Post hii inahusu zaidi dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Dawa ya potassium sparing katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
1. Dawa hii ya potassium sparing ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo,na pia ni mojawapo ya dawa katika kundi la diuretics, dawa hii nayo ufanya Kazi kama dawa nyingine za matibabu ya magonjwa ya moyo ila yenyewe usaidia kudili zaidi na madini ya aina ya potassium ambnayo uongezeka sana mwilini na kusababisha matatizo zaidi hasa kwa wagonjwa wa moyo.
2. Kwa matumizi ya dawa hii ya potassium sparing Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kwa watumiaji wa dawa na udhi la kwanza ni kukojoa mara kwa mara, kupoteza maji mwilini, kiwango cha sodium kupungua mwilini na vile vile kupungua kwa kiwango cha potassium, kushuka kwa presha, kizunguzungu na kukosa nguvu, ngozi kukauka na kuwepo kwa upele kwenye ngozi, na pia dawa hizi zina tabia ya kuleta matokeo mbalimbali kwa wanaume ambayo ni pamoja na.
3. Matiti kuvimba kwa wanaume hasa kwa watumiaji wa mda mrefu, na pengine sio kuvimba tu inawezekana mwanaume akawa na matiti kabisa, vile vile kwa wanaume walio wengi upatiwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au kukosa hamu ya tendo la ndoa,hasa hasa wanaume wanaopatwa na matatizo kama hayo ni wale watumiaji wa dawa ya spirolactone ambayo imo ndani ya potassium sparing ndio maana dawa hii huitwa potassium sparing diuretics- spirolactone, kwa hiyo spirolactone ndiyo unaleta shida kwa wanaume.
4. Kwa hiyo dwa hii inawezekana kabisa kutumiwa na watu mbalimbali kadri ya wataalamu wa afya ila umakini unahitajika kwa wenye presha ya kushuka, watu wenye tatizo la upungufu wa madini mwilini,na wale ambao Wana matatizo kwenye Figo, kwa hiyo dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa zinazofanya kazi ya kupunguza maumivu kwa kawaida dawa hizi ufanya kazi kwa kupitia kwenye mfumo wa fahamu.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Soma Zaidi...Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
Soma Zaidi...