Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya mebendazole ni dawa ambayo utumika kutibu minyoo ambayo utokea kwa watoto na watu wazima.

Fahamu kuhusu dawa ya mebendazole .

1. Dawa hii ni mojawapo kwa dawa ambazo zimependekezwa kutibu ugonjwa wa minyoo, hii dawa ikitumika inavyopaswa uwezo wa kuua minyoo ni kwa kiwango kikubwa sana kwa sababu uua aina mbalimbali za minyoo kama ifuatavyo. Aina hii ya minyoo imo kwenye lugha ya kitaalamu kwa majina yake lakini lengo ni kuua minyoo majina hayo ni hookworm, thread worm, round worm na whipworm hao wote ni aina ya minyoo.

 

2. Kwa watumiaji wa dawa hii kwa kawaida uitumia kabla ya chakula au baada ya kumaliza kula chakula na kwa kawaida utafunwa na kumezwa na iko kwenye mfumo wa vidonge .

 

3. Dawa hi inaweza kutumika kwa watu mbalimbali watoto na watu wazima ila haipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na pia wanawake wenye mimba changa kwa sababu dawa hii inawezekana kutoa mimba changa na kwa watoto wadogo wenye chini ya miaka miwili uweza kupata degedege ikiwa wanatumia dawa hii mara kwa mara.

 

4. Pia dawa hii inawezekana kuleta maudhui madogo madogo kwa watumiaji kama vile maumivu ya tumbo na tumbo kujaa gesi, maumivu ya kichwa na pia kichefuchefu na kutapika.

 

5. Kwa sababu dawa hii ina madhara kwa watoto na mama wenye mimba changa ni vizuri kupata ushauri wa daktari kabla ya kutumia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1480

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za vidonge vya antroextra

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.

Soma Zaidi...
Dawa ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za minyoo

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Kazi ya Dawa ya salbutamol

Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu maumivu ya jino

Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga

Soma Zaidi...