Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dawa zinazotumika katika matibabu ya kansa.

 

1. Kwa kawaida tunavyofanyami jinsi kansa inavyotokea ni matokeo ya kuzalishwa kwa seli ambazo hazihiitajiki mwilini kwa kawaida, dawa hizi za kansa zimegawanyika katika makundi makuu matano ambayo kwa kitaalamu huitwa, Alkylating,ni kundi la kwanza, kundi la pili kwa kitaalamu huitwa Ant- metabolites, kundi la tatu kwa kitaalamu huitwa cytotoxic antibiotics, kundi la nne kwa kitaalamu huitwa vinca alkaloid na kundi la tano kwa kitaalamu huitwa hormones, makundi haya matano usaidiana katika matibabu ya kansa.

 

2. Kwa kawaida na ugonjwa huu wa kansa nao huwa kwenye makundi makuu manne, au kansa yenyewe utokea kwenye mfumo tofauti tofauti au upitie kwenye ngazi tofauti,kuna kansa ya mwanzoni au inayoanza kwa kitaalamu huitwa stage one, Kuna Kansa inayoendelea kutoka kwa ile inayoanza ambayo kwa kitaalamu huitwa stage two, na kuna kansa inayoendelea kutoka sehemu ya pili ambayo kwa kitaalamu huitwa stage three na kansa ngazi ya mwisho ambayo kwa kitaalamu huitwa stage four, kadri kansa inavyoongezeka na kutibiwa kunakuwa kugumu ,kwenye ngazi ya kwanza na ya pili kupona nakwo kunakuwa rahisi na mgonjwa upona kabisa.

 

 

3.Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu mapema ili kuweza kupona ugonjwa huu kwa sababu ni hatari, kwa hiyo tutaenda kufafanua kidogo kundi moja kwa lingine, kwa upande wa kundi la Alkylating ni kundi ambalo uua seli za kansa kwa kuvamia nuclear ya seli ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na kwa hiyo hakuna kuzaliwa kwa seli nyingine na mgonjwa kama yupo kwenye ngazi ya kwanza na ya pili anaweza kupona na kuendelea na maisha kama kawaida.kwa hiyo kuwahi matibabu ni jambo la msingi.

 

4. Kundi hili ni kundi la pili katika kupambana na kuanza kwa kitaalamu huitwa antimetabolite.

Ni miongoni mwao dawa ambazo usaidia katika matibabu ya kansa dawa hizi ufanya kazi kwa kuingilia nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na kuzuia kuzalishwa kwa wadudu ambao usababisha kuwepo kwa kansa na pia kuzuia kitendo cha kuzaliwa na kuongezeka kwa wadudu wanaosababisha kansa.kwa hiyo kwa kansa kwenye ngazi ya kwanza na ya pili ni rahisi kabisa kupona ila kwa ngazi ya tatu na nne kupona uchukua mda na hali yao kwa namna moja au nyingine uwa sio nzuri.kwa hiyo matibabu ya mapema ni muhimu.

 

5. Kundi lingine la dawa za kupambana na kansa kwa kitaalamu huitwa anti tumor antibiotics au kina jingine ni cytotoxic drug.

 

 Dawa hizi utengenezwa kutokana na vitu au material yaliyotokana na fungi kutoka kwenye udongo,dawa hizi ufanya kazi kwa kuzuia kazi ya nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA isiendelee kuzaliana na pia kuingilia protein ya DNA kwa hiyo kuzaliana na kuongezeka kwa seli ambazo hazihiitajiki kuzuiliwa, kwa hiyo kwa matumizi mazuri ya dawa hizi usaidia kabisa kuangamiza kazi ya DNA ya kuendelea kuzaliana kutoka sehemu moja kwenda nyingine, na kama kuna seli ambazo hazihiitajiki zimeshaanza kuzaliwa kama mgonjwa ataendelea kutumia dawa hizi na seli ambazo hazihiitajiki zitatosha na kuwepo kwa seli za kawaida.

 

6. Dawa nyingine ya kupambana na kansa kwa kitaalamu huitwa vinca alkaloid au antimicrotubule agent.

 

 Microtubules ni sehemu mojawapo ya seli , kwa hiyo dawa hizi ya vinca alkaloid usaidia kuvamia microtubules za seli ambazo hazihiitajiki na pia kuhakikisha kwamba kazi yake yote imeharibika na kwa hiyo seli hizo haziwezi kuendelea na kazi ya kuzaliana kwa sababu ya kudhoofika kwa microtubules,kwa hiyo hata kama seli ambazo hazihiitajiki zimeshakuwa na microtubules wengi kwa matumizi ya dawa hizi za vinca alkaloid mgonjwa anaweza kupata nafuu na kuendelea kuishi hasa kwa wagonjwa walioko kwenye kansa ngazi ya kwanza na ya pili.

