FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA MAGONJWA YA AKILI INAYOITWA CHLORPROMAZINE


image


Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa.


Dawa za kutuliza magonjwa ya akili .​​​​​​

1. Dawa za kutuliza magonjwa ya akili ni nyingi leo tunaenda kuona dawa ya clorpromazine Katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii ufanya Kazi kwa kusaidia wagonjwa wa akili ambao hasa hasa Wana tatizo la kuwaza kwa mda mrefu yaani mawazo ya kila mara uwajia na kuwaza vitu ambayo hata kwa akili ya kibinadamu havipo,

 

2. Dawa hii kama tulivyotangulia kuona usaidia kutibu magonjwa ya ki akila ambao kwa kitaamu huiitwa schizophrenia ugonjwa huu usababisha mtu kuwa kwenye mawazo makali sana kwa matumizi ya dawa hii ya chlorpromazine usaidia mtu kuwa kawaida,pia dawa hii dozi yake huwa na milligrams kuanzia hamsini mpaka mia tatu na utolewa mdomoni kila baada ya masaa manane na pia dozi hiyo utegemea umri, uzito na mazingira ya mgonjwa.

 

3. Dawa hii utumiwa na wagonjwa wote ila Kuna wagonjwa ambao hawapaswi kutumia dawa hii kama vile wenye aleji na dawa hii na pia wale wenye kifafa Hawapaswi kutumia au waitumie kwa maagizo ya wataalamu wa afya na kwa uangalizi zaidi.

 

4. Pia katika matumizi ya dawa hii Kuna maudhi madogo madogo ambayo yanaweza kutokea kama vile midomo kukauka, kuona maruwe ruwe,midomo kulegea na ulimi pia hali ambayo usababisha mgonjwa wa akili kuongea ambakwo sio kwa kawaida yawni maneno kutosikika baada ya kutumia dawa. Na pia mgonjwa anaweza kuishiwa nguvu akimaliza kutumia dawa kwa hiyo uangalizi wa karibu ni zaidi.

 

5.  Pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kiholela Bali utumika kulingana na wataalamu wa afya ni vizuri kutumia utaratibu Ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kutumia dawa visivyo.



Sponsored Posts


  👉    1 Mafunzo ya php       👉    2 Magonjwa na afya       👉    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       👉    4 Jifunze fiqh       👉    5 Maktaba ya vitabu       👉    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Madhara ya vidonge vya P2
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2, Soma Zaidi...

image Ijue Dawa ya lignocaine
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji. Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya antroextra
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine
Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji. Soma Zaidi...

image Fahamu Dawa itwayo Diazepam
Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja na dawa zingine kutibu kifafa. Soma Zaidi...

image Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za cyclophosphamide na mustargen.
Post hii inahusu zaidi dawa za cyclophosphamide na mustargen katika kupambana na ugonjwa wa Kansa. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya carvedilo katika matibabu ya magonjwa, ni mojawapo ya dawa kwenye kundi la beta blockers na pia uhusika katika matibabu ya magonjwa ya moyo kama nyingine. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya loperamide dawa ya kuzuia kuharusha
Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na pia usaidia kutuliza maumivu ya tumbo Soma Zaidi...