Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Kazi ya Mebendazole katika kutibu Minyoo.

1.Dawa ya Mebendazole utibu Aina mbalimbali za minyoo ambazo utokea kwenye mfumo mzima wa binadamu ufanya kazi hii kwa kwa kuvunjavunja sukari ambayo imo ndani ya minyoo na minyoo hao hawawezi kushi na kufa au pengine dawa hii ikiingia mwilini mean binadamu uwalewesha minyoo ambao wapo ndani ya mwili wa binadamu na hatimaye wadudu hao ufa na binadamu huwa huru kutokana na wadudu ambao walikuwa wamevamia mwili, kwa hiyo ndivyo dawa ya Mebendazole unavyofanya kazi katika kupambana na minyoo ambao wamo kwenye mwili wa binadamu.

 

2.Mebendazole huwa katika muuundo wa vidonge ambapo vidonge hivi utumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya kadri ya umri na uzito wa mgonjwa vidonge hivi ushauliwa vitumike pale ambapo mtu hajala kitu chochote, hapo uweza kufanya kazi vizuri zaidi na kuleta Mafanikio mazuri zaidi. Vidonge hivi ufanya kazi tu baada ya kumengenya na kusafilishwa kwenye mzunguko wa damu vyakula vya mafuta ufaa sana katika matumizi ya vidonge hivi vinapofanya kazi na pia Yale nabaki ya dawa hizi za Mebendazole upitia kwenye kinyesi na kutolewa nje kama takataka nyingine.

 

3.Dawa hizi za Mebendazole hazipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na wanawake wenye mimba, hii ni kwa Sababu kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili wananapotumia dawa hizi walezi wao wametoa taarifa kuwa watoto hawa wamepatwa sana degedege kwa hiyo hawa watoto wanapaswa kutumia dawa zao za minyoo kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya na vile vile akina Mama wenye mimba wanapaswa kutumia dawa zao kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa jamii Ili kuhakikisha kuwa kila mtu anajua kuwa Mebendazole hazipaswi kutumiwa na wanawake wenye mimba Pamoja na watoto chini ya Miaka miwili Ili kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea.

 

4.Dawa hizi za Mebendazole zinaweza kuwa na matokea mbalimbali yanayoweza kuwepo kwa mgonjwa pale anapotumia dawa kama vile maumivu madogo madogo ya tumbo, maumivu ya kichwa, na watu wengine huwa wanahisi kichefuchefu na pengine kutapika na kuharisha, kwa hiyo hayo ni matokeo yanayoweza kutokea iwapo mgonjwa anatumia dawa za minyoo Aina ya Mebendazole, kwa hiyo dawa hii umetumiwa na wengi wamepona kwa hiyo tuitumie sana itatusaidia.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/17/Friday - 08:25:32 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2839


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Madhara ya Tiba mionzi
Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani. Soma Zaidi...

Dawa za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino Soma Zaidi...

Fahamu tiba ya jino
Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo Soma Zaidi...

Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...

Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.
Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii. Soma Zaidi...

Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo
Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote. Soma Zaidi...

Dawa za mapunye
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za maounye Soma Zaidi...

Dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho Soma Zaidi...

DAWA YA FANGASI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi Soma Zaidi...

Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali. Soma Zaidi...

Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?
Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako. Soma Zaidi...

Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria
Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria. Soma Zaidi...