Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
1.kwa sababu dawa hii utumika katika kutukiza maumivu, Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu mbalimbali,watu hao ni wake wenye matatizo katika ini, matatizo ya Figo na wale waliokunywa pombe hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu haiendani na pombe, pia mtu akiitumia na akatapika ndani ya nusu saa anapaswa kutumia dawa nyingine kama Ile dozi ya kwanza , kwa sababu dawa hiyo inakuwa haijafanya kazi.
2. Matokeo ya dawa hii baada ya kutumia, kwa watumiaji wa dawa hii ya paracetamol wanaweza kupata tatizo la kuharibika kwa ini hasa hasa kwa wale waliokunywa dawa nyingi au wanaotumia dawa hii mara kwa mara, hasa wale akina dada ambao Wana matatizo ya kuumwa tumbo kila mwezi na kila siku wanatumia dawa za Panadol na na wakija kumaliza siku za hedhi wanakuwa wametumia dawa nyingi vipi kwa mwezi watatumia dawa kiasi gani kwa hiyo wako katika hatari ya kupata maambukizi kwenye ini.
3. Dawa hii inawezekana kutumiwa kwa njia ya mdomo kwa sababu ipo kwenye vidonge na pia iko kwenye majimaji ambayo utumiwa na watoto wadogo na sasa hivi zimeletwa paracetamol za kwenye njia ya mishipa nazo pia zinatumika sana kwa watoto na watu wazima wanatumia vidonge.
4. Kwa watumiaji wa dawa kwa njia ya mdomo vidonge hivi huwa na kilogramu sifuri nukta tano mpaka kilogramu moja kwa masaa sita na maximum ni kilogramu nne. Watoto wenye miezi miwili wanatumia milligrams sitini kwa waliomaliza chanjo na yenyewe inatumika kwa masaa sita.
5. Na pia watoto kuanzia miezi mitatu mpaka mwaka mmoja wanatumia milligrams kuanzia sitini mpaka mia moja ishirini, miaka mmoja mpaka miaka mitano utumia milligrams kuanzia mia ishirini mpaka mia mbili hamsini, miaka sita mpaka kumi na mbili utumia miligramu kuanzia mia mbili hamsini mpaka mia tano dozi zote hizi zinabidi kutumiwa kuanzia masaa manne mpaka masaa sita. Pia kwa upande wa syrup inabidi kutikisa kabla ya kutumia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
Soma Zaidi...hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...