Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Fahamu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu kwenye mfumo wa upumuaji.

1. Aminophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi katika mfumo wa upumuaji kwa matibabu hasa ya asthma na pia kwa watu wenye tabia ya kubanwa na vifua wakati hali ya hewa inapobadilika na matatizo ya upumuaji kwa ujumla pia dawa hii utolewa kwa kupitia kwenye mishipa ya damu Ili kuweza kufanya kazi kwa haraka kwa mgonjwa.

 

2. Pia kwa mara chache huwa kwenye mfumo wa vidonge na pia wakati mwingine uweza kutolewa kwa kupitia kwenye matako na paja ila kwa upande wa matako na paja usababisha maupeke na maumivu na pia kwa kupitia kwenye damu utolewa taratibu walau kwa mda wa dakika ishilini au zaidi kidogo.

 

3. Dawa hii Ina kuwa na milligrams mia mbili hamsini na pia mills kumi na utolewa kwa utaratibu na pia dozi ubadilika kulingana na umri pamoja na Uzito.

 

4. Dawa hii huwa na maudhi madogo madogo kama vile kichefuchefu na kutapika, kizunguzungu, mapigo ya moyo kwenda mbio na pia inawezekana kuwepo kwa degedege hasa kwa watoto wadogo na kwa watu wazima ni mara chache sana 

 

 5. Iwapo kama Kuna matokeo ya kuwepo kwa degedege ni vizuri kutumia dawa ya diazepam Ili kuweza kutuliza hiyo degedege, kwa hiyo dawa hii inapaswa kueleweka kwamba Kuna watu ambao hawapaswi kutumia dawa hii ni wale wenye aleji na dawa hii na pia kwa wale wenye tatizo la kifafa wanapaswa kuitumia dawa hii kwa uangalizi maalumu na ikibidi wanapaswa kuitumia kwa uangalizi Fulani.

 

6. Pia dawa hii haipaswi kutumiwa kiholela au kwa mazoea Bali kwa utaratibu wa wataalamu wa afya Ili kuepuka madhara zaidi ambayo yanaweza kutokea.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1802

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Dawa za fangasi ukeni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Dawa inaitwa koflame ukitumia inashida kwa mama mjamzito? Maumivu ya mgongo na nyonga zinasumbua

Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto

Soma Zaidi...
Tiba ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa

Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli.

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...