Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Ijue fluconazole kama dawa ya kutibu fangasi.

1. Flucanozole ni Mojawapo ya dawa ya fangasi ambayo IPO kwenye kundi la Azole na dawa nyingine ambazo ziko kwenye kundi hili ni kama vile ketaconazole miconazole na clotrimazole. Dawa hizi usaidia kutibu fangasi mbalimbali kwenye mwili na kuifanya mwili uwe kwenye hali ya kawaida.

 

2. Dawa hii ya Flucanozole ufanya kazi kwa kupambana na enzyme ya fangasi ambaye anasababisha fangasi, kwa kuizidi nguvu enzyme ya fangasi dawa uweza kuua yule mduu anayesababisha maambukizi na kuufanya mwili kuwa kawaida kwa kupambana na enzyme ya fangasi anayesababisha maambukizi.

 

3. Flucanozole usaidia kutibu fangasi za kwenye  oesophagus, fangasi za kwenye Koo na fangasi za kwenye sehemu za Siri hasa kwa wanawake utibu candidiasis kwa kutumia dawa hii ya Flucanozole fangasi zote uisha na mtu urudis kwenye hali ya kawaida na kuendelea na shughuli mbalimbali.

 

4. Matokeo ya kutumia dawa hii ya Flucanozole ni pamoja na  kutapika, kuharisha, maupele kwenye mwili wa binadamu hizi dalili zikitokea kwa mtu hasiogope Bali aendelee kumeza hizi dawa na kuna mda haya matokeo yataisha au kama hali itakuwa mamba mgonjwa inabidi apelekwe hospitali kwa ajili ya uangalizi zaidi.

 

5. Pamoja na kutibu fangasi za sehemu mbalimbali Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hizi ni pamoja na wale wenye allergy na dawa hii pamoja na wale wote ambao Wana matatizo ya inni hawapaswi kutumia dawa za Flucanozole zinaweza kuleta madhara mengine makubwa ambayo hatutegemei.

 

6. Kwa hiyo tumeweza kujua faida za dawa hii ya Flucanozole kwa hiyo tunapaswa kuvitumia kwa kufuata maelekezo ya daktari na kuweza kuitumia bila shida kwa hiyo hii dawa ni nzuri na imewapinuesha watu wengi ambao wameitumia kwa wingi na wamepatwa matokeo mazuri ya afya zao kwa hiyo dawa hii hakipaswi kutumiwa na watu wenye matatizo ya inni na wenye allergy.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 6573

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha

Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
  Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa za mapunye
Dawa za mapunye

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za maounye

Soma Zaidi...
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo
Tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu UTI
Dawa ya kutibu UTI

Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.

Soma Zaidi...