picha

Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.

Dawa za kutuliza magonjwa ya akili .​​​​​​

1. Dawa za kutuliza magonjwa ya akili ni nyingi leo tunaenda kuona dawa ya clorpromazine Katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii ufanya Kazi kwa kusaidia wagonjwa wa akili ambao hasa hasa Wana tatizo la kuwaza kwa mda mrefu yaani mawazo ya kila mara uwajia na kuwaza vitu ambayo hata kwa akili ya kibinadamu havipo,

 

2. Dawa hii kama tulivyotangulia kuona usaidia kutibu magonjwa ya ki akila ambao kwa kitaamu huiitwa schizophrenia ugonjwa huu usababisha mtu kuwa kwenye mawazo makali sana kwa matumizi ya dawa hii ya chlorpromazine usaidia mtu kuwa kawaida,pia dawa hii dozi yake huwa na milligrams kuanzia hamsini mpaka mia tatu na utolewa mdomoni kila baada ya masaa manane na pia dozi hiyo utegemea umri, uzito na mazingira ya mgonjwa.

 

3. Dawa hii utumiwa na wagonjwa wote ila Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hii kama vile wenye aleji na dawa hii na pia wale wenye kifafa Hawapaswi kutumia au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya na kwa uangalizi zaidi.

 

4. Pia katika matumizi ya dawa hii Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile midomo kukauka, kuona maruwe ruwe,midomo kulegea na ulimi pia hali ambayo usababisha mgonjwa wa akili kuongea ambakwo sio kwa kawaida yawni maneno kutosikika baada ya kutumia dawa. Na pia mgonjwa anaweza kuishiwa nguvu akimaliza kutumia dawa kwa hiyo uangalizi wa karibu ni zaidi.

 

5.  Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya ni vizuri kutumia utaratibu Ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kutumia dawa visivyo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2158

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 web hosting     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu dawa ya kaoline

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa kutumia dawa ya loperamide.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Soma Zaidi...
Fahamu antibiotics ya asili.

Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX

Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi uumeni

kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka

Soma Zaidi...
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...