Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Kazi ya quinine Katika kutibu Malaria.

1.quinine ni dawa inayotumiwa kutibu malaria dawa hii utumika kutibu Malaria ikiwa mgonjwa vametumia dawa nyingine lakini hakufanikiwa kupona kwa hiyo dawa hii utumika kwa wagonjwa wa Aina hii, kwa hiyo ni dawa yenye nguvu kwa namna Moja au nyingine na inapotumika hutumiwa kwa tahadhari na kwa  uangalifu.

 

2. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na kwenye mfumo wa Maji maji ambapo dawa ambayo Iko kwenye mfumo wa Maji maji huweza kutumika kwa mgonjwa kwa kuchanganya kwenye drip kwa kipimo fulani na kwa uangalifu mkubwa, ikiwa quinine haijachanganywa na maji na mtu akitumia kupitia kwenye mishipa mgonjwa anaweza kupoteza maisha kwa hiyo dawa hii inabidi kutumiwa kwa uangalifu sana na kwa mtu anayeitoa uhakikisha kuwa inaenda vizuri, hii dawa uangaliwa kwa makini kwa Sababu Ina Tabia ya kumaliza sukari mwilini.

 

3.Dawa hii pia huwa na matokea au maudhi ambayo uweza kutokea kama vile kutapika kwa mgonjwa pale anapokuwa anatumia dawa, kizunguzungu utokea kwa kwa wagonjwa wakati mwingine mgonjwa uziba masikio kwa sababu ya dawa zile anazozitumia na pengine mgonjwa uona shida katika kuona kwa sababu hiyo anaanza kuhangaika wakati wa kuona , na kwa wagonjwa wengine wanashindwa kutulia kwenye sehemu Moja uhangaika sana kwa sababu ya maumivu wanayopata kutokana na dawa hii ya maumivu  kwa hiyo tuwe makini katika kuwahudumia.

 

4.kwa hiyo dawa hii ya quinine Ina nguvu sana haipaswi kutumiwa na watu ambao hawana shida maalumu kama vile allergies kwa dawa nyingine za malaria wanapaswa kutumia wale tu ambao wameitumia dawa nyingine za malaria na hawakupata nafuu na katika kutumia dawa nyingine za malaria kwa hiyo tunapaswa kuwa waangalifu katika kutumia dawa hii ya quinine  na watu wale wanaopungukiwa sukari mara kwa mara hawapaswi kutumia dawa hii au wakitumia waitumie kwa uangalifu mkubwa sana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 2022

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.

Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali,

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Njia zinazotumika Ili kumpatia mgonjwa dawa

Posti hii inahusu zaidi njia kuu nne ambazo utumika kumpatia mgonjwa dawa, Ili kumpatia mgonjwa dawa Kuna njia za kutumia kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.

Soma Zaidi...
Dawa ya vidonda vya tumbo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...