Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
1. Katika kupambana na kansa kuna aina mbalimbali za homoni ambazo ni kama dawa ya kupambana na ugonjwa huu wa kansa homoni hizo ni kama progesterone, steroids,na oestrogen kila homoni huwa na kazi tofauti tofauti katika kupambana na kansa.
2. Steroids homoni,
Kwa upande wa homoni hizi katika kupambana na kansa inazuia kukua na kuongezeka kwa seli ambazo hazihiitajiki kuendelea kusababisha kansa na kuhakikisha hali inaendelea vizuri kwa waliowahi matibabu.
3. Aina nyingine ya homoni ni progesterone homoni, hii ni aina ya homoni ambayo usaidia kuzuia kansa ya kwenye matiti, pia na homoni hizi huwa na dawa mbalimbali kama vile Tamoxifen ambayo ni dawa ndani ya progesterone homoni kwa kawaida uzuia kansa ya matiti ambayo utegemea homoni ya kawaida ya progesterone.
4. Pia kuna oestrogen homoni na yenyewe ni mojawapo ya dawa kwenye mapambano ya kansa ni dawa inayosaidia kutibu kansa ya tezi dume kwa wale waliowahi kupata matibabu. Na pia kwenye homoni huu kuna dawa ndani yake ambayo kwa kitaalamu huitwa ethinyloestradol ambayo usaidia sana kwa wagonjwa wa tezi dume.
5. Kama dawa nyingine za kansa vile na homoni nazo zina maudhi madogo madogo kama vile vidonda kwenye midomo, nywele kunyonyoka, viupele na upungufu wa seli.kwa watumiaji wanapaswa kuitumia kwa uangalifu na kwa utaratibu wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka.
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.
Soma Zaidi...Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.
Soma Zaidi...Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
Soma Zaidi...