Menu



Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Fahamu kuhusu homoni katika kupambana na kansa.

1. Katika kupambana na kansa kuna aina mbalimbali za homoni ambazo ni kama dawa ya kupambana na ugonjwa huu wa kansa homoni hizo ni kama progesterone, steroids,na oestrogen kila homoni huwa na kazi tofauti tofauti katika kupambana na kansa.

 

2. Steroids homoni,

Kwa upande wa homoni hizi katika kupambana na kansa inazuia kukua na kuongezeka kwa seli ambazo hazihiitajiki kuendelea kusababisha kansa na kuhakikisha hali inaendelea vizuri kwa waliowahi matibabu.

 

3. Aina nyingine ya homoni ni progesterone homoni, hii ni aina ya homoni ambayo usaidia kuzuia kansa ya kwenye matiti, pia na homoni hizi huwa na dawa mbalimbali kama vile Tamoxifen ambayo ni dawa ndani ya progesterone homoni kwa kawaida uzuia kansa ya matiti ambayo utegemea homoni ya kawaida ya progesterone.

 

4. Pia kuna oestrogen homoni na yenyewe ni mojawapo ya dawa kwenye mapambano ya kansa ni dawa inayosaidia kutibu kansa ya tezi dume kwa wale waliowahi kupata matibabu. Na pia kwenye homoni huu kuna dawa ndani yake ambayo kwa kitaalamu huitwa ethinyloestradol ambayo usaidia sana kwa wagonjwa wa tezi dume.

 

5. Kama dawa nyingine za kansa vile na homoni nazo zina maudhi madogo madogo kama vile vidonda kwenye midomo, nywele kunyonyoka, viupele na upungufu wa seli.kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 957

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.

Soma Zaidi...
Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Soma Zaidi...
Fahamu kazi ya dawa ya ampicillin inayopambana na maambukizi ya bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?

Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB

Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.

Soma Zaidi...