picha

Dawa ya Isoniazid na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.

Dawa ya Isoniazid na kazi zake.

1.Dawa ya Isoniazid ni dawa ambayo utumika katika vipindi vyote vya kutibu kifua kikuu yaanza kwenye kipindi cha kwanza na cha pili kwa hiyo dawa hii usaidia kufubaza bakteria ambao wanasababisha kifua kikuu na bakteria ushindwa kukua, dawa hii tunaweza kuikuta kwenye mfumo wa vidonge kwa mara nyingi na kwenye mfumo wa maji maji kwa watoto na pengine inaweza kutolewa kwa njia ya kulishwa kwenye mishipa ya damu au kwenye nyama.

 

2.Katika matumizi ya dawa hii tunapaswa kuwa makini hasa kwa akina Mama wanaotumia njia za uzazi wa mpango kwa sababu hii dawa umaliza nguvu kwa baadhi ya njia za uzazi wa mpango kwa hiyo unaweza kukuta Mama anatumia dawa hizi na njia za uzazi wa mpango akapata mimba kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa hii ni vizuri wakaonana na wataalamu wa afya ili kuchaguliwa njia sahihi na muhimu ambazo haziingilian na dawa hii.

 

3 Katika matumizi ya dawa hii ya Isoniazid kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile matatizo kwenye ini kwa sababu dawa hii upitia kwenye ini, kichefuchefu, kutapika na kuharisha kwa hiyo Mgonjwa akiona dalili za namna hizi anapaswa kujua kuwa ni kwa sababu ya dawa na ikiwa Dalili hizi zimezidi anapaswa kwenda hospitalini ili kuweza kupata ushauri zaidi katika matumizi ya dawa hizi.

 

4.Pia tunaona kuwa dawa hii inafubaza wadudu wanaosababisha ugonjwa wa kifua kikuu na wagonjwa uweza kupona kwa hiyo tunapaswa kuwaleta wagonjwa wetu hospitali ili waweze kupata dawa na kuepukana na hali ya kusambaa kwa ugonjwa huu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine maana ndio Tabia yake kama haujatibiwa uweza kusambaa kwa hiyo jamii inapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu wa kifua kikuu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 3342

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya furosemide.

Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix

Soma Zaidi...
Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...