Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.


image


Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.


Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia. 

 

Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia. 

 

General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni. 

 

Sedation 

Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia. 

 

Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia. 

 

General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni. 

 

Sedation Anesthesia hii hutumika kufanya mwili wako u relax na hatimaye kulala fofofo. 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Mgawanyo wa tiba ya kifua kikuu
Post hii inahusu zaidi mgawanyiko wa tiba ya kifua kikuu, kwa kawaida tiba hii imegawanyika katika sehemu kuu mbili. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole
Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya ketoconazole.
Post hii inahusu zaidi dawa aina ya ketoconazole ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye koo. Soma Zaidi...

image Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada. Soma Zaidi...

image Dawa ya penicillin ambayo uzuia asidi ya bakteria.
Post hii inahusu zaidi dawa ya phenoxy-methyl penicillin ambayo upambana na aina ya bakteria ambao utoa sumu Ili kuzuia dawa isifanye kazi. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin. Soma Zaidi...

image Dawa za Anesthesia katika kutuliza maumivu.
Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia. Soma Zaidi...

image Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi
Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi. Soma Zaidi...