Navigation Menu



Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu

Post hii inahusu dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu kifua kikuu, kwanza kabisa kabla ya kuanza kufahamu dawa hizo ni vizuri kabisa kufahamu kifua kikuu nini hili kuweza pia kufahamu dawa zake.

Fahamu kuhusu dawa za kifua kikuu.

1. Dawa za kifua kikuu ni dawa ambazo utumika kutibu ugonjwa wa kifua kikuu, kwa kawaida kifua kikuu usababisha na bakteria anayeitwa mycobacterium tuberculosis ambaye uweza kutoka kwa mgonjwa kuingia kwa mtu mzima na kusababisha maambukizi kwa kupitia kwenye hewa,mate,makohozi na mambo kama hayo kwa hiyo ni vizuri kabisa kujihadhari na ugonjwa huu pia na matibabu yake uchukua mda mrefu na pia ugonjwa huu upenda kujirudia mara kwa mara.

 

 

 

 

2. Ugonjwa huu tunaweza kuutambua kupitia njia mbalimbali kama vile kuingia kwenye koo yaani kwa lugha ya kitaalamu ni X-ray, mgonjwa kukohoa zaidi ya wiki mbili, kuwepo kwa homa za mara kwa mara,kutokwa na jasho hasa wakati wa usiku, kukohoa makohozi yaliyochangamyikana na damu(haemoptysis) kupungua uzito kwa ghafla,kuvimba kwa lymph nodes za kwenye makwao, tumbo kujaa maji, kuwepo kwa shida wakati wa kupumua kuvimba kwenye jointi, hizo ni dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kifua kikuu baada ya kuona dalili kama hizi ni vizuri kabisa kwenda hospitali kwa matibabu.

3.Dawa za kifua kikuu zimegawanyika kwenye makundi makuu mawili kuna kundi la kwanza ambapo mgonjwa anaanza kuzitumia kwanza na ndizo zilizopendekezwa na dawa hizi ni kama ifuatavyo.

Dawa hizo ndizo mgonjwa anapaswa kutumia kwa mara ya kwanza ambazo zinakuwa zimechanganywa na dawa zaidi ya moja na ikiwa dawa hizo hazikuweza kufanya kazi mgonjwa anaweza kuhamishiwa kwenye kundi la pili ambalo kwa kitaalamu huitwa second line ila kundi la kwanza huitwa first line.

 

 

 

 

4. Kama mgonjwa ameshindwa kutumia kundi la kwanza anaweza kutumia kundi la pili, kwa nini kundi la kwanza linagoma ? Kwa sababu ya maudhi madogo madogo yanakuwa na nguvu sana na kumsababishia mgonjwa matatizo makubwa zaidi ambayo yanaongeza zaidi ugonjwa. Kwa hiyo kama dawa za kundi la kwanza zimegoma mgonjwa anaweza kutumia dawa zifuatazo kwa ushauri wa daktari.

Pia dawa hizi zinakuwa kwenye mchanganyiko wa  vidonge zaidi ya viwili ambavyo uweza kutengeneza dozi moja ya dawa

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 983


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La Soma Zaidi...

Ni zipi dawa za Vidonda vya tumbo?
Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu maumivu ya jino
Utaijuwa Dawa ya maumivu ya jino, sababu za maumivu ya jino na njia za kujikinga na maumivu ya jino Soma Zaidi...

Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin
Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi. Soma Zaidi...

Dawa ya fangasi ukeni
Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya streptomycin
Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu Soma Zaidi...

Dawa ya fangasi uumeni
kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka Soma Zaidi...