Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.

Download Post hii hapa

Dawa ya cloxacillin katika kupambana na bakteria ambao utoa enzymes Ili kuzuia kazi ya dawa kufanya kazi vizuri .

 

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba Kuna kundi mojawapo la penicillin ambalo usaidia kuzuia kazi ya bakteria ambao utoa enzymes Ili kuweza kuzuia kazi ya dawa kufanya kazi ipasavyo, hili kundi kwa kitaamu huiitwa penicillin resistance penicillase, kwa hiyo kwenye kundi hili Kuna dawa mojawapo ambayo huitwa cloxacillin, ni dawa ambayo imetengenezwa kwa ajili ya kupambana na bakteria hao .

 

2. Dawa hii ya cloxacillin imo kwenye makundi ya penicillin na pia dawa hii usaidia kutibu au kuzuia kukua kwa bakteria kwenye seli, ambapo Kuna bakteria ambao ukua  na kuzaliana kwenye seli kwa ajili ya kazi hii ya cloxacillin uzuia kukua na kuongezeka kwa bakteria kwenye seli na hivyo usaidia seli kuendelea na kazi zake za kuulinda na kuutunza mwili.

 

3. Vile vile dawa hii ya cloxacillin usaidia katika matibabu ya kwenye Koo , na pia usaidia kwenye matibabu ya mafua na vikohozi kwa ujumla, pia kwenye damu usaidia kuuua kila aina yeyote ya bakteria ambao ufanya kazi ya kuudhuru mwili kwa hiyo ni dawa nzuri kwa maambukizi ya bakteria kwenye damu.

 

4. Pia dawa hii huwa kwenye unga ambapo unga huo uchanganywa na maji rasmi ambayo Kwa kitaamu huiitwa water for injection na pia maji hayo na unga uchanganywa mpaka kuhakikisha hiyo poda haionekani kwa macho ila maji tu yaliyochanganyikana na dawa na pia dozi upewa kutegemea a na umri, kwa mtoto na mtu mzima na uzito pia. Kwa kawaida makasha ya dawa huwa na milligrams tofauti Kuna mengine Yana milligrams mia mbili hamsini na mengine milligrams mia tano zote utolewaa kulingana na wataalamu wa afya.

 

5. Dawa hizo utolewa kwa kupitia kwenye paja au Tako na utolewa kila masaa manane mpaka sita kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya, na pia dawa hizi zinaweza kupitia kwenye damu , za kwenye damu utolewa taratibu na zenyewe utolewa kuanzia masaa manne mpaka matano kadri ya wataalamu wa afya. Vile vile Kuna nyingine uweza kuwa kwenye mfumo wa maji maji na pia kwenye vidonge kwa hiyo zote utolewa  kwa mgonjwa kwa kadri ya uhitaji au tatizo kwa sababu dawa hii utibu magonjwa mengi.

 

6. Dawa hii ya cloxacillin utolewa na watu mbalimbali ila wale  wenye aleji na dawa hii hawapaswi kuitumia, na pia wakati wa kutumia dawa hii umaskini unahitajika kwa sababu dawa Ina tabia ya kupunguza damu kwa hiyo wale wenye tatizo la upungufu wa damu wanapaswa kuitumia kwa taahadhari au kwenye uangalizi maalumu Ili kuweza kuzuia kuwepo kwa tatizo jingine au kusababisha Anaemia.

 

7. Dawa hii ya cloxacillin Ina maudhi madogo madogo wakati wa kutumia na maudhi hayo ni pamoja na kichefuchefu na kutapika, maumivu ya tumbo kuhisi kizunguzungu na wakati mwingine kuishiwa hamu ya kula, kupungukiwa damu, kwa hiyo kwa watumiaji baada ya kuitumia dawa hii mambo kama haya yanaweza kutokea kwa hiyo taahadhari ni muhimu ila hali ikiwa mbaya ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya hasa kwa upande wa upungufu wa damu.

 

8. Pamoja na hayo yote ikumbukwe kwamba dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela ila kinapaswa kuwepo kwa wataalamu wa afya Ili kuweza kuepuka madhara amabayo ya aweza kutokea , kwa sababu ikitumiwa nyumbani na mgonjwa mweye upungufu wa damu na dawa ikaendelea kupunguza damu ,hali inawezekana kuwa mbaya badala ya kutibu tunaleta tatizo juu ya tatizo.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1143

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji
Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia tiba ya jino.
Namna ya kutumia tiba ya jino.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya UTI
Dawa ya UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI

Soma Zaidi...
Dawa ya Panadol au paracetamol katika kutuliza  maumivu
Dawa ya Panadol au paracetamol katika kutuliza maumivu

Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu
Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.

Soma Zaidi...