picha

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Ijue fluconazole kama dawa ya kutibu fangasi.

1. Flucanozole ni Mojawapo ya dawa ya fangasi ambayo IPO kwenye kundi la Azole na dawa nyingine ambazo ziko kwenye kundi hili ni kama vile ketaconazole miconazole na clotrimazole. Dawa hizi usaidia kutibu fangasi mbalimbali kwenye mwili na kuifanya mwili uwe kwenye hali ya kawaida.

 

2. Dawa hii ya Flucanozole ufanya kazi kwa kupambana na enzyme ya fangasi ambaye anasababisha fangasi, kwa kuizidi nguvu enzyme ya fangasi dawa uweza kuua yule mduu anayesababisha maambukizi na kuufanya mwili kuwa kawaida kwa kupambana na enzyme ya fangasi anayesababisha maambukizi.

 

3. Flucanozole usaidia kutibu fangasi za kwenye  oesophagus, fangasi za kwenye Koo na fangasi za kwenye sehemu za Siri hasa kwa wanawake utibu candidiasis kwa kutumia dawa hii ya Flucanozole fangasi zote uisha na mtu urudis kwenye hali ya kawaida na kuendelea na shughuli mbalimbali.

 

4. Matokeo ya kutumia dawa hii ya Flucanozole ni pamoja na  kutapika, kuharisha, maupele kwenye mwili wa binadamu hizi dalili zikitokea kwa mtu hasiogope Bali aendelee kumeza hizi dawa na kuna mda haya matokeo yataisha au kama hali itakuwa mamba mgonjwa inabidi apelekwe hospitali kwa ajili ya uangalizi zaidi.

 

5. Pamoja na kutibu fangasi za sehemu mbalimbali Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hizi ni pamoja na wale wenye allergy na dawa hii pamoja na wale wote ambao Wana matatizo ya inni hawapaswi kutumia dawa za Flucanozole zinaweza kuleta madhara mengine makubwa ambayo hatutegemei.

 

6. Kwa hiyo tumeweza kujua faida za dawa hii ya Flucanozole kwa hiyo tunapaswa kuvitumia kwa kufuata maelekezo ya daktari na kuweza kuitumia bila shida kwa hiyo hii dawa ni nzuri na imewapinuesha watu wengi ambao wameitumia kwa wingi na wamepatwa matokeo mazuri ya afya zao kwa hiyo dawa hii hakipaswi kutumiwa na watu wenye matatizo ya inni na wenye allergy.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/16/Thursday - 11:46:00 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 7633

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 web hosting    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Ijue Dawa ya lignocaine

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya marcolides dawa ya kuuwa bakteria, kwenye mfumo wa hewa

Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)

Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?

Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi

Soma Zaidi...
Fahamu antibiotics ya asili.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.

Soma Zaidi...