Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Dawa za kutuliza magonjwa ya akili .​​​​​​

1. Dawa za kutuliza magonjwa ya akili ni nyingi leo tunaenda kuona dawa ya clorpromazine Katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii ufanya Kazi kwa kusaidia wagonjwa wa akili ambao hasa hasa Wana tatizo la kuwaza kwa mda mrefu yaani mawazo ya kila mara uwajia na kuwaza vitu ambayo hata kwa akili ya kibinadamu havipo,

 

2. Dawa hii kama tulivyotangulia kuona usaidia kutibu magonjwa ya ki akila ambao kwa kitaamu huiitwa schizophrenia ugonjwa huu usababisha mtu kuwa kwenye mawazo makali sana kwa matumizi ya dawa hii ya chlorpromazine usaidia mtu kuwa kawaida,pia dawa hii dozi yake huwa na milligrams kuanzia hamsini mpaka mia tatu na utolewa mdomoni kila baada ya masaa manane na pia dozi hiyo utegemea umri, uzito na mazingira ya mgonjwa.

 

3. Dawa hii utumiwa na wagonjwa wote ila Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hii kama vile wenye aleji na dawa hii na pia wale wenye kifafa Hawapaswi kutumia au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya na kwa uangalizi zaidi.

 

4. Pia katika matumizi ya dawa hii Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile midomo kukauka, kuona maruwe ruwe,midomo kulegea na ulimi pia hali ambayo usababisha mgonjwa wa akili kuongea ambakwo sio kwa kawaida yawni maneno kutosikika baada ya kutumia dawa. Na pia mgonjwa anaweza kuishiwa nguvu akimaliza kutumia dawa kwa hiyo uangalizi wa karibu ni zaidi.

 

5.  Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya ni vizuri kutumia utaratibu Ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kutumia dawa visivyo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1835

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...
Fahamu kundi la veta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo.

Post hii inahusu zaidi kundi la beta blockers katika matibabu ya magonjwa ya moyo,hili kundi lina dawa mbalimbali ambazo utumika katika matibabu ya magonjwa ya moyo na kila dawa tutaiongelea tofauti tofauti ili kuweza kujua kazi zake.

Soma Zaidi...
Dawa ya vidonda vya tumbo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Tiba ya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tiba ya minyoo

Soma Zaidi...
IJUE DAWA YA AMOXLINE (antibiotic) NA MATUMIZI YAKE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia

PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu

Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...