Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?

Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Swali

 
Doktar Mke wangu ana dalili moja wapo za ulizo zuweka hapo za vja uzito was wik ya 3 sasa amekunywa panardo alikua anajickia VIBAYA VIPI hi dawa inaweza kumletea matatzo?
 
Jibu
Mjamzito hatakiwi kumeza dawa kiholela hata kama alikuwa anaitumia. Siku za nyuma.  Matumizi ya dawa kiholela yanaweza kumletea madhara kwake na kwa mtoto. 
 
Kwa upande wa swali lako kuwa je panadol ina madhara kwa mjamzito.  Panadol haina madhara anaweza kutumia.  Ila hakikisha humezi dawa bila ya maelekezo kutoka kwa daktari. 
 
Mjamzito awe makini hasa anapokuwa na. Mimba changa maana utikaji wa mimba hufanyika. Katika kipindi hicho zaidi kuliko vipindi vingine. 
 
Pia mimba inapokomaa kama kuanzia wiki ya nane hapa pia awe makini sana na kumeza madawa kiholela. Awe makini pia na dawa zenye uchungu sana za mitishamba. 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 6636

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dawa ya kutibu UTI
Dawa ya kutibu UTI

Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
   Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.

Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu

Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne

Soma Zaidi...