picha

Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Fahamu dawa za cough seppessants nasal decongestant kwa kupamba na mafua.

1. Dawa ya cough seppessants ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia katika matibabu ya mafua dawa hii huwa na mchanganyiko wa vitu mbalimbali na dawa nyingine ambazo ni codeine pamoja ,pholcodone na dextromethirohani, kwa upande wa codeine ni dawa nzuri ila I'ma tatizo la kusababisha choo kuwa kigumu, lakini kwa upande wa dextromethirohan na pholcodone usaidia kutibu mafua ila huwa na taizo la kuleta homa kwa watumiaji wa dawa hizo wakati wakiwa kwenye matibabu.

 

2. Kwa matumizi ya dawa hizi za cough seppessants ambayo Ina codeine na dawa nyingine za maumivu haipaswi kutumika kwa chini ya mwaka mmoja, labda kama dawa hizi za cough seppessants hazina cidein na dawa zozote za maumivu watoto wa chini ya mwaka mmoja wanapaswa kutumia. Pia daq hii ya cough seppessants Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni choo kuwa kigumu kwa kitaamu huiitwa conspitation, kuwepo kwa homa hasa kama dawa hii ya cough seppessants Ina dextromethiron na pholcodine.

 

3. Vile vile dawa hii inaweza kuleta kizunguzungu kwa watumiaji, kwa hiyo kwa watumiaji baada ya kuona maudhi madogo madogo kama haya wanapaswa kujua kwamba ni sababu ya matumizi ya dawa na pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali isipokuwa watoto chini ya mwaka mmoja kama dawa hii ya cough seppessants Ina  mchanganyiko wa dawa ya codeine na dawa za kutuliza maumivu za aina ya opioid Analegesuc kwa kitaamu ndiyo aina hizo za kutuliza maumivu zinavyoutwa , kwa hiyo inatakiwa umakini hasa kwa watoto chini ya mwaka mmoja Ili kuepuka madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea. Na pia wenye aleji ya dawa hii na wenyewe hawapaswi kutumia.

 

4. Vile dawa ya nasal decongestant inasaidia sana katika matibabu ya mafua dawa hii Ina mchanganyiko wa dawa mbalimbali kama vile aromatics inhalation ni dawa ambayo Ina vitu kama mafuta kwa kitaamu huiitwa eucalyptus oil ambapo dawa hii utumia kwa kupuliza sehemu mbalimbali za kwenye pia na pia kama zimebanwa na mafua uweza kuachia na kuwa kawaida tu.

 

5. Vile vile dawa hii ya nasal congestion Ina ania ya dawa kwa kitaamu huiitwa pseudoephedrine ambayo uweza kutumika na kuzuia mafua dawa hiyo Ina dozi mbalimbali yaani kwa watoto na watu wazima, kwa upande wa watu wazima dawa hiyo Ina milligrams sitini na utumiwa mara tatu mpaka nne kwa siku na kwa watoto kuanzia miaka miwili mpaka sita utumia milligrams kumi na tano na matumizi ni kama watu wazima yaani mara tatu mpaka nne kwa siku moja.na wakati mwingine matumizi utegemea hali ya mgonjwa yanaweza kupungua au kuongezeka.

 

6. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile mapigo ya moyo kuongezeka, kuwepo kwa wasi wasi, kutotulia sehemu Moja, kuwa na mawazo mbalimbali, kuwepo kwa maupeke kwenye mwili, na pia mkojo kushindwa kutoka, baada ya kukuona dalili kama hizi ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.

 

7. Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya Kuna wakati mwingine Kuna watu hawapaswi kutumia na wengine wanapaswa kuitumia. Kwa hiyo kuja kutumia ni vizuri kutumia dawa mgonjwa akiwa hospital. Pia kwa upande wa watoto ni vizuri kwa sababu wengine dawa hii uwafanya kuwa na usingizi na pia kwa wale walio na magonjwa ya akili hasa yanayoleta usingizi ni vizuri kuwapatia dawa hii kwa kipimo na kwa uangalizi kwa sababu dawa hii inaleta usingizi.

 

8. Vile vile kwa wagonjwa wanaotumia dawa za diazepam, phenobarbitone na phynytoin wanapaswa kutumia dawa hii kwa uangalizi maalumu au kupunguziwa kiasi kwa sababu na dawa hizi zina tabia ya kuleta usingizi. Kwa hiyo kama mgonjwa ana dawa nyingine za kifafa na akija kutumia dawa za mfua anapaswa kuwaona wataalamu wa afya au atumie kwa uangalizi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/12/29/Thursday - 06:34:26 pm Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3401

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 ai web app    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Soma Zaidi...
Dawa na matibabu ya presha ya kushuka

Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Ampicillin.

Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampici

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.

Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.

Soma Zaidi...
Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?

Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.

Soma Zaidi...