Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.


image


Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.


Kazi ya Mebendazole katika kutibu Minyoo.

1.Dawa ya Mebendazole utibu Aina mbalimbali za minyoo ambazo utokea kwenye mfumo mzima wa binadamu ufanya kazi hii kwa kwa kuvunjavunja sukari ambayo imo ndani ya minyoo na minyoo hao hawawezi kushi na kufa au pengine dawa hii ikiingia mwilini mean binadamu uwalewesha minyoo ambao wapo ndani ya mwili wa binadamu na hatimaye wadudu hao ufa na binadamu huwa huru kutokana na wadudu ambao walikuwa wamevamia mwili, kwa hiyo ndivyo dawa ya Mebendazole unavyofanya kazi katika kupambana na minyoo ambao wamo kwenye mwili wa binadamu.

 

2.Mebendazole huwa katika muuundo wa vidonge ambapo vidonge hivi utumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya kadri ya umri na uzito wa mgonjwa vidonge hivi ushauliwa vitumike pale ambapo mtu hajala kitu chochote, hapo uweza kufanya kazi vizuri zaidi na kuleta Mafanikio mazuri zaidi. Vidonge hivi ufanya kazi tu baada ya kumengenya na kusafilishwa kwenye mzunguko wa damu vyakula vya mafuta ufaa sana katika matumizi ya vidonge hivi vinapofanya kazi na pia Yale nabaki ya dawa hizi za Mebendazole upitia kwenye kinyesi na kutolewa nje kama takataka nyingine.

 

3.Dawa hizi za Mebendazole hazipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na wanawake wenye mimba, hii ni kwa Sababu kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili wananapotumia dawa hizi walezi wao wametoa taarifa kuwa watoto hawa wamepatwa sana degedege kwa hiyo hawa watoto wanapaswa kutumia dawa zao za minyoo kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya na vile vile akina Mama wenye mimba wanapaswa kutumia dawa zao kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa jamii Ili kuhakikisha kuwa kila mtu anajua kuwa Mebendazole hazipaswi kutumiwa na wanawake wenye mimba Pamoja na watoto chini ya Miaka miwili Ili kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea.

 

4.Dawa hizi za Mebendazole zinaweza kuwa na matokea mbalimbali yanayoweza kuwepo kwa mgonjwa pale anapotumia dawa kama vile maumivu madogo madogo ya tumbo, maumivu ya kichwa, na watu wengine huwa wanahisi kichefuchefu na pengine kutapika na kuharisha, kwa hiyo hayo ni matokeo yanayoweza kutokea iwapo mgonjwa anatumia dawa za minyoo Aina ya Mebendazole, kwa hiyo dawa hii umetumiwa na wengi wamepona kwa hiyo tuitumie sana itatusaidia.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa
Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

image Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Magonjwa ya kansa, damu na magonjwa mbalimbali hasa yake makubwa makubwa. Soma Zaidi...

image Namna ya kutumia tiba ya jino.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria
Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...