Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia.
Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia.
General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni.
Sedation
Anesthesia ni matibabu ya kuingia maumivu. Yanaweza kufanyiwa kuingia maumivu katika kiuno fulani chenye kuhitajikankufanyiwa matibabu. Anesthesia yabaina hii huitwa local Anesthesia.
Lakini kama itahitajika kwa kiuno kuzinga mfano mguu wote Anesthesia ya aina hii huitwa regionala Anesthesia.
General Anesthesia hii hutumikabkutuliza mwili wote ama sehemu kubwa ya mwili. Kwa mfano inaweza usihisibmaumivu kuanzia chini ya kifutmwa kuja miguuni.
Sedation Anesthesia hii hutumika kufanya mwili wako u relax na hatimaye kulala fofofo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.
Soma Zaidi...Hapa utajifuanza dalili za presha ya kushuka, na dawa ya presha ya kushuka na nJia za kuzuiaama kudhibiti presha ya kushuka
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...