Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
1. Dawa hii ya potassium sparing ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo,na pia ni mojawapo ya dawa katika kundi la diuretics, dawa hii nayo ufanya Kazi kama dawa nyingine za matibabu ya magonjwa ya moyo ila yenyewe usaidia kudili zaidi na madini ya aina ya potassium ambnayo uongezeka sana mwilini na kusababisha matatizo zaidi hasa kwa wagonjwa wa moyo.
2. Kwa matumizi ya dawa hii ya potassium sparing Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji wa dawa na udhi la kwanza ni kukojoa mara kwa mara, kupoteza maji mwilini, kiwango cha sodium kupungua mwilini na vile vile kupungua kwa kiwango cha potassium, kushuka kwa presha, kizunguzungu na kukosa nguvu, ngozi kukauka na kuwepo kwa upele kwenye ngozi, na pia dawa hizi zina tabia ya kuleta matokeo mbalimbali kwa wanaume ambayo ni pamoja na.
3. Matiti kuvimba kwa wanaume hasa kwa watumiaji wa mda mrefu, na pengine sio kuvimba tu inawezekana mwanaume akawa na matiti kabisa, vile vile kwa wanaume walio wengi upatiwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au kukosa hamu ya tendo la ndoa,hasa hasa wanaume wanaopatwa na matatizo kama hayo ni wale watumiaji wa dawa ya spirolactone ambayo imo ndani ya potassium sparing ndio maana dawa hii huitwa potassium sparing diuretics- spirolactone, kwa hiyo spirolactone ndiyo unaleta shida kwa wanaume.
4. Kwa hiyo dwa hii inawezekana kabisa kutumiwa na watu mbalimbali kadri ya wataalamu wa afya ila umakini unahitajika kwa wenye presha ya kushuka, watu wenye tatizo la upungufu wa madini mwilini,na wale ambao Wana matatizo kwenye Figo, kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.
Soma Zaidi...