hii dwa inaweza kuwa chanzo cha ugonjwa ambao kwa kitaamu huiitwa Reyes syndrome huu ni ugonjwa unaowapata akina Mama na watoto chini ya miaka kumi na sita , kwa hiyo akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita watafutiwe dawa nyingine za maumivu Ili kuepuka madhara mengine.

 

4.pia watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu aina ya aspirin, na wale wenye tatizo la kutoka na damu hasa kwa kitaamu huiitwa haemophilia na wenyewe hawapaswi kutumia dawa hii ya maumivu. na pia dawa hii  uingilia kwenye mfumo wa uchujaji wa mkono ambapo inaweza kusababisha mkojo husichujwe vizuri ndio maana kwa wagonjwa wa Figo ni marufuku kutumia dawa hii labda kwa ruhusa ya wataalamu wa afya , kwa hiyo kwa wahusika ni vizuri kabisa kuzingatia hayo.

 

5. Matokeo ya dawa hii ya aspirin , kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wanaweza kupata matokeo mbalimbali kama haya kuwepo kwa magonjwa ya Figo kwa watumiaji hali hii ikitokea ni kuacha dawa mara Moja,pia kuwepo kwa matatizo kwenye nefron yanaani kwenye mfumo mzima wa kuchuja mkojo kwa watumiaji wa dawa hii ya aspirin wakipata shida hiyo ni vizuri kabisa kuacha dawa hiyo,pia Kuna uwezekano wa kusikia kwa shida, kichefuchefu na kutapika, na Pia kwa matumizi ya dawa mda mrefu usaidia kuzuia kubalance kiwango cha asidi na base mwilini.

 

6.kwa sababu dawa hii huwa inapunguza maumivu Kuna wakati mwingine ikitumiwa sana na mgonjwa anaweza kuwa na homa sana kwa sababu ya kuharibika au kuvurugika kwa sehemu mbalimbali kama vile Figona ini homa inaweze pia kuongeza hali ya kuharibika kwa mifumo mingine ya mwili ambayo Kwa kitaamu huiitwa metabolic rate kitendo cha kuharibika kwa metabolic rate  au kuongezeka kwa metabolic rate usababisha kuwepo kwa virusi kwenye ini na kusababisha maambukizi kwenye ini kwa hiyo wenye magonjwa ya ini na Figo wasitumie dawa hii ila kwa ushauri wa wataalamu wa afya.

 

7. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na umezwa kwa kutumia maji na baada ya kula kushiba kwa sababu ikimezwa bila kushiba uweza kusababisha vidonda vya tumbo hasa kwa watumiaji wa mda mrefu na milligrams ambazo zinatumika ni kiasi cha 300  milligrams mpaka mia tisa milligrams kwa masaa masaa sita, na maximum dozi ni 4kilogram hii dozi , pia dozi upangwa kwa kadri ya uzito, umri wa kila mgonjwa kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hii kwa kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya.

 

8. Kwa sababu dawa hii Ina matokeo mengi kwa wagonjwa ambao wanatumia pia ambao hawapaswi kutumia ni wengi kama vile wenye vidonda vya tumbo, wenyewe athma , akina Mama wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka kumi na sita,wenye magonjwa ya Figo, magonjwa ya nefron, wenye magonjwa ya ini, kwa hiyo dawa hii isitumiwe kiholela holela kwa sababu Ina madhart mengi katika matumizi na inaweza kuleta matatizo mengine zaidi ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa hii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria. Soma Zaidi...

image Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital
Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa. Soma Zaidi...

image Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo
Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi. Soma Zaidi...

image Matibabu ya Fangasi ukeni na dawa za fangasi wanaoshambulia uke.
Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni. Soma Zaidi...