Menu



Fahamu tiba ya jino

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo

Fahamu tiba muhimu ya jino.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu mahitaji muhimu kwenye tiba yetu hii ya jino ndipo tutaweza kuendelea kutumia tiba hii .

 

2. Chukua mdalasini utwange vizuri mpaka uwe unga Kuna wengine wanaanika na wanaamua kutengeneza unga, chukua unga huu vijiko kama vitani hivi na uvitenge.

 

3. Pia chukua karafuu zisage vizuri na uhakikishe kuwa zimekuwa na unga wa kutosha na andaa vijiko vitano vya chai.

 

4. Pia andaa pilipili na sio kila aina ya pilipili inafaa kwa kutumia cha msingi unapaswa kutumia pilipili manga, zichume zikaushe vizuri na saga Ili kupata unga wa kutosha ila Kuna wengine huwa wanasaga pia wanaanika  vizuri pia wanatoa unga wa kutosha na hivyo pima vijiko viwili vya chai.

 

5. Vile vile tumia asali mbichi kiasi cha robo Lita .

Baada ya kuchukua unga wa mdalasini,unnga wa karafuu, unga wa pili pili manga na asali mbichi changanya kwa pamoja na viweke sehemu nzuri kwa ajili ya matumizi.

 

6. Pamoja na kupata tiba ya namna hii ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba unatumia kwa uaminifu na pia matumizi ya dawa hii sio kwamba unapaswa kuacha ushauri wa daktari hapana ni vizuri kabisa kutumia ushauri wa daktari kama jino limekuwa na matatizo zaidi kwa sababu Kuna wakati mwingine watu wanaachia kufuata mashart ya daktari kwa kutumia dawa holela holela. Kwa hiyo Ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ni muhimu kabisa.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1876

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate

Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno

Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Soma Zaidi...