picha

Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.

Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.

Fahamu kuhusu homoni katika kupambana na kansa.

1. Katika kupambana na kansa kuna aina mbalimbali za homoni ambazo ni kama dawa ya kupambana na ugonjwa huu wa kansa homoni hizo ni kama progesterone, steroids,na oestrogen kila homoni huwa na kazi tofauti tofauti katika kupambana na kansa.

 

2. Steroids homoni,

Kwa upande wa homoni hizi katika kupambana na kansa inazuia kukua na kuongezeka kwa seli ambazo hazihiitajiki kuendelea kusababisha kansa na kuhakikisha hali inaendelea vizuri kwa waliowahi matibabu.

 

3. Aina nyingine ya homoni ni progesterone homoni, hii ni aina ya homoni ambayo usaidia kuzuia kansa ya kwenye matiti, pia na homoni hizi huwa na dawa mbalimbali kama vile Tamoxifen ambayo ni dawa ndani ya progesterone homoni kwa kawaida uzuia kansa ya matiti ambayo utegemea homoni ya kawaida ya progesterone.

 

4. Pia kuna oestrogen homoni na yenyewe ni mojawapo ya dawa kwenye mapambano ya kansa ni dawa inayosaidia kutibu kansa ya tezi dume kwa wale waliowahi kupata matibabu. Na pia kwenye homoni huu kuna dawa ndani yake ambayo kwa kitaalamu huitwa ethinyloestradol ambayo usaidia sana kwa wagonjwa wa tezi dume.

 

5. Kama dawa nyingine za kansa vile na homoni nazo zina maudhi madogo madogo kama vile vidonda kwenye midomo, nywele kunyonyoka, viupele na upungufu wa seli.kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 1690

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.

Soma Zaidi...
Ushauri kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya jino

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu macho

Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...