FAHAMU KUHUSU DAWA YA POTASSIUM SPARING


image


Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.


Dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

1. Dawa hii ya potassium sparing ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo,na pia ni mojawapo ya dawa katika kundi la diuretics, dawa hii nayo ufanya Kazi kama dawa nyingine za matibabu ya magonjwa ya moyo ila yenyewe usaidia kudili zaidi na madini ya aina ya potassium ambnayo uongezeka sana mwilini na kusababisha matatizo zaidi hasa kwa wagonjwa wa moyo.

 

2. Kwa matumizi ya dawa hii ya potassium sparing Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji wa dawa na udhi la kwanza ni kukojoa mara kwa mara, kupoteza maji mwilini, kiwango cha sodium kupungua mwilini na vile vile kupungua kwa kiwango cha potassium, kushuka kwa presha, kizunguzungu na kukosa nguvu, ngozi kukauka na kuwepo kwa upele kwenye ngozi, na pia dawa hizi zina tabia ya kuleta matokeo mbalimbali kwa wanaume ambayo ni pamoja na.

 

3. Matiti kuvimba kwa wanaume hasa kwa watumiaji wa mda mrefu, na pengine sio kuvimba tu inawezekana mwanaume akawa na matiti kabisa, vile vile kwa wanaume walio wengi upatiwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au kukosa hamu ya tendo la ndoa,hasa hasa wanaume wanaopatwa na matatizo kama hayo ni wale watumiaji wa dawa ya spirolactone ambayo imo ndani ya  potassium sparing ndio maana dawa hii huitwa potassium sparing diuretics- spirolactone, kwa hiyo spirolactone ndiyo unaleta shida kwa wanaume.

 

4. Kwa hiyo dwa hii inawezekana kabisa kutumiwa na watu mbalimbali kadri ya wataalamu wa afya ila umakini unahitajika kwa wenye presha ya kushuka, watu wenye tatizo la upungufu wa madini mwilini,na wale ambao Wana matatizo kwenye Figo, kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu dawa zinazopunguza maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili
Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa. Soma Zaidi...

image Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.
Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulikana sana kutibu maumivu ya kichwa, lakini pia inaweza kutumika kwa maumivu ya misuli, homa, mgongo, meno na hata maumivu ya mifupa (arthritis). Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida Soma Zaidi...

image Fahamu matumizi ya Ampicillin.
Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampicillin ni kiuavijasumu chenye ufanisi mkubwa, na ni mojawapo ya dawa zinazopendekezwa na madaktari. Soma Zaidi...

image Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake. Soma Zaidi...

image Namna ya kutumia tiba ya jino.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine
Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema Soma Zaidi...