Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia.
Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia.
General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni.
Sedation
Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia.
Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia.
General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni.
Sedation Anesthesia hii hutumika kufanya mwili wako u relax na hatimaye kulala fofofo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.
Soma Zaidi...Maumivu ya mgongo hutokea sana kwa wajawazito. Ijapokuwa ni hali ya usumbufu sana ila hakikisha hautumii madawa kiholela kutoka maduka ya dawa ama miti shamba. Kwani ukikisea kidogobinawezabhatarisha afya ya mtoto
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...