Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.
Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Fahamu kuhusu homoni katika kupambana na kansa.
1. Katika kupambana na kansa kuna aina mbalimbali za homoni ambazo ni kama dawa ya kupambana na ugonjwa huu wa kansa homoni hizo ni kama progesterone, steroids,na oestrogen kila homoni huwa na kazi tofauti tofauti katika kupambana na kansa.
2. Steroids homoni,
Kwa upande wa homoni hizi katika kupambana na kansa inazuia kukua na kuongezeka kwa seli ambazo hazihiitajiki kuendelea kusababisha kansa na kuhakikisha hali inaendelea vizuri kwa waliowahi matibabu.
3. Aina nyingine ya homoni ni progesterone homoni, hii ni aina ya homoni ambayo usaidia kuzuia kansa ya kwenye matiti, pia na homoni hizi huwa na dawa mbalimbali kama vile Tamoxifen ambayo ni dawa ndani ya progesterone homoni kwa kawaida uzuia kansa ya matiti ambayo utegemea homoni ya kawaida ya progesterone.
4. Pia kuna oestrogen homoni na yenyewe ni mojawapo ya dawa kwenye mapambano ya kansa ni dawa inayosaidia kutibu kansa ya tezi dume kwa wale waliowahi kupata matibabu. Na pia kwenye homoni huu kuna dawa ndani yake ambayo kwa kitaalamu huitwa ethinyloestradol ambayo usaidia sana kwa wagonjwa wa tezi dume.
5. Kama dawa nyingine za kansa vile na homoni nazo zina maudhi madogo madogo kama vile vidonda kwenye midomo, nywele kunyonyoka, viupele na upungufu wa seli.kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria.
Soma Zaidi...Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)
Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
Soma Zaidi...