Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

Kazi ya Mebendazole katika kutibu Minyoo.

1.Dawa ya Mebendazole utibu Aina mbalimbali za minyoo ambazo utokea kwenye mfumo mzima wa binadamu ufanya kazi hii kwa kwa kuvunjavunja sukari ambayo imo ndani ya minyoo na minyoo hao hawawezi kushi na kufa au pengine dawa hii ikiingia mwilini mean binadamu uwalewesha minyoo ambao wapo ndani ya mwili wa binadamu na hatimaye wadudu hao ufa na binadamu huwa huru kutokana na wadudu ambao walikuwa wamevamia mwili, kwa hiyo ndivyo dawa ya Mebendazole unavyofanya kazi katika kupambana na minyoo ambao wamo kwenye mwili wa binadamu.

 

2.Mebendazole huwa katika muuundo wa vidonge ambapo vidonge hivi utumiwa kulingana na utaratibu wa wataalamu wa afya kadri ya umri na uzito wa mgonjwa vidonge hivi ushauliwa vitumike pale ambapo mtu hajala kitu chochote, hapo uweza kufanya kazi vizuri zaidi na kuleta Mafanikio mazuri zaidi. Vidonge hivi ufanya kazi tu baada ya kumengenya na kusafilishwa kwenye mzunguko wa damu vyakula vya mafuta ufaa sana katika matumizi ya vidonge hivi vinapofanya kazi na pia Yale nabaki ya dawa hizi za Mebendazole upitia kwenye kinyesi na kutolewa nje kama takataka nyingine.

 

3.Dawa hizi za Mebendazole hazipaswi kutumiwa na watoto chini ya miaka miwili na wanawake wenye mimba, hii ni kwa Sababu kwa watoto wenye umri chini ya miaka miwili wananapotumia dawa hizi walezi wao wametoa taarifa kuwa watoto hawa wamepatwa sana degedege kwa hiyo hawa watoto wanapaswa kutumia dawa zao za minyoo kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya na vile vile akina Mama wenye mimba wanapaswa kutumia dawa zao kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa jamii Ili kuhakikisha kuwa kila mtu anajua kuwa Mebendazole hazipaswi kutumiwa na wanawake wenye mimba Pamoja na watoto chini ya Miaka miwili Ili kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea.

 

4.Dawa hizi za Mebendazole zinaweza kuwa na matokea mbalimbali yanayoweza kuwepo kwa mgonjwa pale anapotumia dawa kama vile maumivu madogo madogo ya tumbo, maumivu ya kichwa, na watu wengine huwa wanahisi kichefuchefu na pengine kutapika na kuharisha, kwa hiyo hayo ni matokeo yanayoweza kutokea iwapo mgonjwa anatumia dawa za minyoo Aina ya Mebendazole, kwa hiyo dawa hii umetumiwa na wengi wamepona kwa hiyo tuitumie sana itatusaidia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 3912

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya kutibu kikohozi inayoitwa expectorant

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa itwayo Diazepam

Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya fluoroquinolones/quinolones

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na ofloxacin.

Soma Zaidi...