picha

Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Dawa za kutuliza magonjwa ya akili .​​​​​​

1. Dawa za kutuliza magonjwa ya akili ni nyingi leo tunaenda kuona dawa ya clorpromazine Katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii ufanya Kazi kwa kusaidia wagonjwa wa akili ambao hasa hasa Wana tatizo la kuwaza kwa mda mrefu yaani mawazo ya kila mara uwajia na kuwaza vitu ambayo hata kwa akili ya kibinadamu havipo,

 

2. Dawa hii kama tulivyotangulia kuona usaidia kutibu magonjwa ya ki akila ambao kwa kitaamu huiitwa schizophrenia ugonjwa huu usababisha mtu kuwa kwenye mawazo makali sana kwa matumizi ya dawa hii ya chlorpromazine usaidia mtu kuwa kawaida,pia dawa hii dozi yake huwa na milligrams kuanzia hamsini mpaka mia tatu na utolewa mdomoni kila baada ya masaa manane na pia dozi hiyo utegemea umri, uzito na mazingira ya mgonjwa.

 

3. Dawa hii utumiwa na wagonjwa wote ila Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hii kama vile wenye aleji na dawa hii na pia wale wenye kifafa Hawapaswi kutumia au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya na kwa uangalizi zaidi.

 

4. Pia katika matumizi ya dawa hii Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile midomo kukauka, kuona maruwe ruwe,midomo kulegea na ulimi pia hali ambayo usababisha mgonjwa wa akili kuongea ambakwo sio kwa kawaida yawni maneno kutosikika baada ya kutumia dawa. Na pia mgonjwa anaweza kuishiwa nguvu akimaliza kutumia dawa kwa hiyo uangalizi wa karibu ni zaidi.

 

5.  Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya ni vizuri kutumia utaratibu Ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kutumia dawa visivyo.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2338

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 ai web app     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya ibuprofen katika kutuliza maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol

Soma Zaidi...
Dawa za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine.

Soma Zaidi...