image

Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Fahamu dawa za cough seppessants nasal decongestant kwa kupamba na mafua.

1. Dawa ya cough seppessants ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia katika matibabu ya mafua dawa hii huwa na mchanganyiko wa vitu mbalimbali na dawa nyingine ambazo ni codeine pamoja ,pholcodone na dextromethirohani, kwa upande wa codeine ni dawa nzuri ila I'ma tatizo la kusababisha choo kuwa kigumu, lakini kwa upande wa dextromethirohan na pholcodone usaidia kutibu mafua ila huwa na taizo la kuleta homa kwa watumiaji wa dawa hizo wakati wakiwa kwenye matibabu.

 

2. Kwa matumizi ya dawa hizi za cough seppessants ambayo Ina codeine na dawa nyingine za maumivu haipaswi kutumika kwa chini ya mwaka mmoja, labda kama dawa hizi za cough seppessants hazina cidein na dawa zozote za maumivu watoto wa chini ya mwaka mmoja wanapaswa kutumia. Pia daq hii ya cough seppessants Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni choo kuwa kigumu kwa kitaamu huiitwa conspitation, kuwepo kwa homa hasa kama dawa hii ya cough seppessants Ina dextromethiron na pholcodine.

 

3. Vile vile dawa hii inaweza kuleta kizunguzungu kwa watumiaji, kwa hiyo kwa watumiaji baada ya kuona maudhi madogo madogo kama haya wanapaswa kujua kwamba ni sababu ya matumizi ya dawa na pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali isipokuwa watoto chini ya mwaka mmoja kama dawa hii ya cough seppessants Ina  mchanganyiko wa dawa ya codeine na dawa za kutuliza maumivu za aina ya opioid Analegesuc kwa kitaamu ndiyo aina hizo za kutuliza maumivu zinavyoutwa , kwa hiyo inatakiwa umakini hasa kwa watoto chini ya mwaka mmoja Ili kuepuka madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea. Na pia wenye aleji ya dawa hii na wenyewe hawapaswi kutumia.

 

4. Vile dawa ya nasal decongestant inasaidia sana katika matibabu ya mafua dawa hii Ina mchanganyiko wa dawa mbalimbali kama vile aromatics inhalation ni dawa ambayo Ina vitu kama mafuta kwa kitaamu huiitwa eucalyptus oil ambapo dawa hii utumia kwa kupuliza sehemu mbalimbali za kwenye pia na pia kama zimebanwa na mafua uweza kuachia na kuwa kawaida tu.

 

5. Vile vile dawa hii ya nasal congestion Ina ania ya dawa kwa kitaamu huiitwa pseudoephedrine ambayo uweza kutumika na kuzuia mafua dawa hiyo Ina dozi mbalimbali yaani kwa watoto na watu wazima, kwa upande wa watu wazima dawa hiyo Ina milligrams sitini na utumiwa mara tatu mpaka nne kwa siku na kwa watoto kuanzia miaka miwili mpaka sita utumia milligrams kumi na tano na matumizi ni kama watu wazima yaani mara tatu mpaka nne kwa siku moja.na wakati mwingine matumizi utegemea hali ya mgonjwa yanaweza kupungua au kuongezeka.

 

6. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile mapigo ya moyo kuongezeka, kuwepo kwa wasi wasi, kutotulia sehemu Moja, kuwa na mawazo mbalimbali, kuwepo kwa maupeke kwenye mwili, na pia mkojo kushindwa kutoka, baada ya kukuona dalili kama hizi ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.

 

7. Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya Kuna wakati mwingine Kuna watu hawapaswi kutumia na wengine wanapaswa kuitumia. Kwa hiyo kuja kutumia ni vizuri kutumia dawa mgonjwa akiwa hospital. Pia kwa upande wa watoto ni vizuri kwa sababu wengine dawa hii uwafanya kuwa na usingizi na pia kwa wale walio na magonjwa ya akili hasa yanayoleta usingizi ni vizuri kuwapatia dawa hii kwa kipimo na kwa uangalizi kwa sababu dawa hii inaleta usingizi.

 

8. Vile vile kwa wagonjwa wanaotumia dawa za diazepam, phenobarbitone na phynytoin wanapaswa kutumia dawa hii kwa uangalizi maalumu au kupunguziwa kiasi kwa sababu na dawa hizi zina tabia ya kuleta usingizi. Kwa hiyo kama mgonjwa ana dawa nyingine za kifafa na akija kutumia dawa za mfua anapaswa kuwaona wataalamu wa afya au atumie kwa uangalizi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 972


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.
Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.
Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo. Soma Zaidi...

Tiba mbadala za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Ifahamu dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi. Soma Zaidi...

Dawa za kutibu kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...

Dawa za fangasi ukeni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni Soma Zaidi...

Dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho Soma Zaidi...

Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo. Soma Zaidi...

Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi Soma Zaidi...