Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.
1. Dawa hii ni mojawapo kwa dawa ambazo zimependekezwa kutibu ugonjwa wa minyoo, hii dawa ikitumika inavyopaswa uwezo wa kuua minyoo ni kwa kiwango kikubwa sana kwa sababu uua aina mbalimbali za minyoo kama ifuatavyo. Aina hii ya minyoo imo kwenye lugha ya kitaalamu kwa majina yake lakini lengo ni kuua minyoo majina hayo ni hookworm, thread worm, round worm na whipworm hao wote ni aina ya minyoo.
2. Kwa watumiaji wa dawa hii kwa kawaida uitumia kabla ya chakula au baada ya kumaliza kula chakula na kwa kawaida utafunwa na kumezwa na iko kwenye mfumo wa vidonge .
3. Dawa hi inaweza kutumika kwa watu mbalimbali watoto na watu wazima ila haipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na pia wanawake wenye mimba changa kwa sababu dawa hii inawezekana kutoa mimba changa na kwa watoto wadogo wenye chini ya miaka miwili uweza kupata degedege ikiwa wanatumia dawa hii mara kwa mara.
4. Pia dawa hii inawezekana kuleta maudhui madogo madogo kwa watumiaji kama vile maumivu ya tumbo na tumbo kujaa gesi, maumivu ya kichwa na pia kichefuchefu na kutapika.
5. Kwa sababu dawa hii ina madhara kwa watoto na mama wenye mimba changa ni vizuri kupata ushauri wa daktari kabla ya kutumia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
Soma Zaidi...Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...