 

7. Kundi la mwisho la dawa za kupambana na kansa kwa kitaalamu huitwa hormones,

Kwa kawaida hizi ni homoni ambazo usaidia kupunguza kansa ambayo utegemea homoni, na homoni hiyo ambayo utumika ni steroids homoni,kwa hiyo homoni hiyo inayotumika usaidia kabisa kupunguza makali ya kansa hasa kansa za kwenye matiti na sehemu mbalimbali ambazo utegemea homoni,kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa ya aina hizi kwa sababu kama kansa ipo kwenye hatua ya kwanza na ya pili kupona ni rahisi kwa kutumia homoni kuliko kama kansa iko kwenye stage ya tatu na ya nne.

 

 

 

8.  Pia dawa hizi nazo zina maudhui tofauti tofauti au zina matokeo mbalimbali kama vile kuwepo kwa kiasi kidogo cha seli mwilini kwa sababu katika matumizi ya dawa ili kuua seli ambazo zina maambukizi kuna baadhi ya seli ambazo hazina maambukizi nazo uharibiwa na dawa hali inayosababisha kupungua kwa seli mwilini na tunavyofahamu kabisa kama seli zikipungua na kinga ya mwili upungua pia.

 

9. Kuwepo kwa uchovu kwa sababu dawa ambazo mara nyingi zinatumika zinakuwa na nguvu zaidi, pia kuwepo kwa vidonda kwenye midomo hali huu utokea kwa sababu ya kupungua kwa kinga ya mwili, pia kwa sababu ya dawa mgonjwa anahisi kichefuchefu na kutapika pia, vile vile hamu ya kula kwa mgonjwa upungua kwa hiyo mgonjwa anapaswa kupewa vyakula anavyovipenda yeye na kuhakikisha kwamba anakula na kushiba kwa sababu dawa zinazotumika ni kali mno hata kama hana hamu ya kula anapaswa kulazimishwa.

 

10. Vile vile dawa hizi kwa kawa usababisha hali tofauti kwa mgonjwa Kuna Kipindi mgonjwa anaharisha na wakati mwingine anakuwa na choo kigumu, kwa hiyo uangalizi ni WA lazima kwa Kwa wagonjwa wa Kansa, na pengine mgonjwa uishiwa nywele kichwani hii ni kwa sababu ya dawa hasa wale wanaotumia mionzi katika matibabu,na kwa wakati mwingine mwili wa mgonjwa ubadilika wakati akiwa anatumia dawa, kuwepo kwa viupele kwenye mwili mzima hali hii usababishwa kwa sababu ya kinga ya mwili kupungua.

 

11. Pengine kwa watumiaji wa mda mrefu wa dawa za Kansa mgonjwa anaweza kushindwa kushika mimba na pia kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa,kwa sababu ya mabadiliko ya nevu,

 

12. Kwa hiyo dawa za Kansa Zina nguvu sana kwa watumiaji ni vizuri kabisa wakati wa kutumia wagonjwa wanapaswa kuwa na chakula cha kutosha na pia kuwepo na hali ya kuwatoa moyo na kuwafariji kwa sababu ni ugonjwa unaotisha, ila watu wanapaswa kuwahi matibabu endapo wameona dalili ambazo hazieleweki kwa sababu Kansa ikitibiwa mapema ni rahisi kupona hasa kwenye ngazi ya kwanza na ya pili ila matibabu yakicheleweshwa na kupona ni kwa shida .

 

13. Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela zinapaswa kutumika kadri ya wataalamu wa afya na pia kwenye matibabu wagonjwa wa Kansa wanapaswa kuangaliwa kwa sababu dawa hizi zina nguvu, pia wakati wa kutumia dawa mgonjwa anapaswa kula vyakula mbalimbali na vyenye kujenga mwili Ili kurudisha mwili kwenye hali ya Kawaida,hasa hasa mboga za majani na matunda ni lazima kwa watumiaji wa dawa za Kansa.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 980

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa ya ALU  kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
  Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Ushauri kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
 Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)
Fahamau madhara ya flagyl (Metronidazole)

Flagyl ni nini? Flagyl (metronidazole) ni antibiotic. Inapigana na bakteria katika mwili wako. Flagyl hutumiwa kutibu maambukizo ya bakteria ya uke, tumbo, ngozi, viungo na njia ya upumuaji.

Soma Zaidi...
Dawa za mitishamba za kutibu meno
Dawa za mitishamba za kutibu meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo
Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo

Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto.

Soma Zaidi...
Neno la awali
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...