Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.
1. Dawa ya cough seppessants ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia katika matibabu ya mafua dawa hii huwa na mchanganyiko wa vitu mbalimbali na dawa nyingine ambazo ni codeine pamoja ,pholcodone na dextromethirohani, kwa upande wa codeine ni dawa nzuri ila I'ma tatizo la kusababisha choo kuwa kigumu, lakini kwa upande wa dextromethirohan na pholcodone usaidia kutibu mafua ila huwa na taizo la kuleta homa kwa watumiaji wa dawa hizo wakati wakiwa kwenye matibabu.
2. Kwa matumizi ya dawa hizi za cough seppessants ambayo Ina codeine na dawa nyingine za maumivu haipaswi kutumika kwa chini ya mwaka mmoja, labda kama dawa hizi za cough seppessants hazina cidein na dawa zozote za maumivu watoto wa chini ya mwaka mmoja wanapaswa kutumia. Pia daq hii ya cough seppessants Ina maudhi madogo madogo kwa watumiaji ambayo ni choo kuwa kigumu kwa kitaamu huiitwa conspitation, kuwepo kwa homa hasa kama dawa hii ya cough seppessants Ina dextromethiron na pholcodine.
3. Vile vile dawa hii inaweza kuleta kizunguzungu kwa watumiaji, kwa hiyo kwa watumiaji baada ya kuona maudhi madogo madogo kama haya wanapaswa kujua kwamba ni sababu ya matumizi ya dawa na pia dawa hii utumiwa na watu mbalimbali isipokuwa watoto chini ya mwaka mmoja kama dawa hii ya cough seppessants Ina mchanganyiko wa dawa ya codeine na dawa za kutuliza maumivu za aina ya opioid Analegesuc kwa kitaamu ndiyo aina hizo za kutuliza maumivu zinavyoutwa , kwa hiyo inatakiwa umakini hasa kwa watoto chini ya mwaka mmoja Ili kuepuka madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea. Na pia wenye aleji ya dawa hii na wenyewe hawapaswi kutumia.
4. Vile dawa ya nasal decongestant inasaidia sana katika matibabu ya mafua dawa hii Ina mchanganyiko wa dawa mbalimbali kama vile aromatics inhalation ni dawa ambayo Ina vitu kama mafuta kwa kitaamu huiitwa eucalyptus oil ambapo dawa hii utumia kwa kupuliza sehemu mbalimbali za kwenye pia na pia kama zimebanwa na mafua uweza kuachia na kuwa kawaida tu.
5. Vile vile dawa hii ya nasal congestion Ina ania ya dawa kwa kitaamu huiitwa pseudoephedrine ambayo uweza kutumika na kuzuia mafua dawa hiyo Ina dozi mbalimbali yaani kwa watoto na watu wazima, kwa upande wa watu wazima dawa hiyo Ina milligrams sitini na utumiwa mara tatu mpaka nne kwa siku na kwa watoto kuanzia miaka miwili mpaka sita utumia milligrams kumi na tano na matumizi ni kama watu wazima yaani mara tatu mpaka nne kwa siku moja.na wakati mwingine matumizi utegemea hali ya mgonjwa yanaweza kupungua au kuongezeka.
6. Vile vile dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile mapigo ya moyo kuongezeka, kuwepo kwa wasi wasi, kutotulia sehemu Moja, kuwa na mawazo mbalimbali, kuwepo kwa maupeke kwenye mwili, na pia mkojo kushindwa kutoka, baada ya kukuona dalili kama hizi ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.
7. Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya Kuna wakati mwingine Kuna watu hawapaswi kutumia na wengine wanapaswa kuitumia. Kwa hiyo kuja kutumia ni vizuri kutumia dawa mgonjwa akiwa hospital. Pia kwa upande wa watoto ni vizuri kwa sababu wengine dawa hii uwafanya kuwa na usingizi na pia kwa wale walio na magonjwa ya akili hasa yanayoleta usingizi ni vizuri kuwapatia dawa hii kwa kipimo na kwa uangalizi kwa sababu dawa hii inaleta usingizi.
8. Vile vile kwa wagonjwa wanaotumia dawa za diazepam, phenobarbitone na phynytoin wanapaswa kutumia dawa hii kwa uangalizi maalumu au kupunguziwa kiasi kwa sababu na dawa hizi zina tabia ya kuleta usingizi. Kwa hiyo kama mgonjwa ana dawa nyingine za kifafa na akija kutumia dawa za mfua anapaswa kuwaona wataalamu wa afya au atumie kwa uangalizi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo tunaweza kupata kifafa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...