Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kazi ya Mebendazole katika kutibu Minyoo.

1.Dawa ya Mebendazole utibu Aina mbalimbali za minyoo ambazo utokea kwenye mfumo mzima wa binadamu ufanya kazi hii kwa kwa kuvunjavunja sukari ambayo imo ndani ya minyoo na minyoo hao hawawezi kushi na kufa au pengine dawa hii ikiingia mwilini mean binadamu uwalewesha minyoo ambao wapo ndani ya mwili wa binadamu na hatimaye wadudu hao ufa na binadamu huwa huru kutokana na wadudu ambao walikuwa wamevamia mwili, kwa hiyo ndivyo dawa ya Mebendazole unavyofanya kazi katika kupambana na minyoo ambao wamo kwenye mwili wa binadamu.

 

2.Mebendazole huwa katika muuundo wa vidonge ambapo vidonge hivi utumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya kadri ya umri na uzito wa mgonjwa vidonge hivi ushauliwa vitumike pale ambapo mtu hajala kitu chochote, hapo uweza kufanya kazi vizuri zaidi na kuleta Mafanikio mazuri zaidi. Vidonge hivi ufanya kazi tu baada ya kumengenya na kusafilishwa kwenye mzunguko wa damu vyakula vya mafuta ufaa sana katika matumizi ya vidonge hivi vinapofanya kazi na pia Yale nabaki ya dawa hizi za Mebendazole upitia kwenye kinyesi na kutolewa nje kama takataka nyingine.

 

3.Dawa hizi za Mebendazole hazipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na wanawake wenye mimba, hii ni kwa Sababu kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili wananapotumia dawa hizi walezi wao wametoa taarifa kuwa watoto hawa wamepatwa sana degedege kwa hiyo hawa watoto wanapaswa kutumia dawa zao za minyoo kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya na vile vile akina Mama wenye mimba wanapaswa kutumia dawa zao kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa jamii Ili kuhakikisha kuwa kila mtu anajua kuwa Mebendazole hazipaswi kutumiwa na wanawake wenye mimba Pamoja na watoto chini ya Miaka miwili Ili kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea.

 

4.Dawa hizi za Mebendazole zinaweza kuwa na matokea mbalimbali yanayoweza kuwepo kwa mgonjwa pale anapotumia dawa kama vile maumivu madogo madogo ya tumbo, maumivu ya kichwa, na watu wengine huwa wanahisi kichefuchefu na pengine kutapika na kuharisha, kwa hiyo hayo ni matokeo yanayoweza kutokea iwapo mgonjwa anatumia dawa za minyoo Aina ya Mebendazole, kwa hiyo dawa hii umetumiwa na wengi wamepona kwa hiyo tuitumie sana itatusaidia.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3657

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dawa za mitishamba za kutibu meno
Dawa za mitishamba za kutibu meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno

Soma Zaidi...
Dawa ya Vidonda vya tumbo
Dawa ya Vidonda vya tumbo

Nitakujuza dawa ya kutibu vidonda vya tumbo, na kutibu vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
 Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo
Fahamu kuhusu dawa za magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa za magonjwa ya moyo, ni dawa ambazo utumika kusaidia pale moyo kama umeshindwa kufanya kazi ipasavyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.
Dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio
Fahamu dawa za kutuliza aleji au mzio

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa na mabadiliko mbalimbali kama vile kifua kubana , viupele na mambo kama hayo.

Soma Zaidi...
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha

Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha.

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...