Fahamu tiba ya jino


image


Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo utolewa na jino haliwezi kuuma , kufa ganzi au kutoboka kwa hiyo ifuatavyo ni tiba ya jino.


Fahamu tiba muhimu ya jino.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu mahitaji muhimu kwenye tiba yetu hii ya jino ndipo tutaweza kuendelea kutumia tiba hii .

 

2. Chukua mdalasini utwange vizuri mpaka uwe unga Kuna wengine wanaanika na wanaamua kutengeneza unga, chukua unga huu vijiko kama vitani hivi na uvitenge.

 

3. Pia chukua karafuu zisage vizuri na uhakikishe kuwa zimekuwa na unga wa kutosha na andaa vijiko vitano vya chai.

 

4. Pia andaa pilipili na sio kila aina ya pilipili inafaa kwa kutumia cha msingi unapaswa kutumia pilipili manga, zichume zikaushe vizuri na saga Ili kupata unga wa kutosha ila Kuna wengine huwa wanasaga pia wanaanika  vizuri pia wanatoa unga wa kutosha na hivyo pima vijiko viwili vya chai.

 

5. Vile vile tumia asali mbichi kiasi cha robo Lita .

Baada ya kuchukua unga wa mdalasini,unnga wa karafuu, unga wa pili pili manga na asali mbichi changanya kwa pamoja na viweke sehemu nzuri kwa ajili ya matumizi.

 

6. Pamoja na kupata tiba ya namna hii ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba unatumia kwa uaminifu na pia matumizi ya dawa hii sio kwamba unapaswa kuacha ushauri wa daktari hapana ni vizuri kabisa kutumia ushauri wa daktari kama jino limekuwa na matatizo zaidi kwa sababu Kuna wakati mwingine watu wanaachia kufuata mashart ya daktari kwa kutumia dawa holela holela. Kwa hiyo Ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ni muhimu kabisa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo. Soma Zaidi...

image Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini. Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu. Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya antroextra
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya marcolides dawa ya kuuwa bakteria, kwenye mfumo wa hewa
Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo wa hewa. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo. Soma Zaidi...