Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Ijue fluconazole kama dawa ya kutibu fangasi.

1. Flucanozole ni Mojawapo ya dawa ya fangasi ambayo IPO kwenye kundi la Azole na dawa nyingine ambazo ziko kwenye kundi hili ni kama vile ketaconazole miconazole na clotrimazole. Dawa hizi usaidia kutibu fangasi mbalimbali kwenye mwili na kuifanya mwili uwe kwenye hali ya kawaida.

 

2. Dawa hii ya Flucanozole ufanya kazi kwa kupambana na enzyme ya fangasi ambaye anasababisha fangasi, kwa kuizidi nguvu enzyme ya fangasi dawa uweza kuua yule mduu anayesababisha maambukizi na kuufanya mwili kuwa kawaida kwa kupambana na enzyme ya fangasi anayesababisha maambukizi.

 

3. Flucanozole usaidia kutibu fangasi za kwenye  oesophagus, fangasi za kwenye Koo na fangasi za kwenye sehemu za Siri hasa kwa wanawake utibu candidiasis kwa kutumia dawa hii ya Flucanozole fangasi zote uisha na mtu urudis kwenye hali ya kawaida na kuendelea na shughuli mbalimbali.

 

4. Matokeo ya kutumia dawa hii ya Flucanozole ni pamoja na  kutapika, kuharisha, maupele kwenye mwili wa binadamu hizi dalili zikitokea kwa mtu hasiogope Bali aendelee kumeza hizi dawa na kuna mda haya matokeo yataisha au kama hali itakuwa mamba mgonjwa inabidi apelekwe hospitali kwa ajili ya uangalizi zaidi.

 

5. Pamoja na kutibu fangasi za sehemu mbalimbali Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hizi ni pamoja na wale wenye allergy na dawa hii pamoja na wale wote ambao Wana matatizo ya inni hawapaswi kutumia dawa za Flucanozole zinaweza kuleta madhara mengine makubwa ambayo hatutegemei.

 

6. Kwa hiyo tumeweza kujua faida za dawa hii ya Flucanozole kwa hiyo tunapaswa kuvitumia kwa kufuata maelekezo ya daktari na kuweza kuitumia bila shida kwa hiyo hii dawa ni nzuri na imewapinuesha watu wengi ambao wameitumia kwa wingi na wamepatwa matokeo mazuri ya afya zao kwa hiyo dawa hii hakipaswi kutumiwa na watu wenye matatizo ya inni na wenye allergy.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 6909

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa za fangasi ukeni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...
Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Faida za vidonge vya zamiconal

Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu minyoo

Zijuwe aina za minyoo na tiba yake. Dawa 5 za kutibu minyoo ya aina zote

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu maumivu ya jino

Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.

Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik

Soma Zaidi...