Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.
1. Aminophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi katika mfumo wa upumuaji kwa matibabu hasa ya asthma na pia kwa watu wenye tabia ya kubanwa na vifua wakati hali ya hewa inapobadilika na matatizo ya upumuaji kwa ujumla pia dawa hii utolewa kwa kupitia kwenye mishipa ya damu Ili kuweza kufanya kazi kwa haraka kwa mgonjwa.
2. Pia kwa mara chache huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia wakati mwingine uweza kutolewa kwa kupitia kwenye matako na paja ila kwa upande wa matako na paja usababisha maupeke na maumivu na pia kwa kupitia kwenye damu utolewa taratibu walau kwa mda wa dakika ishilini au zaidi kidogo.
3. Dawa hii Ina kuwa na milligrams mia mbili hamsini na pia mills kumi na utolewa kwa utaratibu na pia dozi ubadilika kulingana na umri pamoja na Uzito.
4. Dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile kichefuchefu na kutapika, kizunguzungu, mapigo ya moyo kwenda mbio na pia inawezekana kuwepo kwa degedege hasa kwa watoto wadogo na kwa watu wazima ni mara chache sana
5. Iwapo kama Kuna matokeo ya kuwepo kwa degedege ni vizuri kutumia dawa ya diazepam Ili kuweza kutuliza hiyo degedege, kwa hiyo dawa hii inapaswa kueleweka kwamba Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii ni wale wenye aleji na dawa hii na pia kwa wale wenye tatizo la kifafa wanapaswa kuitumia dawa hii kwa uangalizi maalumu na ikibidi wanapaswa kuitumia kwa uangalizi Fulani.
6. Pia dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela au kwa mazoea Bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya Ili kuepuka madhara zaidi ambayo yanaweza kutokea.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.
Soma Zaidi...